Rais Samia aajiri Polisi Wapya 16,000

Rais Samia aajiri Polisi Wapya 16,000

Badala ya kuajiri waliimu, madaktari, wataalam wa kilimo/mifugo/fedha/TEHEMA/ n.k anaajiri polisi wengi wa kumlida wakati anafanya wizi kwenye uchaguzi fake
 
Polisi ni wengi kuliko wanachama wa chadema, hakika nchi iko salama
 
HABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA


Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
Mtekaji anatapeli watu. Mchana msiteke usiku anaagiza kuteka na kuuwa.
 
HABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA


Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
Anangaika bure hicho kiti wala hatakikalia; kwa jiwe yuko wapi pumbaf😂
 
Hata wakiajiriwa laki, mwisho ukifika ataachia tu hii ni sayansi ya maumbile
 
FB_IMG_1751129832653.jpg
 
HABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA


Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
Eti Raisi Samia ameajiri 🤣🤣🤣

Sema Serikali kupitia Jeshi la Polisi limeajiri Askari 16,000 hivi huko Chuoni mlikotoka mbona mmekuwa kama mna utindio wa ubongo?
 
HABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA


Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
Uliza wa kutoka comoro ni wangapi kama hujadondosha machozi
 
HABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA


Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
Hata ajiri laki moja ni hivi tupo 60M
 
Back
Top Bottom