Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,049
- 2,537
Nimekupa LIKE kwa sababu umeongea la maana na umejua mshindi ni naniAtakayeshinda kwa haki ndiye atangazwe hilo tu lakini uhuni kama ule wa Jecha safari hii hapana.
Nimekupa LIKE kwa sababu umeongea la maana na umejua mshindi ni naniAtakayeshinda kwa haki ndiye atangazwe hilo tu lakini uhuni kama ule wa Jecha safari hii hapana.
Kiongozi imara ni yule anayesimamia anachokiamini kuwa ni sahihi kwa mustakabali mzuri wa nchi bila kujali idadi ya wachumia tumbo na wapiga dili watakaomkataa kwenye sanduku la kura.Sema kutangazwa lazima...
Ila angalau atakua ameelewa ni nini cha kufanya baada ya watu wengi kumkataa
Mkuu kwani kuna haja gani ya kuongea kwa jazba na matusi, hata wewe unaruhusiwa kuchangia kile unachokiamini kwa mgombea hakuna atakaekutukana bosiAngalia hizi bangi zinavyofanya kazi!
Hayo jisemee wewe. Uimara wake sio kukandamiza watuKiongozi imara ni yule anayesimamia anachokiamini kuwa ni sahihi kwa mustakabali mzuri wa nchi bila kujali idadi ya wachumia tumbo na wapiga dili watakaomkataa kwenye sanduku la kura.
Magufuli ni kiongozi imara sana nyie mkimkataa sisi wazalendo wa kweli tutamchagua kwa wingi wetu.
"Jazba" na "matusi" hapo yako wapi?Mkuu kwani kuna haja gani ya kuongea kwa jazba na matusi, hata wewe unaruhusiwa kuchangia kile unachokiamini kwa mgombea hakuna atakaekutukana bosi
Wapiga dili lazima mseme mmekandamizwa si mirija imekatwaHayo jisemee wewe. Uimara wake sio kukandamiza watu
"Angalia hizi bangi zinavyofanya kazi" nikikuuliza lini mimi na wewe tulikaa pamoja ukaniona navuta bangi utakuwa na la kunijibu?"Jazba" na "matusi" hapo yako wapi?
Nani katusiwa?
Sawa kama sisi wa fao la kujitoa ni wapiga dili...Wapiga dili lazima mseme mmekandamizwa si mirija imekatwa
Apende asipende atakabidhi hata kama ni kwa mawe.Rais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI
Ndio maana nimekwambia kwa mustakabali mzuri wa taifa yaliyotendeka yalipaswa kutendekaSawa kama sisi wa fao la kujitoa ni wapiga dili...
Au wale wafanyakazi ambao hawajaongezewa mishahara nao ni wapiga dili
Pambana Kijana,akishindwa tu kibarua kinaota nyasi.Nakazia Magufuli kushinda ni lazima.
Huwezi ukawakandamiza wanyonge alafu useme yalipaswa kutendeka kwa hisia tu bila makubaliano kama ilivyo ainishwa kwenye katiba.Ndio maana nimekwambia kwa mustakabali mzuri wa taifa yaliyotendeka yalipaswa kutendeka
Nadhani hukuelewa swali sikiliza swali akishinda au kushindwa kwa haki atayakubali matokeo yaani kukalia kiti akishinda na kutokikalia kiti akishindwa sasa hapo sijui ndoto yanatoka wapi hayoJPM kushindwa u Rais , ni sawa na jua lianze kutoka magharibi kwenda mashariki, au mvua ianze kunyesha kutokea ardhini kwenda mawinguni au mwezi uanze kuangaza mchana na jua usiku.
Epukeni kujipa matumaini hewa ambayo hapo baadae yatawaacha na simanzi kubwa huku mioyo imejaa machozi kwa kutokuamini kile kilichotokea
Kwamba Lissu atakuja kufunga kampuni na biashara zangu? comrade kuwa na fikra kidogo basi.Pambana Kijana,akishindwa tu kibarua kinaota nyasi.
Mimi nilijibu bandiko nililoliona kuwa la kibangibangi. Mwandishi wake simjui."Angalia hizi bangi zinavyofanya kazi" nikikuuliza lini mimi na wewe tulikaa pamoja ukaniona navuta bangi utakuwa na la kunijibu?
Hilo kwangu ni tusi, hebu tuheshimiane tu mkuu kama ni kutukana mbona kila mmoja anajua.
Atakabidhi apende asipendeRais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI
Hawezi kukubaali hata ssiku moja.Rais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI
He will bow down gentlemanly; otherwise will be forced out of the presidential office.Magufuli hata akishindwa uchaguzi na figisu zake zote ni king'ang'anizi hivyo ni ngumu sana kuwa tayari kuachia madaraka.
Kwa kipindi chake tu hiki cha kwanza cha miaka 5 ameonyesha kila dalili za kutaka kuwa Rais asiye na ukomo wa madaraka.
Watanzania tuamke Magufuli anaharibu nchi.