Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

We mtoa mada unaminyoo!! utani kidogo unakimbilia MTU kutumbuliwa acha ujinga hata hivyo walimu wengi wa madrasa wako shallow kidunia ndomana una panic kindezi! Fanya kazi,kula vizuri,lala pazuri na mbeibe mkali akili itakukaa sawa,pole chalii
 
Rais Dkt. Magufuli ulimtumbua upesi yule Mtumishi wa Halmashauri ya Kilosa Ndugu Daniel Maleki ambaye alikuwa ni Afisa Kitengo cha Biashara kwa Kosa la Kuchana Kitabu Kitakatifu cha Quran kinachotumiwa na Waislamu, ila tunashangaa ni kwanini hadi hivi sasa hujamtumbua Mkuu wa Wilaya Jerry Muro kwa Kosa la Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Kauli ya DC Jerry Muro ya Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Sunday Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na Mtandao wa WhatsApp wa Klabu ya Yanga kuwa Elimu aliyonayo Haji Manara ni ya Kufundisha tu Watoto Madrassa Kimantiki (Logically) haina tofauti na Kuwatukana Waislamu hasa ukizingatia kuwa hata hao Walimu wa hizo Madrassa wanatumia hicho hicho Kitabu Tukufu cha Quran.

Na najua Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli una mambo mengi ya kikazi (Kiutendaji) hivyo unaweza mambo mengine ukawa hujaambiwa na Mimi Mpiga Kura wako Mzukulu nakuambia muda kuwa tayari Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae ameamua kwenda mbele ambapo sasa anaenda Kumshtakia DC wako Jerry Muro kwa Waislamu na kama haitoshi tayari kuna Waislamu kadhaa nao wameshaibuka (hasa Walimu wa Madrassa) wanajipanga ili waone Hatua Kali za Kumchukulia DC wako huyu Mpuuzi Jerry Muro kwani wanasema kuwa Dhihaka aliyotoa DC Jerry Muro hakumlenga tu Haji Manara bali amewalenga pia na Waislamu wote nchini.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Waislamu hawa (amba huwa hawana Masihara ukiyagusa Maslahi yao ya Kiimani) wameenda mbele zaidi na Kuhoji ya kwamba kama ni mambo ya Kimchezo ya Utani wa Jadi wa Simba na Yanga kulikuwa na haja gani kwa DC Jerry Muro kuingizia Masuala ya Kiimani (Dini) hadi Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara ambaye anajulikana kuwa ni Mwalimu mzuri mno wa Madrassa?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Mtumishi wako huyu DC Jerry Muro hakuanza leo Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kuna Kipindi huko nyuma aliwahi Kumdhihaki hadi kupitia Ulemavu wake wa Ngozi (Ualbino) kwa Kumuita Dili na hakuchukuliwa hatua ila nina Ushahidi wa Watanzania kama Wawili hivi ambao walikamatwa kwa Kosa la Kuwaita Dili hawa Walemavu wa Ngozi (Maalbino)

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli wapiga Kura wako tunajiuliza Maswali hivi ni kwanini kila ambapo DC wako huyu Jerry Muro akiwa anazungumzia masuala ya Mpira hasa ya Utani huu wa Jadi wa Simba na Yanga akianza Kumtaja Msemaji wa Simba SC Haji Manara ni lazima tu atatoka kwenye lengo na ataanza Kuzungumzia Maisha yake binafsi, kumtukana, kumdharau na kumdhalilisha? Hivi na siku Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae akisema afyatuke (afunguke) kwa mambo binafsi ya DC wako Jerry Muro (ambayo mengine ni mabaya kabisa na yanatia Aibu) patakalika Mheshimiwa? au DC wako Jerry Muro anadhani Yeye ni Msafi hivyo, Muadilifu, Malaika na hana Mauzauza yake tena ambayo yanazidi hata anayomdhihaki nayo Msemaji wa Simba SC Haji Manara?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kama ulimtumbua Mchana Quran Ndugu Daniel Maleki basi nakuomba pia usijiulize katika kumtumbua Mtukana Walimu wa Madrassa Ndugu Jerry Muro kwani wote (Wawili hawa) ni Watumishi wako katika hii Serikali yako ya awamu ya Tano ambayo tunaamini kuwa inatenda Haki (japo najua haki ya kweli huwa ipo Mbinguni tu Kwake Mwenyezi Mungu) Baba Muumba.

Na nasikitika na hata Kushangaa kuona Mamlaka zako husika TCRA imenyamaza juu ya DC wako huyu ( Jerry Muro ) Kumdhihaki Muislamu na Msemaji wa Simba SC Haji Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na pia kwa Jeshi lako la Polisi hasa la Mkoa wa Dar es Salaam kukaa kimya badala ya Kumkamata DC Jerry Muro kwani Kauli yake hiyo inaweza Kuhatarisha Amani na kukatokea Mzozo wa Kiimani nchini unaowahusu Wakristo (akina Jerry Muro) na Waislamu (akina Haji Manara)

Nakuamini Mheshimiwa Rais wangu Dkt. Magufuli na najua hili hutoliacha lipite hivi hivi. Uwe na Kwaresma njema Mheshimiwa.
Mhhhh.... What a shame!!
 
Rais Dkt. Magufuli ulimtumbua upesi yule Mtumishi wa Halmashauri ya Kilosa Ndugu Daniel Maleki ambaye alikuwa ni Afisa Kitengo cha Biashara kwa Kosa la Kuchana Kitabu Kitakatifu cha Quran kinachotumiwa na Waislamu, ila tunashangaa ni kwanini hadi hivi sasa hujamtumbua Mkuu wa Wilaya Jerry Muro kwa Kosa la Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Kauli ya DC Jerry Muro ya Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Sunday Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na Mtandao wa WhatsApp wa Klabu ya Yanga kuwa Elimu aliyonayo Haji Manara ni ya Kufundisha tu Watoto Madrassa Kimantiki (Logically) haina tofauti na Kuwatukana Waislamu hasa ukizingatia kuwa hata hao Walimu wa hizo Madrassa wanatumia hicho hicho Kitabu Tukufu cha Quran.

Na najua Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli una mambo mengi ya kikazi (Kiutendaji) hivyo unaweza mambo mengine ukawa hujaambiwa na Mimi Mpiga Kura wako Mzukulu nakuambia muda kuwa tayari Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae ameamua kwenda mbele ambapo sasa anaenda Kumshtakia DC wako Jerry Muro kwa Waislamu na kama haitoshi tayari kuna Waislamu kadhaa nao wameshaibuka (hasa Walimu wa Madrassa) wanajipanga ili waone Hatua Kali za Kumchukulia DC wako huyu Mpuuzi Jerry Muro kwani wanasema kuwa Dhihaka aliyotoa DC Jerry Muro hakumlenga tu Haji Manara bali amewalenga pia na Waislamu wote nchini.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Waislamu hawa (amba huwa hawana Masihara ukiyagusa Maslahi yao ya Kiimani) wameenda mbele zaidi na Kuhoji ya kwamba kama ni mambo ya Kimchezo ya Utani wa Jadi wa Simba na Yanga kulikuwa na haja gani kwa DC Jerry Muro kuingizia Masuala ya Kiimani (Dini) hadi Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara ambaye anajulikana kuwa ni Mwalimu mzuri mno wa Madrassa?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Mtumishi wako huyu DC Jerry Muro hakuanza leo Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kuna Kipindi huko nyuma aliwahi Kumdhihaki hadi kupitia Ulemavu wake wa Ngozi (Ualbino) kwa Kumuita Dili na hakuchukuliwa hatua ila nina Ushahidi wa Watanzania kama Wawili hivi ambao walikamatwa kwa Kosa la Kuwaita Dili hawa Walemavu wa Ngozi (Maalbino)

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli wapiga Kura wako tunajiuliza Maswali hivi ni kwanini kila ambapo DC wako huyu Jerry Muro akiwa anazungumzia masuala ya Mpira hasa ya Utani huu wa Jadi wa Simba na Yanga akianza Kumtaja Msemaji wa Simba SC Haji Manara ni lazima tu atatoka kwenye lengo na ataanza Kuzungumzia Maisha yake binafsi, kumtukana, kumdharau na kumdhalilisha? Hivi na siku Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae akisema afyatuke (afunguke) kwa mambo binafsi ya DC wako Jerry Muro (ambayo mengine ni mabaya kabisa na yanatia Aibu) patakalika Mheshimiwa? au DC wako Jerry Muro anadhani Yeye ni Msafi hivyo, Muadilifu, Malaika na hana Mauzauza yake tena ambayo yanazidi hata anayomdhihaki nayo Msemaji wa Simba SC Haji Manara?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kama ulimtumbua Mchana Quran Ndugu Daniel Maleki basi nakuomba pia usijiulize katika kumtumbua Mtukana Walimu wa Madrassa Ndugu Jerry Muro kwani wote (Wawili hawa) ni Watumishi wako katika hii Serikali yako ya awamu ya Tano ambayo tunaamini kuwa inatenda Haki (japo najua haki ya kweli huwa ipo Mbinguni tu Kwake Mwenyezi Mungu) Baba Muumba.

Na nasikitika na hata Kushangaa kuona Mamlaka zako husika TCRA imenyamaza juu ya DC wako huyu ( Jerry Muro ) Kumdhihaki Muislamu na Msemaji wa Simba SC Haji Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na pia kwa Jeshi lako la Polisi hasa la Mkoa wa Dar es Salaam kukaa kimya badala ya Kumkamata DC Jerry Muro kwani Kauli yake hiyo inaweza Kuhatarisha Amani na kukatokea Mzozo wa Kiimani nchini unaowahusu Wakristo (akina Jerry Muro) na Waislamu (akina Haji Manara)

Nakuamini Mheshimiwa Rais wangu Dkt. Magufuli na najua hili hutoliacha lipite hivi hivi. Uwe na Kwaresma njema Mheshimiwa.
Blah blah blah...hii ni proof positive jinsi akili za madrassah zilivyo duni. Hamna mantiki wala hoja hapa zaidi ya utumbo wa nguruwe. Mnakariri na kurudia rudia maneno kwa lugha ambayo hamuielewi.
 
Rais Dkt. Magufuli ulimtumbua upesi yule Mtumishi wa Halmashauri ya Kilosa Ndugu Daniel Maleki ambaye alikuwa ni Afisa Kitengo cha Biashara kwa Kosa la Kuchana Kitabu Kitakatifu cha Quran kinachotumiwa na Waislamu, ila tunashangaa ni kwanini hadi hivi sasa hujamtumbua Mkuu wa Wilaya Jerry Muro kwa Kosa la Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Kauli ya DC Jerry Muro ya Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Sunday Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na Mtandao wa WhatsApp wa Klabu ya Yanga kuwa Elimu aliyonayo Haji Manara ni ya Kufundisha tu Watoto Madrassa Kimantiki (Logically) haina tofauti na Kuwatukana Waislamu hasa ukizingatia kuwa hata hao Walimu wa hizo Madrassa wanatumia hicho hicho Kitabu Tukufu cha Quran.

Na najua Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli una mambo mengi ya kikazi (Kiutendaji) hivyo unaweza mambo mengine ukawa hujaambiwa na Mimi Mpiga Kura wako Mzukulu nakuambia muda kuwa tayari Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae ameamua kwenda mbele ambapo sasa anaenda Kumshtakia DC wako Jerry Muro kwa Waislamu na kama haitoshi tayari kuna Waislamu kadhaa nao wameshaibuka (hasa Walimu wa Madrassa) wanajipanga ili waone Hatua Kali za Kumchukulia DC wako huyu Mpuuzi Jerry Muro kwani wanasema kuwa Dhihaka aliyotoa DC Jerry Muro hakumlenga tu Haji Manara bali amewalenga pia na Waislamu wote nchini.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Waislamu hawa (amba huwa hawana Masihara ukiyagusa Maslahi yao ya Kiimani) wameenda mbele zaidi na Kuhoji ya kwamba kama ni mambo ya Kimchezo ya Utani wa Jadi wa Simba na Yanga kulikuwa na haja gani kwa DC Jerry Muro kuingizia Masuala ya Kiimani (Dini) hadi Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara ambaye anajulikana kuwa ni Mwalimu mzuri mno wa Madrassa?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Mtumishi wako huyu DC Jerry Muro hakuanza leo Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kuna Kipindi huko nyuma aliwahi Kumdhihaki hadi kupitia Ulemavu wake wa Ngozi (Ualbino) kwa Kumuita Dili na hakuchukuliwa hatua ila nina Ushahidi wa Watanzania kama Wawili hivi ambao walikamatwa kwa Kosa la Kuwaita Dili hawa Walemavu wa Ngozi (Maalbino)

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli wapiga Kura wako tunajiuliza Maswali hivi ni kwanini kila ambapo DC wako huyu Jerry Muro akiwa anazungumzia masuala ya Mpira hasa ya Utani huu wa Jadi wa Simba na Yanga akianza Kumtaja Msemaji wa Simba SC Haji Manara ni lazima tu atatoka kwenye lengo na ataanza Kuzungumzia Maisha yake binafsi, kumtukana, kumdharau na kumdhalilisha? Hivi na siku Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae akisema afyatuke (afunguke) kwa mambo binafsi ya DC wako Jerry Muro (ambayo mengine ni mabaya kabisa na yanatia Aibu) patakalika Mheshimiwa? au DC wako Jerry Muro anadhani Yeye ni Msafi hivyo, Muadilifu, Malaika na hana Mauzauza yake tena ambayo yanazidi hata anayomdhihaki nayo Msemaji wa Simba SC Haji Manara?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kama ulimtumbua Mchana Quran Ndugu Daniel Maleki basi nakuomba pia usijiulize katika kumtumbua Mtukana Walimu wa Madrassa Ndugu Jerry Muro kwani wote (Wawili hawa) ni Watumishi wako katika hii Serikali yako ya awamu ya Tano ambayo tunaamini kuwa inatenda Haki (japo najua haki ya kweli huwa ipo Mbinguni tu Kwake Mwenyezi Mungu) Baba Muumba.

Na nasikitika na hata Kushangaa kuona Mamlaka zako husika TCRA imenyamaza juu ya DC wako huyu ( Jerry Muro ) Kumdhihaki Muislamu na Msemaji wa Simba SC Haji Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na pia kwa Jeshi lako la Polisi hasa la Mkoa wa Dar es Salaam kukaa kimya badala ya Kumkamata DC Jerry Muro kwani Kauli yake hiyo inaweza Kuhatarisha Amani na kukatokea Mzozo wa Kiimani nchini unaowahusu Wakristo (akina Jerry Muro) na Waislamu (akina Haji Manara)

Nakuamini Mheshimiwa Rais wangu Dkt. Magufuli na najua hili hutoliacha lipite hivi hivi. Uwe na Kwaresma njema Mheshimiwa.
Nenda mwenyewe Central Police utakuta maelekezo yako pale.
 
Nawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.
Wafanye hivyo ili iwe funzo kwa wengine kama yeye.
Sio kumpa mzigo Magufuli.
 
Mchawi kabisa wewe. Mchonganishi
Rais Dkt. Magufuli ulimtumbua upesi yule Mtumishi wa Halmashauri ya Kilosa Ndugu Daniel Maleki ambaye alikuwa ni Afisa Kitengo cha Biashara kwa Kosa la Kuchana Kitabu Kitakatifu cha Quran kinachotumiwa na Waislamu, ila tunashangaa ni kwanini hadi hivi sasa hujamtumbua Mkuu wa Wilaya Jerry Muro kwa Kosa la Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Kauli ya DC Jerry Muro ya Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Sunday Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na Mtandao wa WhatsApp wa Klabu ya Yanga kuwa Elimu aliyonayo Haji Manara ni ya Kufundisha tu Watoto Madrassa Kimantiki (Logically) haina tofauti na Kuwatukana Waislamu hasa ukizingatia kuwa hata hao Walimu wa hizo Madrassa wanatumia hicho hicho Kitabu Tukufu cha Quran.

Na najua Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli una mambo mengi ya kikazi (Kiutendaji) hivyo unaweza mambo mengine ukawa hujaambiwa na Mimi Mpiga Kura wako Mzukulu nakuambia muda kuwa tayari Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae ameamua kwenda mbele ambapo sasa anaenda Kumshtakia DC wako Jerry Muro kwa Waislamu na kama haitoshi tayari kuna Waislamu kadhaa nao wameshaibuka (hasa Walimu wa Madrassa) wanajipanga ili waone Hatua Kali za Kumchukulia DC wako huyu Mpuuzi Jerry Muro kwani wanasema kuwa Dhihaka aliyotoa DC Jerry Muro hakumlenga tu Haji Manara bali amewalenga pia na Waislamu wote nchini.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Waislamu hawa (amba huwa hawana Masihara ukiyagusa Maslahi yao ya Kiimani) wameenda mbele zaidi na Kuhoji ya kwamba kama ni mambo ya Kimchezo ya Utani wa Jadi wa Simba na Yanga kulikuwa na haja gani kwa DC Jerry Muro kuingizia Masuala ya Kiimani (Dini) hadi Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara ambaye anajulikana kuwa ni Mwalimu mzuri mno wa Madrassa?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Mtumishi wako huyu DC Jerry Muro hakuanza leo Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kuna Kipindi huko nyuma aliwahi Kumdhihaki hadi kupitia Ulemavu wake wa Ngozi (Ualbino) kwa Kumuita Dili na hakuchukuliwa hatua ila nina Ushahidi wa Watanzania kama Wawili hivi ambao walikamatwa kwa Kosa la Kuwaita Dili hawa Walemavu wa Ngozi (Maalbino)

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli wapiga Kura wako tunajiuliza Maswali hivi ni kwanini kila ambapo DC wako huyu Jerry Muro akiwa anazungumzia masuala ya Mpira hasa ya Utani huu wa Jadi wa Simba na Yanga akianza Kumtaja Msemaji wa Simba SC Haji Manara ni lazima tu atatoka kwenye lengo na ataanza Kuzungumzia Maisha yake binafsi, kumtukana, kumdharau na kumdhalilisha? Hivi na siku Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae akisema afyatuke (afunguke) kwa mambo binafsi ya DC wako Jerry Muro (ambayo mengine ni mabaya kabisa na yanatia Aibu) patakalika Mheshimiwa? au DC wako Jerry Muro anadhani Yeye ni Msafi hivyo, Muadilifu, Malaika na hana Mauzauza yake tena ambayo yanazidi hata anayomdhihaki nayo Msemaji wa Simba SC Haji Manara?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kama ulimtumbua Mchana Quran Ndugu Daniel Maleki basi nakuomba pia usijiulize katika kumtumbua Mtukana Walimu wa Madrassa Ndugu Jerry Muro kwani wote (Wawili hawa) ni Watumishi wako katika hii Serikali yako ya awamu ya Tano ambayo tunaamini kuwa inatenda Haki (japo najua haki ya kweli huwa ipo Mbinguni tu Kwake Mwenyezi Mungu) Baba Muumba.

Na nasikitika na hata Kushangaa kuona Mamlaka zako husika TCRA imenyamaza juu ya DC wako huyu ( Jerry Muro ) Kumdhihaki Muislamu na Msemaji wa Simba SC Haji Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na pia kwa Jeshi lako la Polisi hasa la Mkoa wa Dar es Salaam kukaa kimya badala ya Kumkamata DC Jerry Muro kwani Kauli yake hiyo inaweza Kuhatarisha Amani na kukatokea Mzozo wa Kiimani nchini unaowahusu Wakristo (akina Jerry Muro) na Waislamu (akina Haji Manara)

Nakuamini Mheshimiwa Rais wangu Dkt. Magufuli na najua hili hutoliacha lipite hivi hivi. Uwe na Kwaresma njema Mheshimiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Dkt. Magufuli ulimtumbua upesi yule Mtumishi wa Halmashauri ya Kilosa Ndugu Daniel Maleki ambaye alikuwa ni Afisa Kitengo cha Biashara kwa Kosa la Kuchana Kitabu Kitakatifu cha Quran kinachotumiwa na Waislamu, ila tunashangaa ni kwanini hadi hivi sasa hujamtumbua Mkuu wa Wilaya Jerry Muro kwa Kosa la Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Kauli ya DC Jerry Muro ya Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Sunday Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na Mtandao wa WhatsApp wa Klabu ya Yanga kuwa Elimu aliyonayo Haji Manara ni ya Kufundisha tu Watoto Madrassa Kimantiki (Logically) haina tofauti na Kuwatukana Waislamu hasa ukizingatia kuwa hata hao Walimu wa hizo Madrassa wanatumia hicho hicho Kitabu Tukufu cha Quran.

Na najua Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli una mambo mengi ya kikazi (Kiutendaji) hivyo unaweza mambo mengine ukawa hujaambiwa na Mimi Mpiga Kura wako Mzukulu nakuambia muda kuwa tayari Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae ameamua kwenda mbele ambapo sasa anaenda Kumshtakia DC wako Jerry Muro kwa Waislamu na kama haitoshi tayari kuna Waislamu kadhaa nao wameshaibuka (hasa Walimu wa Madrassa) wanajipanga ili waone Hatua Kali za Kumchukulia DC wako huyu Mpuuzi Jerry Muro kwani wanasema kuwa Dhihaka aliyotoa DC Jerry Muro hakumlenga tu Haji Manara bali amewalenga pia na Waislamu wote nchini.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Waislamu hawa (amba huwa hawana Masihara ukiyagusa Maslahi yao ya Kiimani) wameenda mbele zaidi na Kuhoji ya kwamba kama ni mambo ya Kimchezo ya Utani wa Jadi wa Simba na Yanga kulikuwa na haja gani kwa DC Jerry Muro kuingizia Masuala ya Kiimani (Dini) hadi Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara ambaye anajulikana kuwa ni Mwalimu mzuri mno wa Madrassa?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Mtumishi wako huyu DC Jerry Muro hakuanza leo Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kuna Kipindi huko nyuma aliwahi Kumdhihaki hadi kupitia Ulemavu wake wa Ngozi (Ualbino) kwa Kumuita Dili na hakuchukuliwa hatua ila nina Ushahidi wa Watanzania kama Wawili hivi ambao walikamatwa kwa Kosa la Kuwaita Dili hawa Walemavu wa Ngozi (Maalbino)

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli wapiga Kura wako tunajiuliza Maswali hivi ni kwanini kila ambapo DC wako huyu Jerry Muro akiwa anazungumzia masuala ya Mpira hasa ya Utani huu wa Jadi wa Simba na Yanga akianza Kumtaja Msemaji wa Simba SC Haji Manara ni lazima tu atatoka kwenye lengo na ataanza Kuzungumzia Maisha yake binafsi, kumtukana, kumdharau na kumdhalilisha? Hivi na siku Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae akisema afyatuke (afunguke) kwa mambo binafsi ya DC wako Jerry Muro (ambayo mengine ni mabaya kabisa na yanatia Aibu) patakalika Mheshimiwa? au DC wako Jerry Muro anadhani Yeye ni Msafi hivyo, Muadilifu, Malaika na hana Mauzauza yake tena ambayo yanazidi hata anayomdhihaki nayo Msemaji wa Simba SC Haji Manara?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kama ulimtumbua Mchana Quran Ndugu Daniel Maleki basi nakuomba pia usijiulize katika kumtumbua Mtukana Walimu wa Madrassa Ndugu Jerry Muro kwani wote (Wawili hawa) ni Watumishi wako katika hii Serikali yako ya awamu ya Tano ambayo tunaamini kuwa inatenda Haki (japo najua haki ya kweli huwa ipo Mbinguni tu Kwake Mwenyezi Mungu) Baba Muumba.

Na nasikitika na hata Kushangaa kuona Mamlaka zako husika TCRA imenyamaza juu ya DC wako huyu ( Jerry Muro ) Kumdhihaki Muislamu na Msemaji wa Simba SC Haji Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na pia kwa Jeshi lako la Polisi hasa la Mkoa wa Dar es Salaam kukaa kimya badala ya Kumkamata DC Jerry Muro kwani Kauli yake hiyo inaweza Kuhatarisha Amani na kukatokea Mzozo wa Kiimani nchini unaowahusu Wakristo (akina Jerry Muro) na Waislamu (akina Haji Manara)

Nakuamini Mheshimiwa Rais wangu Dkt. Magufuli na najua hili hutoliacha lipite hivi hivi. Uwe na Kwaresma njema Mheshimiwa.
Hatumbuliwi ng'o! Acha kudekadeka kwa kisingizio cha uislam. Pumbavu!
 
Rais Dkt. Magufuli ulimtumbua upesi yule Mtumishi wa Halmashauri ya Kilosa Ndugu Daniel Maleki ambaye alikuwa ni Afisa Kitengo cha Biashara kwa Kosa la Kuchana Kitabu Kitakatifu cha Quran kinachotumiwa na Waislamu, ila tunashangaa ni kwanini hadi hivi sasa hujamtumbua Mkuu wa Wilaya Jerry Muro kwa Kosa la Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Kauli ya DC Jerry Muro ya Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Sunday Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na Mtandao wa WhatsApp wa Klabu ya Yanga kuwa Elimu aliyonayo Haji Manara ni ya Kufundisha tu Watoto Madrassa Kimantiki (Logically) haina tofauti na Kuwatukana Waislamu hasa ukizingatia kuwa hata hao Walimu wa hizo Madrassa wanatumia hicho hicho Kitabu Tukufu cha Quran.

Na najua Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli una mambo mengi ya kikazi (Kiutendaji) hivyo unaweza mambo mengine ukawa hujaambiwa na Mimi Mpiga Kura wako Mzukulu nakuambia muda kuwa tayari Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae ameamua kwenda mbele ambapo sasa anaenda Kumshtakia DC wako Jerry Muro kwa Waislamu na kama haitoshi tayari kuna Waislamu kadhaa nao wameshaibuka (hasa Walimu wa Madrassa) wanajipanga ili waone Hatua Kali za Kumchukulia DC wako huyu Mpuuzi Jerry Muro kwani wanasema kuwa Dhihaka aliyotoa DC Jerry Muro hakumlenga tu Haji Manara bali amewalenga pia na Waislamu wote nchini.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Waislamu hawa (amba huwa hawana Masihara ukiyagusa Maslahi yao ya Kiimani) wameenda mbele zaidi na Kuhoji ya kwamba kama ni mambo ya Kimchezo ya Utani wa Jadi wa Simba na Yanga kulikuwa na haja gani kwa DC Jerry Muro kuingizia Masuala ya Kiimani (Dini) hadi Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara ambaye anajulikana kuwa ni Mwalimu mzuri mno wa Madrassa?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Mtumishi wako huyu DC Jerry Muro hakuanza leo Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kuna Kipindi huko nyuma aliwahi Kumdhihaki hadi kupitia Ulemavu wake wa Ngozi (Ualbino) kwa Kumuita Dili na hakuchukuliwa hatua ila nina Ushahidi wa Watanzania kama Wawili hivi ambao walikamatwa kwa Kosa la Kuwaita Dili hawa Walemavu wa Ngozi (Maalbino)

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli wapiga Kura wako tunajiuliza Maswali hivi ni kwanini kila ambapo DC wako huyu Jerry Muro akiwa anazungumzia masuala ya Mpira hasa ya Utani huu wa Jadi wa Simba na Yanga akianza Kumtaja Msemaji wa Simba SC Haji Manara ni lazima tu atatoka kwenye lengo na ataanza Kuzungumzia Maisha yake binafsi, kumtukana, kumdharau na kumdhalilisha? Hivi na siku Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae akisema afyatuke (afunguke) kwa mambo binafsi ya DC wako Jerry Muro (ambayo mengine ni mabaya kabisa na yanatia Aibu) patakalika Mheshimiwa? au DC wako Jerry Muro anadhani Yeye ni Msafi hivyo, Muadilifu, Malaika na hana Mauzauza yake tena ambayo yanazidi hata anayomdhihaki nayo Msemaji wa Simba SC Haji Manara?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kama ulimtumbua Mchana Quran Ndugu Daniel Maleki basi nakuomba pia usijiulize katika kumtumbua Mtukana Walimu wa Madrassa Ndugu Jerry Muro kwani wote (Wawili hawa) ni Watumishi wako katika hii Serikali yako ya awamu ya Tano ambayo tunaamini kuwa inatenda Haki (japo najua haki ya kweli huwa ipo Mbinguni tu Kwake Mwenyezi Mungu) Baba Muumba.

Na nasikitika na hata Kushangaa kuona Mamlaka zako husika TCRA imenyamaza juu ya DC wako huyu ( Jerry Muro ) Kumdhihaki Muislamu na Msemaji wa Simba SC Haji Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na pia kwa Jeshi lako la Polisi hasa la Mkoa wa Dar es Salaam kukaa kimya badala ya Kumkamata DC Jerry Muro kwani Kauli yake hiyo inaweza Kuhatarisha Amani na kukatokea Mzozo wa Kiimani nchini unaowahusu Wakristo (akina Jerry Muro) na Waislamu (akina Haji Manara)

Nakuamini Mheshimiwa Rais wangu Dkt. Magufuli na najua hili hutoliacha lipite hivi hivi. Uwe na Kwaresma njema Mheshimiwa.

Tunajua wachezaji wa Uongereza lakini Tanzania wanajulikana wasemaji😂
 
Nawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.
Kwahiyo nikimsema Muro kuwa usemaji wa timu hauwezi abaki na kazi yake ya U DC nitakua nimeudharau u DC? Ndiyo maana mtoto wangu sikutaka asome tu madrasa aenda mpaka chuo kikuu kuepuka na ujinga kama huu uliouandika
 
Huyo ndiyo Haji Manara
Rais Dkt. Magufuli ulimtumbua upesi yule Mtumishi wa Halmashauri ya Kilosa Ndugu Daniel Maleki ambaye alikuwa ni Afisa Kitengo cha Biashara kwa Kosa la Kuchana Kitabu Kitakatifu cha Quran kinachotumiwa na Waislamu, ila tunashangaa ni kwanini hadi hivi sasa hujamtumbua Mkuu wa Wilaya Jerry Muro kwa Kosa la Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Kauli ya DC Jerry Muro ya Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Sunday Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na Mtandao wa WhatsApp wa Klabu ya Yanga kuwa Elimu aliyonayo Haji Manara ni ya Kufundisha tu Watoto Madrassa Kimantiki (Logically) haina tofauti na Kuwatukana Waislamu hasa ukizingatia kuwa hata hao Walimu wa hizo Madrassa wanatumia hicho hicho Kitabu Tukufu cha Quran.

Na najua Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli una mambo mengi ya kikazi (Kiutendaji) hivyo unaweza mambo mengine ukawa hujaambiwa na Mimi Mpiga Kura wako Mzukulu nakuambia muda kuwa tayari Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae ameamua kwenda mbele ambapo sasa anaenda Kumshtakia DC wako Jerry Muro kwa Waislamu na kama haitoshi tayari kuna Waislamu kadhaa nao wameshaibuka (hasa Walimu wa Madrassa) wanajipanga ili waone Hatua Kali za Kumchukulia DC wako huyu Mpuuzi Jerry Muro kwani wanasema kuwa Dhihaka aliyotoa DC Jerry Muro hakumlenga tu Haji Manara bali amewalenga pia na Waislamu wote nchini.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Waislamu hawa (amba huwa hawana Masihara ukiyagusa Maslahi yao ya Kiimani) wameenda mbele zaidi na Kuhoji ya kwamba kama ni mambo ya Kimchezo ya Utani wa Jadi wa Simba na Yanga kulikuwa na haja gani kwa DC Jerry Muro kuingizia Masuala ya Kiimani (Dini) hadi Kuwadhihaki Walimu wa Madrassa kupitia Msemaji wa Simba SC Haji Manara ambaye anajulikana kuwa ni Mwalimu mzuri mno wa Madrassa?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli Mtumishi wako huyu DC Jerry Muro hakuanza leo Kumdhihaki Msemaji wa Simba SC Haji Manara na kuna Kipindi huko nyuma aliwahi Kumdhihaki hadi kupitia Ulemavu wake wa Ngozi (Ualbino) kwa Kumuita Dili na hakuchukuliwa hatua ila nina Ushahidi wa Watanzania kama Wawili hivi ambao walikamatwa kwa Kosa la Kuwaita Dili hawa Walemavu wa Ngozi (Maalbino)

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli wapiga Kura wako tunajiuliza Maswali hivi ni kwanini kila ambapo DC wako huyu Jerry Muro akiwa anazungumzia masuala ya Mpira hasa ya Utani huu wa Jadi wa Simba na Yanga akianza Kumtaja Msemaji wa Simba SC Haji Manara ni lazima tu atatoka kwenye lengo na ataanza Kuzungumzia Maisha yake binafsi, kumtukana, kumdharau na kumdhalilisha? Hivi na siku Msemaji wa Simba SC Haji Manara nae akisema afyatuke (afunguke) kwa mambo binafsi ya DC wako Jerry Muro (ambayo mengine ni mabaya kabisa na yanatia Aibu) patakalika Mheshimiwa? au DC wako Jerry Muro anadhani Yeye ni Msafi hivyo, Muadilifu, Malaika na hana Mauzauza yake tena ambayo yanazidi hata anayomdhihaki nayo Msemaji wa Simba SC Haji Manara?

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kama ulimtumbua Mchana Quran Ndugu Daniel Maleki basi nakuomba pia usijiulize katika kumtumbua Mtukana Walimu wa Madrassa Ndugu Jerry Muro kwani wote (Wawili hawa) ni Watumishi wako katika hii Serikali yako ya awamu ya Tano ambayo tunaamini kuwa inatenda Haki (japo najua haki ya kweli huwa ipo Mbinguni tu Kwake Mwenyezi Mungu) Baba Muumba.

Na nasikitika na hata Kushangaa kuona Mamlaka zako husika TCRA imenyamaza juu ya DC wako huyu ( Jerry Muro ) Kumdhihaki Muislamu na Msemaji wa Simba SC Haji Manara kupitia Kituo cha Redio cha Wasafi FM na pia kwa Jeshi lako la Polisi hasa la Mkoa wa Dar es Salaam kukaa kimya badala ya Kumkamata DC Jerry Muro kwani Kauli yake hiyo inaweza Kuhatarisha Amani na kukatokea Mzozo wa Kiimani nchini unaowahusu Wakristo (akina Jerry Muro) na Waislamu (akina Haji Manara)

Nakuamini Mheshimiwa Rais wangu Dkt. Magufuli na najua hili hutoliacha lipite hivi hivi. Uwe na Kwaresma njema Mheshimiwa.
Screenshot_20200227-190434.jpeg


In God we Trust
 
We ndio fala kweli yaani unataka Rais aache kazi za kuendeleza Taifa akusikilize wewe poyoyo na uyo mchonga domo mwenzako punguani kabisa rudi uko madrasa ukakrem tena kikureshia.
 
Back
Top Bottom