Kama tulivouza Loliondo kwa falme za kiarabu?
kama tulivyopora mke wa mtu na kumuita mchumba
inaelekea unafurahia sana ajira yako mpya ya kupost hapa jfKama tulivoiba Tshs bilioni 321 kutoka akaunti ya Escrow na wagonjwa wakakosa dawa muhimbili.........Kidumu chama cha mapinduzi.....
inaelekea unafurahia sana ajira yako mpya ya kupost hapa jf
View attachment 204397
we mazafanta stroke unaona wagonjwa wanavopata shida muhimbili alafu nyie mnauza pembe za ndovu ? mnaiba pesa zetu
Mheshimiwa MJITA HALISI 176........Samahani hii ilikuwa Alhamisi ipi hasa? :tonguez:MZOZO ZIWA NYASA: Rais Mutharika wa Malawi awaambia wasuluhishi Alhamisi msimamo kuhusu Ziwa Nyasa uko palepale, Ziwa lote ni la Malawi, hakuna haja kuzungumza.
Chanzo: nyasatime



