fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,690
- 24,013
Kuna vitu vingine unashindwa hata ukoment vipi. Huruma kwasababu amekifanyia kazi kwa zaidi ya mika 20 ingawaje hatujui weredi wake ulikuwaje kazini hapo hapo ni kosa kisheria kutumia
cheti ambacho si chako.
Ngoja tuone wizara aitumikiayo itaamuaje
cheti ambacho si chako.
Ngoja tuone wizara aitumikiayo itaamuaje