Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,089
- 5,988
Very good article Pascal Mayalla, wenye akili watakuelewa ila wababishaji na wasio na uchungu na nchi yao watakasirika na kukuita majina ya kejeli. Sasa naelewa kwanini rais mstaafu Mkapa anawatukana watanzania kila kukicha. Yaani hii nchi imejawa na wananchi wapuuzi sana kwani hawapendi ukweli na wala kuhamasika.