new user2025
JF-Expert Member
- Jun 18, 2025
- 235
- 347
Huyu shetani labda awe mgambo wa ofisi ya mtaa
Mtekaji anatapeli watu. Mchana msiteke usiku anaagiza kuteka na kuuwa.HABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA
Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
Anangaika bure hicho kiti wala hatakikalia; kwa jiwe yuko wapi pumbaf😂HABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA
Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
SIO KWELIwatekaji ni wao wenyewe wasilete drama
duuuhHuyu shetani labda awe mgambo wa ofisi ya mtaa
Eti Raisi Samia ameajiri 🤣🤣🤣HABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA
Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
Uliza wa kutoka comoro ni wangapi kama hujadondosha machoziHABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA
Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
nani kaajiri sasaEti Raisi Samia ameajiri 🤣🤣🤣
Sema Serikali kupitia Jeshi la Polisi limeajiri Askari 16,000 hivi huko Chuoni mlikotoka mbona mmekuwa kama mna utindio wa ubongo?
Hata ajiri laki moja ni hivi tupo 60MHABARI NDIO HIO KUELEKEA KUTIKI OKTABA
Jumla ya askari wapya 16,009 wameajiriwa, huku Maofisa, Wakaguzi na Askari 10,363 wakipandishwa vyeo. Kwa kufanya hivyo, Kasi ya kuwabaini na kuwakamata wahalifu, na kuwafikisha Mahakamani imeongezeka. Rais Samia pia alilielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada katika kukomesha matukio ya watu kutekwa na kupotea.
Kabisawatekaji ni wao wenyewe wasilete drama
YEYE KAFANYA KWA NIA NJEMA LAKINIHata ajiri laki moja ni hivi tupo 60M
Basi ni vizuri ila hatakiwiYEYE KAFANYA KWA NIA NJEMA LAKINI