mabadmpenda96
Member
- Jan 7, 2019
- 13
- 10
Wana JF,
Muda umefika sasa tuwe na Baba wa Taifa. Na baba anayefaa kushika hii nafasi si Mwingine bali ni Mhe. saana Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Ana Sifa na weledi wa kupewa hiyo nafasi. Tuanze sisi wengine wafuate
Nawasilisha
Muda umefika sasa tuwe na Baba wa Taifa. Na baba anayefaa kushika hii nafasi si Mwingine bali ni Mhe. saana Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Ana Sifa na weledi wa kupewa hiyo nafasi. Tuanze sisi wengine wafuate
Nawasilisha