Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Putin hajaongea chochote kuhusu chakula.Kasema belarus waondolewe vikwanzo ili vyakula vipitie pale.Rais Sall wa Senegal ambaye ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Leo amekutana na Rais Putin nchini Urusi.
Rais Putin amesema Afrika ni rafiki wa kweli wa Russia hivyo wasiwe na hofu wataendelea kupata nafaka na mbolea kutoka Russia
Leo ni siku ya 100 tokea vita ya Russia na Ukraine ianze
Source: BBC Dira ya Dunia