Rais Mutharika: Ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi

Rais Mutharika: Ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi

Sasa hivi akili zetu zote kwanza ziko kwenye issue ya Escrow na ugonjwa wa rais wetu ambaye tunamsubiri kwa hamu apone ili arudi kuwafyeka mafisadi wote wa Escrow na EPA. Hatutaki kusikia tena kauli za "... watakaorudisha watasamehewa..." Akisema hivyo tu tunamcompaore. Yaani kwa jinsi tunavyopigwa humo ndani hata hilo ziwa hatuoni faida yake kama mambo yenyewe ndiyo hayo. Wanajifanya wanapambana kupata Ziwa halafu wanapiga pesa zetu kama za EPA na Escrow. Tutampiga maana sasa tumechoka! na apigwe tu, hakuna namna! Ukiambiwa usiibe pesa za umma wewe unaiba. kwakweli watakupiga, na mimi nasema kama husikii na upigwe tu!
 
Ccm bhana,yote hii 2hame mjadala wa escrow,hata malawi ikipeleka majeshi mpakani waambie 2meahirisha kupigana mpaka pesa za escrow zirudi..
 
sisi kina gogo la shamba tulishasema tuachane na ziwa nyasa na sisi tudai ziwa letu la Tanganyika
 
Anajua ukicheza na mipaka ya nchi unatangaza vita so muache acheze na moto
Sasa hivi hata vita ikitokea hatuendi mpaka warudishe pesa zetu za EPA na ESCROW. Wao waibe pesa halafu watangaze vita tukafe sisi wao hawendi vitani kupigana wanabaki mjini kuponda raha. Wakitaka vita watangulie mstari wa mbele sisi tuwafuate nyuma. Pesa wakiiba wanafaidi wao sisi wanatubambika michango ya maabara, ikifika vita wanataka sisi tutangulie. Safari hii waende wao! Tumechoka
 
Hawa WaMalawi nao vilaza ,kama wanalitaka hilo ,wakae uongozi wa Tz mambo hayo ni rahisi sana kuzungumzika ,just wawavute pembeni yaishe !, Usuluhishi hautasaidia hata huko kwenye mahakama hawatapata kitu ,eti jamani si warudi tu hapa ,watu wapo vinywa wazi wanasubiri madili kama hayo.
 
Hawa WaMalawi nao vilaza ,kama wanalitaka hilo ,wakae uongozi wa Tz mambo hayo ni rahisi sana kuzungumzika ,just wawavute pembeni yaishe !, Usuluhishi hautasaidia hata huko kwenye mahakama hawatapata kitu ,eti jamani si warudi tu hapa ,watu wapo vinywa wazi wanasubiri madili kama hayo.
ndio maana huwa nawaogopa sana ukawa, hamshindwi kuuza ziwa mkagawana hela
 
mutharika atakuwa yupo kwenye siku zake ndiyo maana anaongea ujinga.
 
Tutamshughulikia tu kama Amin, lakini atuvumilie kidogo turudishe kwanza pesa ya escrow.
 
Mmeona Tezi limeshindwa kututoa kwenye reli mkaja na kufumuliwa nyuzi , nalo limeshindwa mnakuja na lake Malawi.
Ngoja tumalizie escrow kwanza tutarudi huko.
 
Bring Back our Monies first.
Peaceful election next year
Lake Nyasa saga follows
 
Escrow kwanza then yeye tutam-war-screw. Meanwhile tuanze kusafisha safisha maeneo YA Ileje na Kyela Kwa ajili YA kumpiga vizuri huyu. Ila nadhani 321 billion za Escrow zinaweza fanikisha kumpiga kwa e-war.
 
Mmeona Tezi limeshindwa kututoa kwenye reli mkaja na kufumuliwa nyuzi , nalo limeshindwa mnakuja na lake Malawi.
Ngoja tumalizie escrow kwanza tutarudi huko.
Hahahaaaaaaa serekali ya matukio...
 
Hapa wakuu nimewakubali!! Hamhamishiki kirahisi safari hii, CCM walivyo na tama ya madaraka wanaweza kutuingiza vitani ili kutupoteza kwenye issue ya ESCROW!! Namimi nasema, Bring Back Our Money, OVER!!
 
Back
Top Bottom