Rais Magufuli: Wasukuma na Wanyamwezi wengi walikuja Zanzibar na kutorudi tena usukumani akiwemo baba yangu mkubwa

Hapo muungano uongeze kipengele kua ni lazima wanawake wa zanzibar waje kukaa bara ndio muungano utakua mzuri


Sent from my iPhone using JamiiForums

Inaelekea wewe ni "mhanga" nambari wani...tehtehtehteh...a joke please...
 
Huu muungano umejengwa juu ya msingi dhaifu utakuja tu kufa ni muungano wa watawala zaidi unaowaacha wananchi kuwa wapagazi wa watawala.

Hauna tofauti na ule uliokuwa muungano wa Soviet Union, Yugoslavia au ule muungano wa Egypt na Syria. Ni miungano ya kimaslahi tu, hamna lolote.
 
Wapo wazanzibari wanyamwezi, lkn sio watanganyika tena, asili tu , na wapo wazanzibari waarabu vile vile,
Hao wazanzibari wanyamwezi huwezi kuwavua utanganyika wao kamwe, uwepo wao ni uthibitisho tosha kuwa huu muungano ni muhimu kwa maslahi ya pande zote mbili yaani bara na visiwani.
 
Huyu takataka sijui kina Kikwete walimwokota wapi aisee.

Kina anapoenda huwa hana la kufanya, anachofanya ni kulazimisha wenyeji wa eneo husika kuwa yeye ni mtu wao ili apate upendeleo.

Akiwa Usukumani anaongea Kisukuma.

Akiwa Kagera anangea Kilugha na Kuwaambia Yeye Ni "Mzilankende Muyango"

Akienda Arusha na Moshi Anadai Mke Wake Ni Wa Huko.

Huwezi Kumsikia Akiongelea Namna Ya Kupunguza Umasikini, Kuongeza Kipato Cha Mtu Mmoja Mmoja au Kuongeza Ajira.

Hata Hizo Ziara Naona Huwa Anaishia Kugombana Na Kutukana Wananchi Majukwaani Tu.

Tushahesabu Hasara Akae Atulie Muda Wake Uishe Afe Kama Wengine. Basi !
Kuongea lugha ya wenyeji sehemu anazotembelea ni kuonesha umoja na hiyo jamii wala siyo jambo baya ni nzuri sana.

Kuhusu kuongelea kukuza uchumi huwa anaongelea mno fatilia hotuba zake kwa makini
Mfano Kutatua kero za wafanyabiashara wadogowadogo ili kuruhusu wawe na mazingira bora ya biashara ili wakue ,kuhimiza na kufatilia usimamizi mzuri wa miradi ya serikali ikiwemo ujenzi wa miundo mbinu km barabara
Na mengine mengi mazuri ,
Mkuu jifunze kuona mazuri hata kwa watu usiowapenda don't be too negative and blind


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar sio koloni la Tanganyika. Zanzibar ni ndugu wa damu wa Tanganyika. Nashangaa wanaojaribu kutengenisha ukweli huu. Siasa za watu wachache hazina tija wala ukweli kuhusu muungano wetu. Nashangaa pia nani huyo anayefikiri kutengena ndio jawabu la changamoto zilizopo.
 
Back
Top Bottom