minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Wewe utakuwa ni mfanyakazi wa hapo Mloganzila palalamikiwa, umejitahidi kuwatetea lakini kubali ukatae hapo Hospt kwenu kumejaa uzembe na makusudi nyingi ikiwemo kuwatumia madaktari wanafunzi ambao wengi bado kujua udaktari vizuri, kwa kweli Hiyo Hospt ina mapungufu yake tena mengi sana lazima magufuli afanye ziara ya kushitukizaKazi ya daktari sio kuzuia kifo. Kazi yake ni kutibu, whether mgonjwa atapona au laa ilo analijua Mungu aliyetupa uhai. Suala la vifo 11 Mloganzila kwa usiku mmoja sio ajabu sana. Naamini hata ukienda MNH ukachukua records za siku nzima ya jana kwa idara zote utakuta vifo zaidi ya kumi na moja. Suala la mgonjwa wako kufa, pole kwanza kwa kufiwa. Lakini ungeuliza zaidi kuhusu sababu ya kifo. Si kweli kwamba ajali ya mguu haiwezi kumuua mtuu. Unajua average blood loss of a femur? Inaeza muua mtu hasa kama alichelewa kupata blood replacement.