T2020JPM
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 635
- 263
Magufuli kushinda hilo lipo wazi kabisa kwa kazi njema aliyoifanya hadi vipofu wameiona.Kama wewe unavyopiga ramli kwamba magufuli atashinda???
Magufuli kushinda hilo lipo wazi kabisa kwa kazi njema aliyoifanya hadi vipofu wameiona.Kama wewe unavyopiga ramli kwamba magufuli atashinda???
Waulize wenzio Presha juuComrade una mawazo mfu sana, Lissu awezi kushinda kamwe wala uyo mtetezi wa wasenge Amsterdam hana madhara yeyote kwetu.
Wenzangu wakina nani comrade?Waulize wenzio Presha juu
Kuua hapana ila mahakamani ndiyo mahala pake,atafute Haki yake na ikibidi akose dhamana kama Mh.Lema tuone kama atatoka salama huko!Mkuki kwa nguruwe...Itategemeana na nani kashinda ,ikiwa Maganja au shibuda mbona anaachia kwa mbwembwe kabisa
Shida itakuja ukiwa lissu atashinda mzee jiwe atafikiri juu ya mayanga construction company ,25000 hekari ,Mauza uza ya Acacia sijui wasiojulikana ataamua bora waniulie kwa kiti
Suala ni kukubali matokeo ya kura iwapo atashindwa.Hayo mawazo ya Jua kukucha kutoka Magharibi,sijui mvua inyeshe kutokea ardhini ni sawa?Ushindi wa Magufuli ni Natural? Mbona tunafanya Uchaguzi kama matokeo tayari mnayo?JPM kushindwa u Rais , ni sawa na jua lianze kutoka magharibi kwenda mashariki, au mvua ianze kunyesha kutokea ardhini kwenda mawinguni au mwezi uanze kuangaza mchana na jua usiku.
Epukeni kujipa matumaini hewa ambayo hapo baadae yatawaacha na simanzi kubwa huku mioyo imejaa machozi kwa kutokuamini kile kilichotokea
Magufuli alipakalia,ni Mwanaharakati gani atashindwa?Ikulu ni yetu Watanzania na atakayepewa na Wananchi ataingia kwa hiyo msitupangie.Ikulu ni mahali patakatifu, si sehemu pa wanaharakati kufanyia majaribio ya uongozi
Alisikika mjinga mmoja pale ufipa akiota ndoto za mchana.Magufuli kishaanza kuaga pale ikulu anajua anashindwa ktk uchaguzi huu. Ameomba aondoke na tausi 25 akafuge kwake.
Your nailed it clearlyMara zote huwa napenda kuwakumbusha wakati wa uboreshaji wa taarifa kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.
CCM ilihamasisha sana watu wake tofauti na nyie mlikuwa mnawaambia wagomee, tena wengine walikuwa wanapost picha mitandaoni kwa furaha kabisa kwamba vituoni hakuna watu na hilo ndio litawagharimu, msitegemee kupata ushindi eti kutoka kwa wana CCM wanaomchukia JPM
Hilo analijua na liko wazi anachokifanya ni kuchangamsha jukwaaa.Mkuu amini nikwambiacho na akili yako uanze kuiandaa kisaikolojia kuwa JPM mitano tena, bila matusi wala nini
Huyo Robert Amsterdam hawezi kuwa na impact yoyote. Ongea mengine tu.Kawekwa Kati kulia nguvu ya umma, kushoto, Robert Amsterdam anafile kesi direct the Hague, kaskazini usa, ulaya, china na jumuia za kimataifa zinataka ngoma ipigwe sawa ili kuleta haki.Huku Askari tegemeo awaaminiki awajaongezewa mishahara 5 yrs wanaweza wasitii maagizo, Huku wakiweka uchaguzi huru hofu ya kutoboa ni ngumu,
Wana mtihani mzito sana
Ile Picha ilikua kwenye kujiandikisha kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ambayo tayari chadema walikua wameisusia Ndo maana uliona Picha za kucheka vituo kua wazi ila kwenye uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura watu walijitokeza tena kulikua na foleni kubwa tu especially kwa mazingira ninayoishi mimi
Kushinda au kutangazwa ni lazima?Nakazia Magufuli kushinda ni lazima.
Sasa akishashinda unategemea atatangazwa nani? Comrade mbona maswali ya kitoto?Kushinda au kutangazwa ni lazima?
Na huu muda unakuja around the corner ....Itategemeana na nani kashinda ,ikiwa Maganja au shibuda mbona anaachia kwa mbwembwe kabisa
Shida itakuja ukiwa lissu atashinda mzee jiwe atafikiri juu ya mayanga construction company ,25000 hekari ,Mauza uza ya Acacia sijui wasiojulikana ataamua bora waniulie kwa kiti
Shida inaanzia hapa mjenga nchi ni mwananchi na mbomoa nchi ni mwananchi.JPM kushindwa u Rais , ni sawa na jua lianze kutoka magharibi kwenda mashariki, au mvua ianze kunyesha kutokea ardhini kwenda mawinguni au mwezi uanze kuangaza mchana na jua usiku.
Epukeni kujipa matumaini hewa ambayo hapo baadae yatawaacha na simanzi kubwa huku mioyo imejaa machozi kwa kutokuamini kile kilichotokea