Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Rais Samia Suluhu Hassan amesema TEHAMA ina nafasi kubwa katika maendeleo na Tanzania haiko nyuma, inajipanga kujenga chuo kikubwa cha TEHAMA
Amesema hivi karibuni, Instagram, Facebook na WhatsApp zilipotea kwa saa saba na mmliki akapata hasara ya Tsh. Trilioni 15 ambapo kuna uwezekano wa watanzania pia walipata hasara
Kwa sababu hiyo ametafakari kama mitandao hiyo ingepotea kwa siku nzima, ambapo amesema Tanzania imeamua kujiimarisha kimiundombinu ili kuikuza TEHAMA
Amesema hivi karibuni, Instagram, Facebook na WhatsApp zilipotea kwa saa saba na mmliki akapata hasara ya Tsh. Trilioni 15 ambapo kuna uwezekano wa watanzania pia walipata hasara
Kwa sababu hiyo ametafakari kama mitandao hiyo ingepotea kwa siku nzima, ambapo amesema Tanzania imeamua kujiimarisha kimiundombinu ili kuikuza TEHAMA