Rais Mwinyi atembelea kwa kushtukiza hospitali ya Mnazi Mmoja. Atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Afya na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,760
35,205
Rais Hussein Mwinyi afuata nyayo za John Pombe Magufuli, ameshtukiza ziara ya hospitali ya mnazi mmoja Zanzibar na kukutana na madudu. Asema pesa ipo lakini huduma ni mbovu, aahidi kushughulikia wahusika.

Ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya katika Wizara ya Afya, Dkt. Jamala Adam Taib na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja, Dkt.Ali Salum Ali, amesema watapangiwa kazi nyingine kwa mujibu wa taaluma zao.

Mnazi.jpg




Tanzania tunayoitaka, Mungu awalinde viongozi wetu Dkt. Hussein Mwinyi na Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
 

Mpaka uone kuna taasisi kama hizo ☝️ zenye mamlaka ya kutoa mwongozo (regulations in practice), zinazotokana na sheria za afya za nchi au WHO regulations.

Wao jukumu lao ni kuhakikisha watoa huduma wana implement hizo policy, kupeleka report jinsi watakavyo fikia hizo target na wanakugaliwa; management ikishindwa inafukuzwa and in some instance kama issue ni negligent kuna mtu anaweza ishia jela.

Kuendesha wizara ya afya ni very technical kushinda mamlaka za teuzi Tanzania inavyodhani, it is a very complex role inayohitaji katibu mkuu mwenye uelewa mpana.

Nothing will change kwa utaratibu uliopo bara na visiwani.

Hapo bado kuna regulators wa MD, Nurses, Care Quality, Social Services, National Charities Groups; wote hao wanawataalamu wao wa kuikosoa na kuishauri serikali hizo ndio sababu unakuta taasisi kama NHS inatoa huduma bora.

What chances tulio nayo ya kuboresha huduma zetu bila ya regulators and pressures group hiyo pekee ni deficit kubwa; worst waziri mwenyewe clueless kwenye maswala ya health management.
 
Ahaaa ahaaa na yeye ameiga siasa za kiki. Nadhani akitoka hapo ataenda bandarini kuokota magari kama vilivyookotwa vichwa vya treni. Hapo ndio huwa naamini sisi waafrika bado sana. Mifumo sahihi ya kutenda kazi ipo na kujua changamoto zote, unaacha kutumia mifumo sahihi unafanya kazi kwa mizuka.
 
Yupo aliyepeleka mpaka mkewe kulazwa Muhimbili lakini kiko wapi........ndugu wanauziwa maiti za ndugu zao pale yupo kimya kama yupo mmoja nilimsoma humu juzi alijifungua mapacha bahati mbaya mmoja haku-survive bill imekuja anadaiwa mill 100!

Yaani unakuta anayeambiwa hivyo ukikusanya ukoo wake mzima hakuna hata mmoja anayejua million mia ina sifuri ngapi sembuse kuishika ila waanambiwa waitafute,wanasiasa siyo wakuwasikiliza hizo ni actor tu hamna kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais ndiyo kwanza ameingia hivyo hajawawezesha kivyovyote hao watu au kama kawawezesha muda wa kufanyiwa review hauwezi kua umefika.

Ni sahihi kuwatengua? Considering atateua wengine na itatakiwa kuwawezesha? Just like alichotakiwa kufanya kwa aliowatengua
 
Yupo aliyepeleka mpaka mkewe kulazwa Muhimbili lakini kiko wapi........ndugu wanauziwa maiti za ndugu zao pale yupo kimya kama yupo mmoja nilimsoma humu juzi alijifungua mapacha bahati mbaya mmoja haku-survive bill imekuja anadaiwa mill 100!

Yaani unakuta anayeambiwa hivyo ukikusanya ukoo wake mzima hakuna hata mmoja anayejua million mia ina sifuri ngapi sembuse kuishika ila waanambiwa waitafute,wanasiasa siyo wakuwasikiliza hizo ni actor tu hamna kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwaambia wakupe hesabu zao za ‘service costing’ ya kumwangalia huyo mtoto njiti si ajabu ata isizidi million 10 tena hapo high estimate. Lakini uwezi kusikia wizara ya afya inauliza hiyo taasisi itoe justification ya costs za millioni 113 zimekuja vipi.

Hiyo wizara ya afya imejaa bogus ppl kweli nimeona kisarawe vijana wamefungua zahanati yao sujui hospitali wanajiita madaktari bingwa. Hivi daktari bingwa wanamjua kweli.

Ili uitwe daktari bingwa nchi za wenzetu umeshafanya kazi kama miaka 10-11 kati ya hiyo saba ya mwisho ukiwa unasimamiwa kwenye shughuli za theatre baada ya hapo una miwili ya kuwa assessed wakati unafanya kazi independently total minimum years of practice 13 ndio ujiite consultant.

Vitoto vidogo ata miaka 30 havina vinajiita madaktari bingwa wizara hiko wapi lord knows matibabu gani watakuwa wanatoa huko unsupervised.
 
Zilizaa matunda mengi sana tuu na hadi leo zinaendelea kuzaa

Matunda kama haya si ndiyo?

Kuwa na bwana anayenufaika na tawala mbovu zisizojua nini zifanye kwa siasa na nini zisifanye kusikufanye akili uifungie kabatini.
 

Matunda kama haya si ndiyo?

Huyu mama alijifungulia wapi?

Ukipeleka mtoto kusoma international school of tanganyika usitegemee kulipa ada kama Mzumbe secondary
 
Back
Top Bottom