kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,258
- 13,265
Sasa kama ni binadam na anakosea ni Kwa nini akatae kukosolewa?na nyie wanafiki wake Kwa nini mnashangilia hata akikosea?Sasa mbona unauliza na kujijibu mwenyewe? Kwani ulitegemea yawe mazuri kwa 100% ? Hata yeye Raisi Magufuli si ni binadamu tu kama wengine ambaye pia hufanya mazuri na pengine hukosea pia kama mimi na wewe tulivyo?