Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Lizaboni said:
Hofu yangu ni je akiwa souble Argent?
Yale yale ya fent ford...ama wewe ndiye Sizonje au ni mwanaye Bashite, chagua mwenyewe!
 
Hali teee ccm wanazid kuokoteza tuu naona....shamba walime wao alafu mazao anavuna mamluki... Dharau kubwa mnoo hizo kwa wana ccm...time will tell soon
 
Mweshimiwa Rais Dr: Magufuli ningependa kama utapangua safu yako ya uongozi mlete Dr slaa huyu anaweza kuwa kiungo mzuri wa kwendana na kasi yako!

Ni mtu mwadilifu !!

Mtu mtiifu Mwenye pia hofu ya mungu!!

Dr slaa naamini kabisa bado ana uwezi wa kulitumikia taifa kutoka na misimamo yake thabiti wengi mtakuwa mashaidi jinsi alivyokuwa ameijenga chadema kufanya kuwa taasisi imara huko nyuma misimamo yake juu ya mustakabari wa nchi hii anazo sifa zote za kufanikisha ndoto yake ya kulitumikia taifa kwa njia nyingine!!

Rais wetu naamini wewe ni msikivu. Tafathari lifanyie kazi jambo hili
Huyu mtu anakufaa sio lazima awe waziri hapana ilimladi aweze kulisaidia taifa!!

Ni vema sana kama angeungana na kufanya kazi na wewe kwani ni makini sana kama walivyo baadhi ya mawaziri wako walio makini kama

Hussein Mwinyi
Makame Mbarawa na
Joyce Ndalichako

Rais magufuli mlete Dr slaa!!
Kakuya
 
Hatimae raisi wetu mtukufu, ameskia kilio chako.

Big up wazee wa kufukua makaburi
 
Hali teee ccm wanazid kuokoteza tuu naona....shamba walime wao alafu mazao anavuna mamluki... Dharau kubwa mnoo hizo kwa wana ccm...time will tell soon

Hahaha...we jamaa mchochezi sana...yaani unataka kusema kuna watu wanakomaa miaka yote hiyo kwenye chama halafu hakuna teuzi halafu anatokea mtu kiulaini tu anapewa shavu...
 
Mweshimiwa Rais Dr: Magufuli ningependa kama utapangua safu yako ya uongozi mlete Dr slaa huyu anaweza kuwa kiungo mzuri wa kwendana na kasi yako!

Ni mtu mwadilifu !!

Mtu mtiifu Mwenye pia hofu ya mungu!!

Dr slaa naamini kabisa bado ana uwezi wa kulitumikia taifa kutoka na misimamo yake thabiti wengi mtakuwa mashaidi jinsi alivyokuwa ameijenga chadema kufanya kuwa taasisi imara huko nyuma misimamo yake juu ya mustakabari wa nchi hii anazo sifa zote za kufanikisha ndoto yake ya kulitumikia taifa kwa njia nyingine!!

Rais wetu naamini wewe ni msikivu. Tafathari lifanyie kazi jambo hili
Huyu mtu anakufaa sio lazima awe waziri hapana ilimladi aweze kulisaidia taifa!!

Ni vema sana kama angeungana na kufanya kazi na wewe kwani ni makini sana kama walivyo baadhi ya mawaziri wako walio makini kama

Hussein Mwinyi
Makame Mbarawa na
Joyce Ndalichako

Rais magufuli mlete Dr slaa!!
Hongera kwa ushauri wako.
Kilichofanyika ni jibu tosha kuwa Rais ni msikivu anaye kubali ushauri.
Tuendelee kumshauri Mh. Rais JPM kwa unyenyekevu.
 
Sina hakika kwamba Dr slaa ni mzalendo, kwani sioni tofauti yake na prof. I abmupil...taifa imara ni lenye upinzani imara kwakuwa wao ndy huchochea maendeleo
 
Sina hakika kwamba Dr slaa ni mzalendo, kwani sioni tofauti yake na prof. I abmupil...taifa imara ni lenye upinzani imara kwakuwa wao ndy huchochea maendeleo
Kwa hiyo wapinzani wakihitaji kwenda ccm awakatae? Halafu anaye udhoofisha upinzani ni nani kama siyo viongozi wa upinzani!
 
Kwa hiyo wapinzani wakihitaji kwenda ccm awakatae? Halafu anaye udhoofisha upinzani ni nani kama siyo viongozi wa upinzani!

Hakuna shida ya mwanachama kuhama kutoka chama kimoja kwend kingne lkn suala la uzalendo siyo suala la vyama bali ni la mtu binafsi, lkn pia kwa maslahi mapana ya taifa ili tuweze kupata maendeleo tunahitaji kuwa na upinzani thabiti kuweza kuchochea watawala kufanya vyema .
Moja ya nyenzo ya kudhoofu kwa maendeleo ya taifa ni kudhoofu kwa upinzani haijalishi umedhoofiswa na mtawala au umedhoofu kwa jitihada za wapinzani wenywe
 
God is good kaka
Nilikuwa napitia machapisho ya nyuma nikakukumbuka ndugu, najaribu kuwaza wana waoemu vindaki ndaki ambao wamekisotea chama wanajisikiaje na hizi teuzi za watu toka upinzani....najaribu kuwaza ila maana wanaofaa kupewa hizi hot posts ni wanaotoka upinzani tu kwa kuwa ni vichwa sana? Kwamba wasio na appointments ni magarasa ndani ya chama ama ni kuzidi kuwavutia wapinzani ili kuuzika kabisa upinzani? Nawaza tu...
 
Nilikuwa napitia machapisho ya nyuma nikakukumbuka ndugu, najaribu kuwaza wana waoemu vindaki ndaki ambao wamekisotea chama wanajisikiaje na hizi teuzi za watu toka upinzani....najaribu kuwaza ila maana wanaofaa kupewa hizi hot posts ni wanaotoka upinzani tu kwa kuwa ni vichwa sana? Kwamba wasio na appointments ni magarasa ndani ya chama ama ni kuzidi kuwavutia wapinzani ili kuuzika kabisa upinzani? Nawaza tu...
Jinamizi la CHADEMA linatisha sana
 
Back
Top Bottom