Rais Magufuli unamuua mama yangu

Rais Magufuli unamuua mama yangu

Watu wangapi miaka yote hiyo wamepata elimu duni toka kwa mtu ambae hana sifa? Sio ajabu kuna watu wamefeli mtihani na wanateseka kwa ajili ya udanganyifu wa huyu mama na nduguze wana ukoo.
Positive thinking
Chuki na ushabiki unafunga FIKRA za wengi
Mbona watu hawataki kufikiria madhara ya kuwa na mtumishi wa aina hiyo?
Kama ameweza kudanganya kwenye cheti na jina basi ni rahisi kudanganya kwenye ufaulu na kupata AJIRA
Ukiwa na Mwalimu kihiyo unajua madhara yake? Wangapi wameathirika?
Leo najiuliza kule kwetu kijijini shule ya msingi ilikaa zaidi ya miaka 20 kabla haijafaulisha mwanafunzi wa kwanza....!!!!
Sasa naanza kuamini pale shule kulikuwepo mama zetu watoto wasiopungua watatu hivi

USHUHUDA:
Nilihama shule hiyo nilipofika darasa la 3. kwa Terminals 5 pale sebuleni nilikuwa nashika namba 2, nikitanguliwa na MWAMBA mmoja
Nilkohamia nilishika namba 1 tu mpaka nikaenda special School. Ajabu yule mwamba wa kule kijijini KWETU aliangukia pua naamini ulikuwa mkono wa mama yetu mdogo ndio maana ndoto zake yule MWAMBA wangu zimekufa na Leo hii ni mkulima asiye na tija akiishi maisha ya dhalili.
 
Hamna namna yeye angestaafu kwa hiari pale aliposikia Rais anataka kushughulikia tatizo la watumishi hewa. Sasa ni too late lazima atastaafishwa kwa kosa la fojari au kutumia cheti siyo chake. Nampongeza sana RAIS kwa zoezi hili Pendwa na kupunguza hewa kila sehemu. Ushauri wangu kwa Admin JF waangalie namna ya kupambana na WANAJUKWAA au WANAJAMVI HEWA .
Huyu naye ni hewa? Au hujui maana ya watumishi hewa?
 
Watu wangapi miaka yote hiyo wamepata elimu duni toka kwa mtu ambae hana sifa? Sio ajabu kuna watu wamefeli mtihani na wanateseka kwa ajili ya udanganyifu wa huyu mama na nduguze wana ukoo.
Kwanini hufikirii na wale waliofaulu kwa udanganyifu wa huyu mama?

Akili kama ya Sizonje hii
 
Hayafukui bali ametoa maelekezo makaburi yapaliliwe na kujengewa vizuri. Pole kwa mama mdogo hapo sijaona shida mbona au tayari hati ya kifo walishaiona hivyo wanashangaa marwhemu anafundishaje tena
 
Namhurumia huyo mamako mdogo, sasa hivi kapata BP bado kisukari kiko njiani atakapotumiwa barua ya kurudisha pesa yote ya miaka 25 aliyopokea akiwa mtumishi hewa, sheria haiangalii umri.
 
Hayajawahi kukuta utanywea na hautathubutu siku nyingine kukejeli wahanga. Ushabiki mpaka kwenye maisha ya watu.

Mtu amefanya kazi karibu miaka 30 unamuitaje mfanyakazi hewa ?! Kweli awamu hii WaTz wamepatikana! !

Anaabudu CCM huyo achana nae ....
 
Positive thinking
Chuki na ushabiki unafunga FIKRA za wengi
Mbona watu hawataki kufikiria madhara ya kuwa na mtumishi wa aina hiyo?
Kama ameweza kudanganya kwenye cheti na jina basi ni rahisi kudanganya kwenye ufaulu na kupata AJIRA
Ukiwa na Mwalimu kihiyo unajua madhara yake? Wangapi wameathirika?
Leo najiuliza kule kwetu kijijini shule ya msingi ilikaa zaidi ya miaka 20 kabla haijafaulisha mwanafunzi wa kwanza....!!!!
Sasa naanza kuamini pale shule kulikuwepo mama zetu watoto wasiopungua watatu hivi

USHUHUDA:
Nilihama shule hiyo nilipofika darasa la 3. kwa Terminals 5 pale sebuleni nilikuwa nashika namba 2, nikitanguliwa na MWAMBA mmoja
Nilkohamia nilishika namba 1 tu mpaka nikaenda special School. Ajabu yule mwamba wa kule kijijini KWETU aliangukia pua naamini ulikuwa mkono wa mama yetu mdogo ndio maana ndoto zake yule MWAMBA wangu zimekufa na Leo hii ni mkulima asiye na tija akiishi maisha ya dhalili.
Unaona? Mleta mada ameturahisishia kazi tunaingia mtaani muda si mrefu kumsaka huyo mama ashtakiwe.
 
Dhambi ni dhambi tu, haiwi halali eti kwa sababu umeifanya miaka 100.
 
Namhurumia huyo mamako mdogo, sasa hivi kapata BP bado kisukari kiko njiani atakapotumiwa barua ya kurudisha pesa yote ya miaka 25 aliyopokea akiwa mtumishi hewa, sheria haiangalii umri.
Itakata huko huko kwenye mafao yake yaliyoandaliwa
 
Mama amefanya kazi miaka 25 lakini kwa kupitia cheti feki.

Amekusanya mafao ya shilingi milioni 100 lakini ni kwa msaada wa cheti feki.

Watu wamepita kwenye mikono yake, sawa lakini tuna uhakika gani kama walipata kinachostahili? Vipi kama kuna waliofeli kwa yeye kutokua na taaluma husika na kuwafundisha?

Pole mleta uzi, lakini kwa hili hapana hapa Mama Mdogo ana makosa na kila aliyefoji cheti au kutumia jina si lake ana makosa haijalishia kafanya kazi kwa muda gani na kwa weledi gani.
 
Positive thinking
Chuki na ushabiki unafunga FIKRA za wengi
Mbona watu hawataki kufikiria madhara ya kuwa na mtumishi wa aina hiyo?
Kama ameweza kudanganya kwenye cheti na jina basi ni rahisi kudanganya kwenye ufaulu na kupata AJIRA
Ukiwa na Mwalimu kihiyo unajua madhara yake? Wangapi wameathirika?
Leo najiuliza kule kwetu kijijini shule ya msingi ilikaa zaidi ya miaka 20 kabla haijafaulisha mwanafunzi wa kwanza....!!!!
Sasa naanza kuamini pale shule kulikuwepo mama zetu watoto wasiopungua watatu hivi

USHUHUDA:
Nilihama shule hiyo nilipofika darasa la 3. kwa Terminals 5 pale sebuleni nilikuwa nashika namba 2, nikitanguliwa na MWAMBA mmoja
Nilkohamia nilishika namba 1 tu mpaka nikaenda special School. Ajabu yule mwamba wa kule kijijini KWETU aliangukia pua naamini ulikuwa mkono wa mama yetu mdogo ndio maana ndoto zake yule MWAMBA wangu zimekufa na Leo hii ni mkulima asiye na tija akiishi maisha ya dhalili.
Sikubaliani na wewe,
Selection za kipinfi hicho zilikuwa za ajabu sana,
Mimi pia nimesoma miaka ya 80 ktk shule iliyokuwa chini ya chuo cha ualimu. Wanafunzi tulikuwa na uwezo mkubwa wengi tu na tulikuwa tunajifaham.
Lkn shule za secondary za serikali zilikuwa chache sana nchini, wilayani kwetu kwenyewe kulikuwa na secondary moja tu, soma usomavyo kwa mfululizo wa miaka mingi tu waliokuwa wanachaguliwa kwenda secondary idadi ilikuwa watatu tu na ilikuwa costant haibadiliki.
Jinsi walivyokuwa wanafanya selection wanajua wao tu kwa kweli. Waliobahatika kwenda private schools ndo walikochanjia mbunga.
 
~~~~>>>Hapo Magufuli anahusikaje ktk kifo chake (Kama kitatokea)

~~~>>Naamini kuwa alikuwa anajua kuwa Cheti si chake.... Anajua kuwa ni makosa kutumia cheti kisicho chako....

~~~~>>>Siku za mwizi ni arobaini.... Ameiba kwa zaidi ya miaka 25 sasa amekamatwa......... Kuna kosa gani la mkamataji????

~~~~>>>Hongera sana JPM kwa kuleta nidhamu ya Elimu na Wasomi kwa Ujumla...... Endelea kukanyaha eksileta.
 
Inauma sana lakini 40 zake na wengine wengi tu zimefika. Tuombe asifunguliwe kesi ya udanganyifu. Wengine wengi wamekimbia kazi zao wenyewe.
 
Back
Top Bottom