Rais Magufuli yashamshinda?

Rais Magufuli yashamshinda?

Rais ni Magufuli na ataendelea kuwa magufuli. huko anakopita ni shangwe na vigelegele. wananchi wanatamani aseme neno roho zao zifrahi. huku mko busy kutunga ngonjera na hadithi zisizo na vichwa wala miguu......
aisee
 
...alafu huko bungeni ambako angalau wapinzani hupumulia kapamaliza kabisa...maana kamweka mtoto yule mtu wake...na spika ndugai nlivyomuona akitoka India sitegemei kumwona bungeni karibuni..kwa kifupi hali ni tete sana kwa watu wa kuwasemea asilimia karibia 50 ya watanzania ambao hawakumpigia kura JPM.....
 
Unafikiri kwa sababu sikubaliani na wewe ndio nasubiria cheo, huo ndio ujinga wenu ambao mnaaminishwa na hao wanaotaka kuwashikisha UKUTA

Jiandae tu kuteuliwa leo kwa umakini mkubwa; halafu utumbuliwe siku ya pili tu. Chezea 'uncle' wewe
 
sio kila shangwe znamsifia tatzo ni ushabiki lkn ukwel mwenyew unao asbh tu nchi imemshinda
 
Usisahau pia kuwa Rais ana uwezo wa kulivunja bunge. Hii ndio sheria yetu. Inaonekana hapo atakayemuwahi mwenzie ndiye atakayefanikiwa.
Rais ataliwahi Bunge kulivunja na WOTE WATARUDI kwenye uchaguzi Mkuu
Kumbuka yy ndiye Mwenyekiti wa CCM Taifa
Kwa hiyo wote waliopiga kura ya kumtishia kumuondoa madarakani HAWATA TEULIWA
Bunge la TZ haliwezi mfukuza kazi Rais
 
Hivi ni mimi tu au na wengine mpo mnaoona kama vile mambo yashamshinda huyu Magufuli?

Kuna hali fulani hivi naiona ambapo jamaa ni kama anaamka tu kila asubuhi na kutoa maamuzi ya kukurupuka kurupuka.
Yaani yeye ni amri tu....fanya hivi....fukuza huyu....twende kule...nk.

Yapo baadhi ambayo ni mazuri ambapo mtu unaona kabisa hapa nia ni nzuri lakini mengine yana ukakasi kidogo.
Anayapeleka mambo kibabe
 
Ukipita mitaani watu washachoka na story zake...
biashara haziendi.....mood iliyopo ni kusubiri labda mambo yatanyooka soon...
sasa sijui yasiponyooka itakuaje....
Imani ni kitu muhimu sana hasa kipindi hiki!
 
Kukua ni kuimarika pia. Chadema ime undergo certain growth in terms of population, votes and constituencies. Meli imeelea na kusonga mbele katika mawimbi mazito. mashambulizi ni mengi hasa kutoka Kwa watu ambao hawaamini katika demokrasia bayana. kani makabala has beeen too strong everywhere. Kilichobaki si mikakati pekee bali ni uelewa wa watu wote kuhusu demokrasia ya kweli. Pale tutakapoelewa wote na kukubali kuwa tanzania ni ya vyama vingi and any party ca lead basi kila kitu kitakuwa sawa.
Wanaopinga Chadema hawakosi la kusema hata kabla ua ujio wa hao wanaotajwa mafisadi Slaa aliwahi kupewa kila aina ya kashfa Mbowe hivohivo. Si mwanachama wa CDM lakini sipendi chama kimoja kudominate maisha ya watu na siasa za nchi katu!
Kukua kwa chama ni idadi ya wabunge
Huwezi mwaka 2010 ukaongeza wabunge 13
Tena ukiw ahauna resources pesa nyingi wala hamna UKAWA
2015 ukaongeza wabunge 11
Ukichora graph hiyo ya growth unapata negative slope(-2)

Kwa MUUNGANO huu wa UKAWA
Kwa ruzuku hii nono ya 2.5 Bilion kwa mwaka
CHADEMA graph yake ya kuongeza wabunge ilitakiwa iwe positive slope
 
Na kwanza tuliosema huyu ni One term president inawezekana hata asikamilishe One Term

Ofcourse sio lazima akae madarakani miaka 5.

Ben, mbona unatoa mawazo kama hauko Tanzania? Tangu lini rais wa Tanzania akaathiriwa na utendaji au chochote kile? Kama uchaguzi, hiyo ni formality tu kumthibitisha mteule. Au unatarajia augue au aondoke kwa dunga?
 
heshima kwako ni ipi? mlisema hatamaliza mda wake akamaliza tena na kuwaadhibu na dubwasha lenu.

tulisema lini? wapi? lete ushahidi hapa sio kutungatunga porojo zako. tunachojua sisi tumechukua nchi ikiwa imeoza.
 
Hivi ni mimi tu au na wengine mpo mnaoona kama vile mambo yashamshinda huyu Magufuli?

Kuna hali fulani hivi naiona ambapo jamaa ni kama anaamka tu kila asubuhi na kutoa maamuzi ya kukurupuka kurupuka.
Yaani yeye ni amri tu....fanya hivi....fukuza huyu....twende kule...nk.

Yapo baadhi ambayo ni mazuri ambapo mtu unaona kabisa hapa nia ni nzuri lakini kuna mengine yenye ukakasi sana hadi kunifanya nianze kuhoji hekima na busara za huyo bwana!
ata ww katka familia yako huwez walidhisha wote, wapo watakao hoji baadh ya maamuz yako kwa kukashfu au kupongeza. najua n kipind cha mpito wa uongozaj ila utafaham mantik, ila kumbuka uongoz wa "mchakato na bado tunayafanyia kaz " ndo umetufikisha hapa. kiongoz bora n yule anayefanya maamuz magumu katika kipind kigum akijua wapo walio wengi watanufaika na walio wachache wataathirika na uamuz huo.
 
Na kwanza tuliosema huyu ni One term president inawezekana hata asikamilishe One Term

Ofcourse sio lazima akae madarakani miaka 5.
Ndoto yako na wenzako inaweza kukamilika endapo nchi za magharibi zitakubali kuunga mkono. Wananchi wengi bado wapo nyuma kifikra na maamuzi.
Wasomi na wadau kwa namna moja au nyingine ni wazito na wamejaa uoga kupitiliza.
 
Rais ni Magufuli na ataendelea kuwa magufuli. huko anakopita ni shangwe na vigelegele. wananchi wanatamani aseme neno roho zao zifrahi. huku mko busy kutunga ngonjera na hadithi zisizo na vichwa wala miguu......
Hizi akili peleka kwenye mipasho yenu huko,hapa zinahitajika Akili zinazojuwa kufikiri nje ya Box. Huwezi,na hutakaa uweze kuwaelewa hawa GTs wa JF, sio size ya nyie mnaookota mbilimbi kwa ajili ya chakula!
 
Back
Top Bottom