Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,580
- 23,915
Yale yale ya fent ford...ama wewe ndiye Sizonje au ni mwanaye Bashite, chagua mwenyewe!Lizaboni said:Hofu yangu ni je akiwa souble Argent?
Yale yale ya fent ford...ama wewe ndiye Sizonje au ni mwanaye Bashite, chagua mwenyewe!Lizaboni said:Hofu yangu ni je akiwa souble Argent?
Hofu yako imeisha??Hofu yangu ni je akiwa souble Argent?
Bado unahofu Mkuu? Ila inauma sana kuteuliwa watu wengine ilhali chama kina hazina za kutosha.Hofu yangu ni je akiwa souble Argent?
Leo nimeamini kweli CCM haina viongozi.Hii ni dharau kubwa kwa ccm! Yani ina maana ndani ya chama hakuna mwingine yoyote anayefaa zaidi ya Slaa? Tuwe watu wa tafakuri
will tell soonKakuyaMweshimiwa Rais Dr: Magufuli ningependa kama utapangua safu yako ya uongozi mlete Dr slaa huyu anaweza kuwa kiungo mzuri wa kwendana na kasi yako!
Ni mtu mwadilifu !!
Mtu mtiifu Mwenye pia hofu ya mungu!!
Dr slaa naamini kabisa bado ana uwezi wa kulitumikia taifa kutoka na misimamo yake thabiti wengi mtakuwa mashaidi jinsi alivyokuwa ameijenga chadema kufanya kuwa taasisi imara huko nyuma misimamo yake juu ya mustakabari wa nchi hii anazo sifa zote za kufanikisha ndoto yake ya kulitumikia taifa kwa njia nyingine!!
Rais wetu naamini wewe ni msikivu. Tafathari lifanyie kazi jambo hili
Huyu mtu anakufaa sio lazima awe waziri hapana ilimladi aweze kulisaidia taifa!!
Ni vema sana kama angeungana na kufanya kazi na wewe kwani ni makini sana kama walivyo baadhi ya mawaziri wako walio makini kama
Hussein Mwinyi
Makame Mbarawa na
Joyce Ndalichako
Rais magufuli mlete Dr slaa!!

Hali teee ccm wanazid kuokoteza tuu naona....shamba walime wao alafu mazao anavuna mamluki... Dharau kubwa mnoo hizo kwa wana ccm...timewill tell soon
Hongera kwa ushauri wako.Mweshimiwa Rais Dr: Magufuli ningependa kama utapangua safu yako ya uongozi mlete Dr slaa huyu anaweza kuwa kiungo mzuri wa kwendana na kasi yako!
Ni mtu mwadilifu !!
Mtu mtiifu Mwenye pia hofu ya mungu!!
Dr slaa naamini kabisa bado ana uwezi wa kulitumikia taifa kutoka na misimamo yake thabiti wengi mtakuwa mashaidi jinsi alivyokuwa ameijenga chadema kufanya kuwa taasisi imara huko nyuma misimamo yake juu ya mustakabari wa nchi hii anazo sifa zote za kufanikisha ndoto yake ya kulitumikia taifa kwa njia nyingine!!
Rais wetu naamini wewe ni msikivu. Tafathari lifanyie kazi jambo hili
Huyu mtu anakufaa sio lazima awe waziri hapana ilimladi aweze kulisaidia taifa!!
Ni vema sana kama angeungana na kufanya kazi na wewe kwani ni makini sana kama walivyo baadhi ya mawaziri wako walio makini kama
Hussein Mwinyi
Makame Mbarawa na
Joyce Ndalichako
Rais magufuli mlete Dr slaa!!
Hakuna jomba.. kila mmoja ni mchumia tumboHivi mzalendo wa kweli nchi hii ni nani?
Kwa hiyo wapinzani wakihitaji kwenda ccm awakatae? Halafu anaye udhoofisha upinzani ni nani kama siyo viongozi wa upinzani!Sina hakika kwamba Dr slaa ni mzalendo, kwani sioni tofauti yake na prof. I abmupil...taifa imara ni lenye upinzani imara kwakuwa wao ndy huchochea maendeleo
Kwa hiyo wapinzani wakihitaji kwenda ccm awakatae? Halafu anaye udhoofisha upinzani ni nani kama siyo viongozi wa upinzani!
Mshana habari ya muda huu ndugu!Hii ni dharau kubwa kwa ccm! Yani ina maana ndani ya chama hakuna mwingine yoyote anayefaa zaidi ya Slaa? Tuwe watu wa tafakuri
God is good kakaMshana habari ya muda huu ndugu!
Nilikuwa napitia machapisho ya nyuma nikakukumbuka ndugu, najaribu kuwaza wana waoemu vindaki ndaki ambao wamekisotea chama wanajisikiaje na hizi teuzi za watu toka upinzani....najaribu kuwaza ila maana wanaofaa kupewa hizi hot posts ni wanaotoka upinzani tu kwa kuwa ni vichwa sana? Kwamba wasio na appointments ni magarasa ndani ya chama ama ni kuzidi kuwavutia wapinzani ili kuuzika kabisa upinzani? Nawaza tu...God is good kaka
Jinamizi la CHADEMA linatisha sanaNilikuwa napitia machapisho ya nyuma nikakukumbuka ndugu, najaribu kuwaza wana waoemu vindaki ndaki ambao wamekisotea chama wanajisikiaje na hizi teuzi za watu toka upinzani....najaribu kuwaza ila maana wanaofaa kupewa hizi hot posts ni wanaotoka upinzani tu kwa kuwa ni vichwa sana? Kwamba wasio na appointments ni magarasa ndani ya chama ama ni kuzidi kuwavutia wapinzani ili kuuzika kabisa upinzani? Nawaza tu...