Rais Mwinyi: Ugonjwa wa Corona ulisababisha shida hata kwenye kulipa mishahara

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Serikali ilikuwa na mpango mzuri wa kuongeza maslahi ya Wafanyakazi mwenye mishahara kwa awamu tatu

Ameeleza, "Awamu ya kwanza ni kima cha chini kuwafikisha kwenye 300,000. Awamu ya pili ni watumishi wa kada ya kati na ya tatu ni Viongozi wa juu"

Amesema Serikali ilifanikiwa kwa awamu ya kwanza lakini ilipokuwa inajiandaa kwa awamu ya pili, Ugonjwa wa Corona ukaingia na kusababisha fedha za makusanyo ya kodi kushuka na kufanya iwe shida hata kulipa mishahara

Amesema Hali ya uchumi ikiimarika Seikali ya Awamu ya Nane itaanza na kada ya kati inayojumuisha Wataalamu mbalimbali wakiwemo Walimu na Watumishi wa Afya ambao amesema wanastahili kufikishwa sehemu nzuri ya mishahara
 
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Serikali ilikuwa na mpango mzuri wa kuongeza maslahi ya Wafanyakazi mwenye mishahara kwa awamu tatu

Ameeleza, "Awamu ya kwanza ni kima cha chini kuwafikisha kwenye 300,000. Awamu ya pili ni watumishi wa kada ya kati na ya tatu ni Viongozi wa juu"

Amesema Serikali ilifanikiwa kwa awamu ya kwanza lakini ilipokuwa inajiandaa kwa awamu ya pili, Ugonjwa wa Corona ukaingia na kusababisha fedha za makusanyo ya kodi kushuka na kufanya iwe shida hata kulipa mishahara

Amesema Hali ya uchumi ikiimarika Seikali ya Awamu ya Nane itaanza na kada ya kati inayojumuisha Wataalamu mbalimbali wakiwemo Walimu na Watumishi wa Afya ambao amesema wanastahili kufikishwa sehemu nzuri ya mishahara
Daaaah aisee! Haya bana 🤣🤣🤣
 
Ukitaka umtese mwanasiasa, muulize hiyo kodi ilishuka kutoka shilingi ngapi mpaka shilingi ngapi?..

Watanzania wengi hatuna uwezo wa kuhoji mambo ndo mana hawa mabeberu weusi wanatudanganya kila siku
Hoja ya Raisi haina mashiko kabisa uchumi ni mambo ya forecast, sasa tuchukulie kweli corona imeleta hii balaa na mishahara haikupanda, siku mambo yawe mazuri atapandisha mishahara je likija janga lingine au uchumi kuyumba atapunguza mishahara?? na kama hatapunguza atapata wapi pesa, labda angesema tu serikali haina uwezo kwa sasa lakini sio hoja ya corona nchi haindeshwi kama zima moto.
 
Hoja ya Raisi haina mashiko kabisa uchumi ni mambo ya forecast, sasa tuchukulie kweli corona imeleta hii balaa na mishahara haikupanda, siku mambo yawe mazuri atapandisha mishahara je likija janga lingine au uchumi kuyumba atapunguza mishahara?? na kama hatapunguza atapata wapi pesa, labda angesema tu serikali haina uwezo kwa sasa lakini sio hoja ya corona nchi haindeshwi kama zima moto.

Sasa kama ume forecast kuwa mapato yako yataongezeka halafu yasiongezeke, utafanya nini kama ulikuwa na Mpango wa kuongeza mshahara? Busara itakuongoza kuwa kwa vile huna uwezo wa kuongeza mishahara kama ulivyotegemea basi unaahirisha mpaka utakapo kuwa na uwezo wa kulipa!!

Je sio kweli kuwa uchumi wa Dunia na sio Zanzibar peke yake umeathirika na gonjwa la corona?
 
Sasa kama ume forecast kuwa mapato yako yataongezeka halafu yasiongezeke, utafanya nini kama ulikuwa na Mpango wa kuongeza mshahara? Busara itakuongoza kuwa kwa vile huna uwezo wa kuongeza mishahara kama ulivyotegemea basi unaahirisha mpaka utakapo kuwa na uwezo wa kulipa!!

Je sio kweli kuwa uchumi wa Dunia na sio Zanzibar peke yake umeathirika na gonjwa la corona?
Ndio maana nilitaka aseme tu kwa sasa uchumi sio imara au endelevu hakuna shida ila kusema kwa sababu ya corona hapana, ziko nchi kama USA ndio kwanza wanaongeza malipo ya watu wa chini sababu wanajuwa uchumi utakuwa. Nachokataa mimi kutumia corona kama sababu.
 
Hoja ya Raisi haina mashiko kabisa uchumi ni mambo ya forecast, sasa tuchukulie kweli corona imeleta hii balaa na mishahara haikupanda, siku mambo yawe mazuri atapandisha mishahara je likija janga lingine au uchumi kuyumba atapunguza mishahara?? na kama hatapunguza atapata wapi pesa, labda angesema tu serikali haina uwezo kwa sasa lakini sio hoja ya corona nchi haindeshwi kama zima moto.
Ni hoja dhaifu sana ila kwa sababu tumezoea kudanganywa acha aendelee kujitamba
 
Ndio maana nilitaka aseme tu kwa sasa uchumi sio imara au endelevu hakuna shida ila kusema kwa sababu ya corona hapana, ziko nchi kama USA ndio kwanza wanaongeza malipo ya watu wa chini sababu wanajuwa uchumi utakuwa. Nachokataa mimi kutumia corona kama sababu.

Usijilinganishe na USA wao wanaweza kufanya wanavyofanya kwa mfano kutoa STIMULUS packages kwa watu wao kwasababu uchumi wao unaruhusu!!! Wanaongeza deni lao la TAIFA kwa kuchapisha pesa yao$$$$!! Je wewe uchumi Wako unaruhusu kufanya hivyo?
 
Hakusema kodi ilishuka bali makusanyo ya kodi yanayotokana na kazi za kiuchumi yalipungua kutokana na corona!!
Ndo umeandika nini sasa hapa mkuu?? Kwani hiyo Gongo itapoa moto mpaka uwe na haraka ya kujibu kiasi hichi?
 
Usijilinganishe na USA wao wanaweza kufanya wanavyofanya kwa mfano kutoa STIMULUS packages kwa watu aao kwasababu uchumi wao unaruhusu!!! Wanaongeza deni lao la TAIFA kwa kuchapisha pesa yao$$$$!! Je wewe uchumi Wako unaruhusu kufanya hivyo?
kumbe mimi na wewe hakuna tofauti katika hili, angesema uchumi hauturusu sio corona maana nimetoa mfano USA sababu wamepigwa vizuri na corona na lockdown. Mwinyi kasema sababu ni corona na mimi nasema hajasema ukweli ila uchumi sio mzuri. USA hachapishi pesa tu ku over supply ila demand ya kiuchumi sio kuchapisha tu na kutumia basi ingekuwa hawana issue ya uchumi kuanguka sio hivyo.
 
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Serikali ilikuwa na mpango mzuri wa kuongeza maslahi ya Wafanyakazi mwenye mishahara kwa awamu tatu

Ameeleza, "Awamu ya kwanza ni kima cha chini kuwafikisha kwenye 300,000. Awamu ya pili ni watumishi wa kada ya kati na ya tatu ni Viongozi wa juu"

Amesema Serikali ilifanikiwa kwa awamu ya kwanza lakini ilipokuwa inajiandaa kwa awamu ya pili, Ugonjwa wa Corona ukaingia na kusababisha fedha za makusanyo ya kodi kushuka na kufanya iwe shida hata kulipa mishahara

Amesema Hali ya uchumi ikiimarika Seikali ya Awamu ya Nane itaanza na kada ya kati inayojumuisha Wataalamu mbalimbali wakiwemo Walimu na Watumishi wa Afya ambao amesema wanastahili kufikishwa sehemu nzuri ya mishahara
Hapo na bongo ivyo ivyo
 
Hii Jamhuri ya Kufikirika hii watawala wana shida sana
Kuongeza mshahara ni wajibu si huruma
Punguzeni matumizi
Serikali kubwaaaa matumizi makubwa Bunge kubwa Uteuzi wa ovyo usio na lazima ziara nyingi vikao kila siku walioteuliwa ni mzigo hawana wala hawalijui wanalolifanya
Mawaziri Manaibu Waziri Makatibu Manaibu Katibu Wakurugenzi Macommissioner wa nini wote hawa?

PUNGUZENI UKUBWA WA SERIKALI
ONDOA WABUNGE ( wa kuteuliwa, wale 19 wasio na chama nk)
 
Hakusema kodi ilishuka bali makusanyo ya kodi yanayotokana na kazi za kiuchumi yalipungua kutokana na corona!!

..Tz hakukuwa lockdown.

..shughuli za uchumi ziliendelea kama kawaida.

..na serikali ilipewa fedha za msaada kwa ajili ya janhga la corona ingawa Tz hatukuathirika.
 
Back
Top Bottom