Rais Magufuli yashamshinda?

Rais Magufuli yashamshinda?

Umeruka hoja, Dk Slaa ni tatizo zaidi!
Wakati Anne Garia Mwenyekiti wa UVCCM anateuliwa kuwa Mbunge wa CHADEMA tena siku hiyo akiwa ofisini wakiandaa party ya kumpongeza Mbunge wa CCM kwa kuipokonya kiti CHADEMA Mbulu alikuwepo Dr Slaa madarakani?

CHADEMA ilipo iruka slogan yake iliyowapa maarufu ya MAFISADI alikuwepo Dr Slaa madarakani?

CHADEMA inayopokea mabilion kwa mwaka lkn ikashindwa kuleta hata senti Kyela kumtoa Dr Mwakyembe alikuwepo Dr Slaa?
 
..that was a big miscalculation by Freeman Mbowe.

..cdm ilikuwa inataka kwenda ikulu kwa njia ya mkato.

..hata Dr.Slaa naye alikuwa na matatizo yake. Mojawapo ni kutoshaurika. He did a lot of good for the party though.

..lingine chama kinatakiwa kiwe na mwanachama zaidi ya mmoja mwenye sifa na anayekubalika kugombea uraisi.

..pia tulijielekeza mno kwenye Uraisi tukasahau ubunge. Hapa uongozi wote unapaswa kubeba lawama.

..pia hoja zetu ni za kuokoteza-okoteza. Kitengo cha UTAFITI na SERA, pamoja na kitengo cha HABARI vinahusika.
Kikubwa zaidi after election
Mbowe akatuletea Katibu Mkuu wake eti ndiyo atuvushe 2020
Ni katibu asiye na uwezo kabisa,akina Heche wakaachwa sababu eti ni watiifu kwa Dr Slaa
Nilicho gundua ni kuwa Mbowe lengo lake awe tu KUB
Apate walinzi na nyumba za bure Dodoma na Dar
Mbowe na wenzake hawana dhamira hata moja kuongoza dola
Kuandamana waende wenyewe
 
Rais Magufuli ni Mcha Mungu,mpenda kweli,mchukia rushwa,asiyetetereshwa,mchapakazi,mzoefu katika serikali,mwenye hotuba ngumu kutafsirika na asiyevumilia wokosaji na kuwabadilisha!!
Ana mazuri mengi kuliko dosari kinachohitajika ni apewe muda na ushirikiano wetu,bilashaka manufaa yatakuja but subira ni muhimu.
. Kunawatu hawana subira!!! hawana sifa hatarobo ya robo ya hizi alizonazo lakini kutwa ni kumkosoa na kutoa viushauri huku hawajui lolote kuhusu serikali,wanashindwa jua rais alifahamu mengi Pindi akiwa waziri,anainformation nyingi toka vyombo mbalimbali So anajua pa kupiga (mchinja kuku hatafuti shingo yakuku ilipo).
Nyani na wenzio endeleeni kurukia msivyovijua,mtateleza chini sisi tukielekea juu. Mungu ibariki Tz
 
!
!
Hehehehehee..... Maono ni ishuu. Jiulize wewe au watu kumi wanaokuzunguka tangu anko afike hapo, ni nini kimekugusa moja kwa moja positively? Mara hikiii mara kileee daaah focus haipo kabisa.
 
CHADEMA ingekuwa imara kama zamani huyu easily angeondoka 2020
Lkn kwa upinzani huu wa hovyo hovyo wa kutowasikiliza wanachama na kujiona viongozi kama Mungu watu
Wapinzani wanawatumia wanachama wao kwenye maadamano tu
Kwenye teuzi wanapuuzi kauli za wanachama wa kawaida
Wao na CCM hamna tofauti
Magufuli atashinda 2020 hata kukiwa na TUME HURU
Mark my words
Hiv kuna mwana Lumumba alishawah kuiona chadema iko imara. Au unatafuta stail ya kualalisha hoja yako.
 
Hiv kuna mwana Lumumba alishawah kuiona chadema iko imara. Au unatafuta stail ya kualalisha hoja yako.
Mm sio mwana Lumumba
Njoo Kyela hapa Kalumburu uliza Malafyale ni nani kwenye upinzani
 
Hivi ni mimi tu au na wengine mpo mnaoona kama vile mambo yashamshinda huyu Magufuli?

Kuna hali fulani hivi naiona ambapo jamaa ni kama anaamka tu kila asubuhi na kutoa maamuzi ya kukurupuka kurupuka.
Yaani yeye ni amri tu....fanya hivi....fukuza huyu....twende kule...nk.

Yapo baadhi ambayo ni mazuri ambapo mtu unaona kabisa hapa nia ni nzuri lakini kuna mengine yenye ukakasi sana hadi kunifanya nianze kuhoji hekima na busara za huyo bwana!
wewe ndio umeshindwa kutoa tafsiri nzuri yakinachoendelea #HAPA KAZI TU
 
Je unamjua mteuliwa wa CCM wa nafasi ya urais na baada ya kusimikwa hapo ambaye hajamaliza 5? au 10?
Kwa tume ipi ya uchaguzi? Ya Kivuitu?

Uchaguzi mkuu Tz ni changa la macho tu. Wenyewe wanateuana, kusimikana na kupokezana kijiti tu.

Hakika umesema Ukweli ,miaka zaidi ya 50 na maendeleo hayaja hakisi raslimali zote tulizo nazo kiasi mpaka leo 2016 tunachangishana madawati na bado wanashinda tu Uchaguzi jumlisha na nguvu wanayo tumia kipindi cha Uchaguzi...
 
Wakati Anne Garia Mwenyekiti wa UVCCM anateuliwa kuwa Mbunge wa CHADEMA tena siku hiyo akiwa ofisini wakiandaa party ya kumpongeza Mbunge wa CCM kwa kuipokonya kiti CHADEMA Mbulu alikuwepo Dr Slaa madarakani?

CHADEMA ilipo iruka slogan yake iliyowapa maarufu ya MAFISADI alikuwepo Dr Slaa madarakani?

CHADEMA inayopokea mabilion kwa mwaka lkn ikashindwa kuleta hata senti Kyela kumtoa Dr Mwakyembe alikuwepo Dr Slaa?
Malafyale, tukubaliane kutokukubaliana. Mimi sina kadi ya chama chochote cha siasa hivyo huwa sifuati mihemko ya wanasiasa wala vyama. Ukiniuliza leo kuhusu Dk Slaa jibu langu ni moja-kwamba ni miongoni mwa wanasiasa walioshamirisha siasa za upinzani lakini akaja kuharibu sana alipotumia mbinu chafu kuondoka Chadema. Zoezi la kuondoka kwake Chadema lilimwondolea heshima aliyokuwa nayo!
 
Malafyale, tukubaliane kutokukubaliana. Mimi sina kadi ya chama chochote cha siasa hivyo huwa sifuati mihemko ya wanasiasa wala vyama. Ukiniuliza leo kuhusu Dk Slaa jibu langu ni moja-kwamba ni miongoni mwa wanasiasa walioshamirisha siasa za upinzani lakini akaja kuharibu sana alipotumia mbinu chafu kuondoka Chadema. Zoezi la kuondoka kwake Chadema lilimwondolea heshima aliyokuwa nayo!
Mkuu
Aliondoka kwa hasira baada ya Mbowe,Lissu na Msigwa kuvuta mpunga kutoka upande ule kumfukuza Dr Slaa!Watu watatu tu ndiyo walikutana kumfukuza Dr Slaa

Na yy Dr Slaa akaamua sababu wao wamemwaga mboga na yy akaondoka na ugali!
 
Mkuu
Aliondoka kwa hasira baada ya Mbowe,Lissu na Msigwa kuvuta mpunga kutoka upande ule kumfukuza Dr Slaa!Watu watatu tu ndiyo walikutana kumfukuza Dr Slaa

Na yy Dr Slaa akaamua sababu wao wamemwaga mboga na yy akaondoka na ugali!
Rafiki yangu Malafyale, unaweza kuthibitisha hayo? Kweli? Bado mimi naona hapo ndipo Dk Slaa alitakiwa ajitofautishe kwa kuachana na Chadema kwa ustaraabu kuliko kujaribu kuibomoa!
 
Rafiki yangu Malafyale, unaweza kuthibitisha hayo? Kweli? Bado mimi naona hapo ndipo Dk Slaa alitakiwa ajitofautishe kwa kuachana na Chadema kwa ustaraabu kuliko kujaribu kuibomoa!
Mkuu kwa hiyo Lowassa alikaribishwa bure tu CHADEMA?Chama kilitoa bei gani kumpa Lowassa za kampeni?
 
Ni jambo la heri kuona kua kuna machache kati ya yale anayoyafanya ambayo unayaona yanafaa..it is a very good step..kwako, kwanza kwa kua you have never be his fan wala chama chake. Pili, i have to admit kwamba nchi yetu ilikosa kiti kinaitwa Order, mambo yalikua yanaendeshwa bila utaratibu, na hapo sasa waliibuka wahuni wachache waliokua wanapata faida kutokana na ignorance ya wengi.

Kwakua sasa utaratibu unawekwa na huyu mtu, sidhani kama wale waliokua wanatumia shortcuts kupata mafanikio wanafurahia.

I have met several young men ambao walikua very critic kwa huyu mtu lakini sasa wanakwambia bwana serikali ni nzuri.

Binafsi naona huyu mtu ni mtu sahihi kabisa kwa Taifa letu. Itachukua muda watu kumuelewa lakini he is doing things any reasonable man expect from him.

Tatizo la wengi ni kushindwa kusoma na kuelewa falsafa yake, ila ukimwelewa utaona nia ya dhati kabisa ya kutusaidia aliyonayo.
 
Hata hivyo CDM haiwezi tena kuwa tishio kwa CCM...
Naona wakiambulia 20 percent...
Maana piga ua hakuna kitu ambacho watanzania kilikuwa kinatuumiza kama rushwa na ufisadi...
Sasa CDM wana uwezo au nia ya kupambana na rushwa au ufisadi???!!!
Bora JPM aangalii usoni...anania (at least) ya kupambana na rushwa hadi kwenye chama chake...
Huko CDM kuna uwazi wa matumizi ya pesa na demokrasia?!
 
Back
Top Bottom