Rais Magufuli, ukiwa unatoka Chato pitia Hospitali ya Mlonganzila iliyobatizwa Vingunguti

Wewe utakuwa mpiga dili au CDM mawakala wa mabeberu nyie, mnataka kuichonganisha Serikali na Wananchi..Watu kama nyie ndio mnamkatisha tamaa Rais wetu kipenzi..

Awamu ya tano chini ya Jemedari Dr JPM haiwezi kuwa na uzembe wa hivyo, nidhamu kwa sasa imerudi makazini, watu wanawahi makazini na wanapiga kazi kama mchwa, heko awamu ya tano, heko Rais wetu kipenzi Dr JPM..
Comment kama hzi ndo zinahitajika kwa serikali ya sasa.

Mkuu omba yasikukute

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na hatua zingine.... zipitiwe camera na kujionea uzembe unaofanyika hapo. Naona watu wanachezea kazi wakati mitaani kuna vijana wengi wanakesha na kuomba wapate ajira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi cku hzi pf3 haimfuati mtu hospitali?
Hata wewe!
Hujitambui kiasi hiki?
Mimi nilichukua majeruhi eneo la ajali, jambo la kwanza nilipiga simu polisi kuwa naleta majeruhi waandae pf3, nilipofika niliwapelekesha na dk 3 maelezo tayari nikaelekea hosp ya Mount Meru.
Sikuamini macho yangu
Wauguzi na madaktari
Hawajali, naomba kitanda cha kubebea mgonjwa hakuna anayejigusa.
Nilipiga kelele vibaya mno wakatawanyika
Kutafta kitanda cha kubebea, ghafla kila mmoja aksja na kitanda chake.
Baada ya majeruhi kuingizwa akawa anaangaliwa tu hakuna huduma za dharura hadi nilipie.
Nikaenda kufuata taratibu zote na kulipa.
Akapewa kitanda lkn hakuna cha huduma.
Niliingia kwa daktari kwa mkwara mzito...yaani ghafla walijaa kumshughulikia majeruhi...waliniogopa balaa..
Wakawa wanasema huyu ni polisi na kila mtu akawa ananihofu lkn nilifurahi majeruhi alihudumiwa na baada ya siku 3 akaruhusiwa.

Tuwandekeza sana hawa...
Hivi ulinyamaza je mnawekwa bila huduma na mijitu inacheza cheza hapo?
Ungemkaba mmoja na kumtishia kumpiga na wananchi wangekusapoti.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shida ni kujaza WANAJESHI MADAKTARI hapo ndio sababu ya yote haya! JPM hajui kuwa hao ni wavivu wa kazi magwanda tu yanawasitiri! afanye utafit atajua
Ukiwa mjeshi tu,wewe ni zaidi ya raia,una vitu vya hali ya juu,ndiyomaana JPM anawafanyia chochote aonacho kitawafurahisha.
 
Kazi ya daktari sio kuzuia kifo. Kazi yake ni kutibu, whether mgonjwa atapona au laa ilo analijua Mungu aliyetupa uhai.

Suala la vifo 11 Mloganzila kwa usiku mmoja sio ajabu sana. Naamini hata ukienda MNH ukachukua records za siku nzima ya jana kwa idara zote utakuta vifo zaidi ya kumi na moja.

Suala la mgonjwa wako kufa, pole kwanza kwa kufiwa. Lakini ungeuliza zaidi kuhusu sababu ya kifo. Si kweli kwamba ajali ya mguu haiwezi kumuua mtu. Unajua average blood loss of a femur? Inaeza muua mtu hasa kama alichelewa kupata blood replacement.
 
Nikisema mnyika amelitelekeza jimbo la kibamba amejipa ubunge wa taifa kama zzk mbunge wa kigoma mjini yupo mabibo sokoni,kkoo,temeke na mbagala anakusanya kero za wafanyabiashara wakati ujiji masoko kibao na hawajawahi kumuona

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Mnyika unataka afanye nini mbona unajitoa ufahamu sana wewe?
.
Hiyo hospital ni ya mafunzo huyo kaka yako ni apparatus ya madaktari wanaojifunza kama hujui ndio ushajua sasa na ukome kupeleka mgonjwa pale tena!
Alafu wewe hujatembea hospital za mikoani uone watu waliopo wodi za kawaida wanavyoukata wewe
.
11 tu unakaza shingo hujaona bado nenda hospital ya igunga
 
..halafu NDUGAI alikuwa anasisitiza LISSU atibiwe hapa nchini.

..nakwambia yule angekufa kwa tatizo dogo sana na siyo majeraha aliyoyapata.

..kati ya maamuzi ya busara kabisa ya Mh.Mbowe, pamoja na zero aliyopata form 6, ni kumuwahisha Lissu Nairobi.

..MUNGU pia ambariki Dr.Mpoki aliyesisitiza kuwa Lissu apelekwe Nairobi na siyo Muhimbili.

Cc tindo
Form four alipata division 5 au 4 ?
 
Form four alipata division 5 au 4 ?

..inawezekana alifaulu vizuri form 4 ndiyo maana akafika Ihungo high school.

..nimeshuhudia mtu amepata 1 form 4. Then O form 6. Akaenda kusomea medical assistant, sasa hivi ana PhD ya medicine.

..kufeli form 4 au 6 haimaanishi kwamba mhusika atashindwa maisha.
 
Bora wajenge muhitatu au muhinne maana muhimbili imebakia mbili hawana jipya kiwekuwa kisiwa cha kuchukua uhai wa watu huko kibamba mloganzila, ni wakati Serikali ya wapenda Ndege ijenge Hospt kubwa sana Dodoma yenye hadhi ya kimataifa ili wagonjwa toka nchi jirani waje pia kutibiwa.
 
Gharama za kununua Ndege moja zonatosha kujenga Hospt kadhaa za rufaa Moro, pwani, Tanga Iringa Lindi mtwara na kupunguza msongamano wa wagonjwa toka mikoani
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom