Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state

Hatukatai sgr na stigle,kimsingi siasa imemshinda wakati wa kikwete,mkapa hata nyelele ushoga ulikwepo,wanafunzi wazazi hawakuruhusiwa kuendelea na masomo,kwa nini yeye??amembeba bashite mgongoni seeeeeeh!!!siasa imemshinda,na we we acha kutete uongo huo sio uzalendo Hivi unafurahia kutekwa akina mo,issue ya tundulisi,mbowe yupo ndani na sasa mwalimu,kwa nini ccm hawafungwi ila chadema?kukatwa mafao ya watumishi,mishahara kiduchu,ajira hakuna,wakulima hali mbaya unafurahia tuu na kutuletea mada ya uongo??sema ukweli use huru
Kama huko kote hivyo vilikuwepo na hawakupiga kelele na kama kuna nchi Africa zinaongoza kwa uvunjifu wa democracy na hawapigi kelele. Hoja ni KUNA MAHALI MASLAI YAO YAMEBANWA. Hakuna cha tamko la makonda hakuna cha nani kupigwa risasi wala nini, ISHU NI JPMBKUWAFYEKELEA MBALI kwenye MASLAI YAO
 
Hivi kuna mtu humu atakaelezea:

African Domocracy

European Democracy

Asian Democracy

American Democracy tuone kama ipo ambayo inapinga zile hoja 14 za EU?
Eti African democracy, hata natural justice tu imevunjwa bado utetezi! Poor Sukumas.
 
Hivi kuna mtu humu atakaelezea:

African Domocracy

European Democracy

Asian Democracy

American Democracy tuone kama ipo ambayo inapinga zile hoja 14 za EU?
Eti African democracy, hata natural justice tu imevunjwa bado utetezi! Poor Sukumas.
unaonekana una mahaba mazito na ulaya na Marekani. karibu nchi zote hazifuati hivyo vipengele 14 kwa asilimia 100 kwa sababu kwa kufanya hivyo kunampa raia uhuru usio na mipaka na kwa kuwa sheria na katiba vipo kwa kila nchi mipaka lazima iwepo. acha mahaba
 
Bwana Pascal Samahani lakini do u think your thread support government? Sikia kuna mambo ni mazito sana hata kuandika thread unabidi uwaze mara Mia ask me why?
Je trade balance yetu ipoje ktk Africa mashariki tu? Ukijuwa hili hata mkuu mwenyewe akisoma thread yako anatetemeka maana upo ukweli na ukweli ktk uchumi ni demand and supply kwa kila kitu unafanya.
As a nation we need trade balance ndipo tuwe na ubavu kuwavimbishia hawa jamaa. Bad thing we import more than export then we have poor BOT I mean balance of trade.
Naili uwe na powerfull purchasing power as nation fx reserve yako lazima iwe kubwa na iwe sio ya mashaka.
This guy place on our government time boom on our economy just FYI na ndio maana kama mimi ningeishahuri serikali kutumia genius kuteguwa hiki kitendawili maana hii miradi mkuu kaianzisha inakula pesa na hawa jamaa wakijuwa what next wamekuja na hii kitu watutegue.
Wametupulizia sumu ambayo ikachukua mwaka au miaka kuharibu uchumi wetu wewe subiri kama hali hii haitobadilika utaona budget ya 2019/2020 nadhani bunge litasimama let pray for president and nation.

True., we should not mistake for 1 second Kenya will be on our side once US and EU sanctions are effected. They will be the ones who will celebrate the most from our downfall.
Kenya as a whole will thanks us for our stupidity in making their lives easier, since they will be the defacto investment destination for EA. All western investments in TZ will simply move to KE and UG.
Once we are placed on US/EU dirty lists, even Kenyans will stop trading with us, for most of their companies arent purely kenyan, and even those kenyan companies will not want to be on bad books with the US. See how Huawei and ZTE are suffering from Iran Sanctions violations, and these are from Mighty China.
You think there will be someone to come to our aid once the US unleashes its mighty destructive array of sanctions arsenals?
 
unaonekana una mahaba mazito na ulaya na Marekani. karibu nchi zote hazifuati hivyo vipengele 14 kwa asilimia 100 kwa sababu kwa kufanya hivyo kunampa raia uhuru usio na mipaka na kwa kuwa sheria na katiba vipo kwa kila nchi mipaka lazima iwepo. acha mahaba
Tazama kwa mapana hapo kwenye bold usitake kila mtu afikiri kama unavyojidanganya kuwa upo sahihi.

Anaekupinga anaweza kuwa sahihi zaidi kuliko anaekushangilia
 
Tulishaambiwa doller reserve iliyopo ni maximum 5 months kama hakuna ongezeko . sasa tukatunisha misuli ina maana export itashuka endapo kuna vikwazo so baada ya miezi mitano tayari ZIMBABWE
 
Tazama kwa mapana hapo kwenye bold usitake kila mtu afikiri kama unavyojidanganya kuwa upo sahihi.

Anaekupinga anaweza kuwa sahihi zaidi kuliko anaekushangilia
na ni vizuri umeweka bold ili twende sawa na umeanza kuamini kuwa kisheria na kikatiba tanzania ipo sahihi lakini kwa matakwa ya mzungu hatupo sahihi.
 
Ni aibu Wazungu waje wakukumbushe, kulinda haki za wasichana waliobakwa wakazaa wakiwa wanafunzi, Ni aibu kusubiri Wazungu waje wakuhoji kwanini watu wanaokukusoa wanauawa, wanatekwa, wanalemazwa, Ni aibu kusubiri Wazungu waje wakuambie heshimu katiba ya nchi yako uliochaguliwa kwayo na kuahidi kuilinda, Ni aibu kusubiri Wazungu waje wakuambie unalo Bunge, liheshimu etc
Ni aibu aibu aibu....


Kabisa ni aibu .. mno.. Wengi hawatamwelewa Pascal lakini ukweli ndio huo amejaribu kumwambia Rais ulichoandika wewe lakini yeye kaandika kwa ustadi zaidi
 
U
Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.

Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.

Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.

Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.

Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.

P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums

‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums

Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums

Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums

Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Hawa jamaa wa magharibi ndiyo walikuwa mabwana duniani. Mikopo toka kwao ni kwa masharti hata uuzaji wa mazao kwao ni kwa quota system. Unaweza kuona yule ambaye anazalisha sana akapewa quota ndogo and yule anayezalisha kidogo akapewa kubwa. Mfano mzuri ni katani enzi zile.
Kwa bahati mbaya, ametokea kidume mwingine mashariki ambaye hana marshati makali [ujinga wetu tu ndiyo unaotuumiza] Hivyo vitisho vyao haviumi kama ilivyokuwa hapo awali.
Ugomvi wa uchumi wa China na West ndiyo umeanza. na sisi kama walishindwa kumburuza Mwalimu enzi zile, kwa sasa wamechelewa. Watakuja tu maana kuna Liganga na sehemu nyingi zenye madini ambayo yanaendesha dunia hivi sasa- na wao watakuja tu.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.

Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.

Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.

Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.

Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.

P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums

‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums

Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums

Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums

Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums

Uzalendo wa namna hii ni unafiki mkubwa sana. Uzalendo si kusimama na kiongozi anayesababisha hayo yatokee kwetu, uzalendo ni kulinda maslahi ya wananchi na kusimamia misingi imara ya utawala bora na haki za raia ambayo imo ndani ya katiba. Tqzama vipengele vya EU vyote ukiacha na hilo la ushoga, nchi yetu inayatekeleza na kuyatimiza hayo mengine? Akina Azory na Saanane wako wapi? Kukamatwa hovyo kwa viongozi wa vyama vya upinzani tena kwa kudhalilishwa kana kwamba si watanzania unaona sawa? Katazo la kutofanya siasa kwa upinzan huku chama tawala kikiendeleza ni sawa? Uzalendo wa aina gani unatakiwa hapa kama si unafiki? Unawezaje kumfananisha kiongozi wa sasa na Nyerere? Android na kitochi wapi na wapi?
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.

Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.

Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.

Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.

Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.

P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums

‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums

Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums

Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums

Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Naunga mkono hoja......................Rais JPM ashikilie hapo hapo
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.

Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.

Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.

Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.

Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.

P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums

‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums

Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums

Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums

Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Seriously?
Mwambieni ukweli huyu mtu Taifa lipone
Kiburi hakitatusaidia
Waandishi wa Habari WaTz watawalilia kwa maandiko yenu
Aweke mambo sawa ndipo awe na jeuri ya kuwajibu wazungu so far
 
Yapo ambayo awamu ya tano inakosa ila hayawezi kufanya ma EU yakakomaa kiasi hicho ni obvious Magu kuturn down EPA yao ambayo ni ya kigangwe . Screw yake kwa mabepari kwa makinikia , na anavyo align na china kuliko wao na baadhi ya issue kubwa kwa, EU . Watanzania kuweni wazalendo acheni kuwa makuwadi. Hivi magu na Magangwe wa EU nani ana nia njema na Tanzania .Hivi unadhani hatuzijui mahakama zao?ulaya mahakama haishikwi sharubu hata kidogo. Hivi tamko la mtu binafsi linakuwaje punishment kwa serikali kidiplomasia.Ni nani aliyeibuka na misimamo kama ya Magu Africa akabaki salama? Upuuzi wa waafrika ni kudhani kuwa wanapendwa na hao wazungu. Fuatilia negotiation ya brexit hata uingereza inashindwa kufurukuta kwa magangwe wa EU ni wanyonyaji wanataka britain ikae inawapa mabilion ya pounds.kazi yangu itakuwa kurecord ma puppets ili huko mbele tuwaulize kama tutakuwa salama . Mzungu hajawahi kufikiria africa nao wawe na uwezo badala ya kuyafanya masoko na sehemu ya kuchota mali na kudump mitumba ya nguo na magari. Kama ni issue ya unfairness hata kutuibia mali zetu ni ina impact kuliko hata hizo ngonjera za ushoga mnazotuletea makuwadi na.bwana zenu mbona mwanaume hawamsaidii kupaza sauti hayo matapeli wa kimataifa waache kutuacha kwenye ufukara kama wanatupenda.mapuppets mthink twice.huo ushoga unamuathiri bibi yangu kuliko mali wanazosomba na tukichukua hatua wanakaa kimywa,why wanakaa kimya wasiyakemee makampuni kupe. makuadi mnaouza sura kwa hawa watu Mungu atawachoma moto mchana kweupe.
Kila siku ukiwa unawachukia JIRANI zako kwakuwa una nguvu,watasubiri siku atapotokea mbabe wako anataka kukupiga watachochea ili awalipie kiasi,hata kama na wao hawampendi pia huyo mbabe. Angalia hoja ni ngapi,kwann unabase kwenye ushoga tu!!!
 
Back
Top Bottom