Rais Mutharika: Ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi

Rais Mutharika: Ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi

MZOZO ZIWA NYASA: Rais Mutharika wa Malawi awaambia wasuluhishi Alhamisi msimamo kuhusu Ziwa Nyasa uko palepale, Ziwa lote ni la Malawi, hakuna haja kuzungumza.

Ana tafuta kiki tu huyo re- president ...au anaumwa tezi...du...me.
 
Wazee wa ESCROW wasije wakawa wamempenyezea mpunga huyu jamaa kutuondoa kwenye reli!
 
Hii ni njaa tu although kwa jinsi tulivyo hayo mafuta kama yapo yatanufaisha wachache
 
Au ametumwa nahawa mafisadi atutoe kwenye mjadara wa Escrow watutoroke?
 
Kama Ziwa Nyasa lote lipo Malawi, basi ina maana Malawi yote ipo Tanzania!

------------------------------------------------------------------------

If the whole Lake Nyasa is in Malawi, it implies that the whole Malawi is in Tanzania!

Naam! Ziwa lote ni la Tanzania, na sasa Malawi wahame kandokando ya Ziwa letu, isipokuwa sehemu ya Msumbiji (nchi ndugu wa damu)wao sehemu yao ni yao. Malawi wahame ziwani kote.
 
Wache wachukue bhana, hii nchi haina viongozi bali ina majambazi, mpaka hapo tutakapo pata uongozi ndio tuta deal na hilo ziwa
 
MZOZO ZIWA NYASA: Rais Mutharika wa Malawi awaambia wasuluhishi Alhamisi msimamo kuhusu Ziwa Nyasa uko palepale, Ziwa lote ni la Malawi, hakuna haja kuzungumza.
kwani akisema ndio nini! sisi tumeshasema tangu 1961 tupate uhuru nusu ya ziwa letu na siku zote iko hivyo. tunavua tunajenga gati na kutafuta mali asili hawawezi kutuzuia. wakijaribu hapo ndio watatuelewa hatuna utani.
 
MZOZO ZIWA NYASA: Rais Mutharika wa Malawi awaambia wasuluhishi Alhamisi msimamo kuhusu Ziwa Nyasa uko palepale, Ziwa lote ni la Malawi, hakuna haja kuzungumza.

Usitutoe kwenye escrow kijanja kama mlivyo zowea. Hata aseme ikulu ya Magogoni ni mali yao pooowaaaa. Escrow kwanza
 
MZOZO ZIWA NYASA: Rais Mutharika wa Malawi awaambia wasuluhishi Alhamisi msimamo kuhusu Ziwa Nyasa uko palepale, Ziwa lote ni la Malawi, hakuna haja kuzungumza.

Mutharika tutakuja huko, maana hatuwezi waacha mbelele wa tamu wa ziwa Nyasa na mafuta.... kwanza tuko na mahela ambayo yanataka kuibwa na wezi..... tukilifikisha pazuri la ESCROW tutakuja.....
 
Escrow ishaisha nyie mko nchi gani? Kalageni baho. Pinda harudii kosa la Lowassa. Eti kwanza tujiulize hivi Lowassa angewahi mahakamani kumzuia Sitta na Mwakyembe ingekuwa vipi?
 
escrow kwanza, malawi waache waendelee kubwabwaja
 
dont screw our mind with your spinning, bring back our money
 
Maji yenyewe hayana hela, ngoja turudishe iz kwanza ili tulipe madeni ya dawa na barabara
 
Back
Top Bottom