Nimeona aibu sana na niliondoka kimya kimya huku nikisononeka inakuwaje Rais wa Nchi anajidhalilisha kwa mcheza mpira? Au ndio ukisikia itifaki imezingatiwa ndio huku?
Tena kwa red carpet kesho na kesho kutwa mchezaji anakunya mbovu inakuwaje hapo? Au kuna mtonyo wa 10%
Kusema kweli ni aibu ya mwaka hata kama angekuwa trilioneya bado Rais wa nchi asingejidhalilisha kiasi kile, inakuwaje yaani sijaelewa kabisa kabisa, wazee walisema akili ni nywele tatizo la sisi wenye vipara ni mtihani.
Wadau wa protokoli hili jambo mnalionaje?
Tena kwa red carpet kesho na kesho kutwa mchezaji anakunya mbovu inakuwaje hapo? Au kuna mtonyo wa 10%
Kusema kweli ni aibu ya mwaka hata kama angekuwa trilioneya bado Rais wa nchi asingejidhalilisha kiasi kile, inakuwaje yaani sijaelewa kabisa kabisa, wazee walisema akili ni nywele tatizo la sisi wenye vipara ni mtihani.
Wadau wa protokoli hili jambo mnalionaje?