Wewe mtoa hoja una matatizo ya kichuki pls pata msaada wa Doctor, na next time try to think outside of the box, alichokifanya hapa President ni kufikiria future ya nchi sio kama unavyofikiri wewe wakati huwezi kutuletea even one tourist hapa nchini.
Tulia na fikiria maisha yako na familia yako maana ndio kiini cha Taifa bora na uache kutuletea chuki na wivu usio na maana.
Tulia na fikiria maisha yako na familia yako maana ndio kiini cha Taifa bora na uache kutuletea chuki na wivu usio na maana.