Rais Magufuli na Libya

Rais Magufuli na Libya

Nani aliomba upuuzi uo labda waulize Mimi cha kwanza kwangu ni Uhuru,
Wa kusema
Kutembea
Kutotharirishwa
Mwambie uchara ajipange tunataka democracy

Demokrasia kama waliyoipata Walibya? Kabla ya uchaguzi mlikuwa mnadai nini na sasa mnadai nini?
 
Wote tulikuwa wapinzani lkn uchaguzi ulisha isha hadi 2020 siasa.sasa hivi ni kazi tu.kama hujaamini sasa hivi sio mda wa jalibu kuandamana( kudai) democracy uone kitacho kukuta
 
article-2474533-18C6314800000578-225_306x458.jpg


Nikisikia mtu anamsifia Gaddafi nakumbuka hiki kitabu, inabidi Magufuli asome.


The terrible truth about Gaddafi's harem: How Libyan dictator kidnapped and raped dozens of women to fulfil his perverted desires
  • Harrowing story of schoolgirl abducted by Gaddafi at the age of 15
  • She endured almost seven years of rapes, beatings and abuse
  • Tyrant claimed to be the great emancipator of women in the Arab world
  • In reality he abused women on a massive scale since seizing power
  • Even known to take women from their own wedding ceremonies
  • New book Gaddafi's Harem lifts lid on dictator's brutal treatment of women
By Guy Walters

Published: 22:35 GMT, 23 October 2013 | Updated: 00:57 GMT, 25 October 2013

The horror started with the lightest of touches. As the 15-year-old schoolgirl held out the bouquet to the 62-year-old man, he took her free hand and kissed it gently.

The man was Muammar Gaddafi, the dictator of Libya who had seized power 35 years before. His people were forced to call him the Guide, but the rest of the world knew him simply as Colonel Gaddafi.

That morning in April 2004, Gaddafi was visiting a school in his home town of Sirte, on the Mediterranean coast 350 miles east of Tripoli.



Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/article-2474533/The-terrible-truth-Gaddafis-harem.html#ixzz4JEZt3TqY
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook



Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/article-2474533/The-terrible-truth-Gaddafis-harem.html#ixzz4JEZWLUco
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook


article-0-18EFB94000000578-917_306x463.jpg
 
Kwani hadi Gaddafi anakufa, hizo moroko na Algeria zilikuwa ni tajiri kuliko Libya? Acheni hayo maneno kabisa, maana hata moroko ilikuwa ni nchi ya kifalme na Algeria iliongozwa na rais boutfikra kwa kipindi kirefu...someni historia muelewe
Kuwa nchi ya kifalme haina maana kuwa ni nchi ya kidekta.Swaziland inaongozwa na Mfalme Mswati III na haipo katika orodha ya nchi za kidikteta.Udikteta ni utawala wa vitisho na kunyamazisha raia kwa kutumia mabavu.
Kwa kigezo cha GNP nchi tajiri kabisa katika ukanda huu wakati wa enzi za Gadaffi ilikuwa ni Algeria ikifuatiwa na Morocco ikifuatiwa na Tunisia huku Libya ikishika mkia.Kwa upande wa demokrasia iliyokuwa ikiongoza kwa demokrasia ni Tunisia na ya mwishoni Libya.
 
Ndo wazungu wanavyo wadanganya? Tafuteni habari kupitia vyanzo vingi

Majuzi Obama amesema kuwa katika jambo analolijutia zaidi ni kuiingiza marekani kuibomoa libya bila kuwa na mpango thabiti wa jinsi ya kuirejesha nchi hiyo katika hali ya kawaida, ya kutawalika

Nchi zingine za kiafrika zina mengi mazuri ya kujifunza kutoka libya na Gaddafi wake. Na ya msingi ni haya - kutumia rasilimali zilizopo kuiendeleza nchi, kuacha kubabaikia mataifa ya nje, kuacha uroho wa mali na ubinafsi

Mengine mengi ni ngonjera tu, tena za kupotezeana muda.


Walibya walikuwa wakiishi maisha ya hofu.Taifa la libya lilikuwa likiendeshwa na polisi enzi za Gadafffi.It was a police state.

Tanzania tunaelekea huko na baadhi ya watu kama wewe mnafurahia.
 
Walibya walikuwa wakiishi maisha ya hofu.Taifa la libya lilikuwa likiendeshwa na polisi enzi za Gadafffi.It was a police state.

Tanzania tunaelekea huko na baadhi ya watu kama wewe mnafurahia.
Unamahanisha Magufuli ni kama Gadaffi he will stay in power for over thirty years.
 
Ndo mambo ya ndege wafananao hayo au..?

Waswahili wanasema jogoo la shamba aliwiki mjini......ni ushamba unamsumbua sio kitu kingine. Wewe mtu anaogopa kusafiri hata linapo kuwa jambo la national interest or national pride....yeye hataki, sherehe za uhuru alifuta kinyemela tu bila kujua kwamba this is national pride to our children,.......Ngabu hauoni tu kwamba kuna shida kubwa sana mahali.

Alafu haya mambo yakujitanabaisha na gadafi sijui sadam hussein sijui katoa wapi.....nikiherehere tu kutaka kuwachefua the western countries .......anawajaribu...na ninauhakika atapata anachokitaka.....anadhani wachina watamsaidia pale nchi itakapoingia kwenye mgogoro wa kidiplomasia na hz nchi. Na anafanya hivyo makusudi kbs km njia ya kuwa dis kwamba hazifagilii sera zao za demokrasia nk. It is very wrong way ukizingatia yy mwenyewe hapendi kukosolewa.
 
Mleta uzi unataka Rais magufuli atolee mfano nchi gani zaidi ya Libya hapa afrika? Libya ni mfano mzuri wa nchi ya kiafrika iliyo tumia rasilimali zake bila misaada kunyanyua maisha ya wananchi wake

Kuna mfano bora kama huo hapa afrika? Mi siuoni


Tatizo la gadaffi ni ujeuri na matusi kwa walewaliomfikisha pale.........usicheze na the gansters of the white house and pentagon....ndugu yangu.... tena wala sio hao maganster...kuna american corporations...hawa ndo wanarun the show....
 
Nimesoma hoja zako hapa na nimekuelewa...Lakini ni wazi kuwa kuna issues nyingine inabidi ujiongeze zaidi...Kwa mfano katika masuala ya uhuru wa watu na suala la kuvifungia vyombo vya habari kwa kutaja machache tu....

Anayozungumza JPM kuhusu Libya ni kweli tupu...binafsi nilibahatika kufika Libya wakati wa Gadhafi na nikakaa Tripoli na maeneo mengine machache kwa karibu wiki mbili hivi...Ni siku chache kuweza kuifahamu nchi, lakini ni wazi Libya wakati wa Ghadafi ilikuwa ni 'heaven' ukilinganisha na hali ya sasa....Ni kweli Libya wakati wa Ghadafi walikuwa wanakosa mambo mengi ya anasa kwa vigezo vya nchi za magharibi...kama pombe, vyombo huru vya habari kwa, na yale mambo mengine ya anasa ambayo siwezi kuyaweka hapa...Lakini Libya wakati huo walikuwa na karibu kila kitu kwa bidhaa madukani..vyakula, nguo za bei rahisi kutoka Italy, Spain, Turkey na kadhalika...Kulikuwa hakuna tatizo la ajira..maji na umeme karibu ni wa bure na wanaume kulipiwa mahali wakati wa kuoa...

Ni kweli walikuwa hawana uhuru kwa maana ya kukosoa uongozi...sikuona pia uhuru katika masuala ya internet...hakukuwa na madawa ya kulevya...vyombo vya habari vilikuwa controlled na kadhalika...

Wamarekani na nchi za magharibi hawakupenda ustawi wa Libya...na pale Ghadafi alipojaribu kupendekeza kuwa dhahabu ndiyo itumike kwenye biashara ya mafuta, ndipo walipokula njama za kumuodoa....

Sijafika Libya ya sasa lakini kwa kupitia vyombo vya habari ni wazi Walibya wanajuta...hakuna serikali pale..Kule Benghazi nadhani wana serikali yao...kuna makundi mengi yenye silaha yenye itikadi tofauti na yanapambana yenyewe kwa wenyewe...mafuta yanachotwa ovyo na mabepari wa nchi za magharibi...

Ndiyo maana walibya wengi wanajuta kwa kuona kuwa walihadaiwa.....Pengine ni vema tujiulize hivi tunapodai uhuru tunamanisha nini???? Libya sasa wana uhuru wa kutukana viongozi, kuchukua silaha na kupigana na kuuana wao kwa wao...Yaani kilichoko Libya sasa ni vurugu...Je, sisi Tanzania ndio uhuru tunaoutaka??? Yaani tunataka uhuru wa kutotii mamlaka??? Tunataka uhuru wa ghasia???? Je, sisi watanzania tunataka hayo??? Uhuru ni jambo jema lakini uhuru pasipo wajibu ni vurugu....

Vyombo vya habari vina nafasi ya kujenga mshikamano na kukemea maovu, lakini vyombo hivyo vikianza kutumika katika kuhakikisha kuwa amani na usalama wa nchi unapotea ni lazima vyombo hivyo vya habari 'vishughulikiwe' kwa mujibu wa taratibu, kanuni na sheria za nchi yetu.....

.....mkulu hana nia yoyote ya nchi yetu kuwa km libya ya zamani ...labda chato. .......ni bora tuendeleee na mambo yetu km kawaida...tuna mipango mingi ya maendeleo.....watu watamwelewa. Hoja zijibiwe kwa hoja na data...na sheria na katiba zizingatiwe......hizi sio ngonjera , ni msingi tulioijengea nchi yetu na ndo inabidi avifuate. Km kubadili, kunataratibu zake. Vinginevyo anatupotosha anatuharibia nchi.......na chochote atakacho kijenga na kukiita maendeleo km ya gadafi kitakuja kufa.....simple as that.
 
Mleta uzi unataka Rais magufuli atolee mfano nchi gani zaidi ya Libya hapa afrika? Libya ni mfano mzuri wa nchi ya kiafrika iliyo tumia rasilimali zake bila misaada kunyanyua maisha ya wananchi wake

Kuna mfano bora kama huo hapa afrika? Mi siuoni
Sawa lakini democrasia ilipwaya ndo maana wlibya walimchoka, kwahiyo wewe ukoradhi kuingia jera ilimradi tu unapewa kila kitu bure? tena familia yako nayo inatunzwa bure, kwa maana nyingine unaweza kufanya mazuri kwa wananchi wako lakini bila democrasia siku ukiondoka kinahalibika kila kitu, hiyo ndo Libya.
 
Angalau kapatia kitu kimoja safari hii...kwamba kiongozi wa Libya hakuwa Sadam wa Kuwait...!



Ipo siku atapatia kwamba mwisho wa Gadafi wa Libya, kama ilivyo kwa madikteta, haukuwa mzuri.​
 
Ni mara kadhaa sasa nimemsikia mtukufu rais Dkt.John Pombe Joseph Magufuli, akiwa anazungumzia suala la amani, akiitolea mfano nchi ya Libya kipindi cha Gadafi.

Kwamba mambo huko Libya yalikuwa safi tu. Vijana waliokuwa wanaoa walipewa hela, nyumba, na mengineyo.

Inawezekana kweli walikuwa wanapewa hivyo vitu lakini je, walikuwa wako huru kiasi gani?

Gadafi alikuwa dikteta. Tena dikteta mkubwa tu aliyeng'ang'ania madaraka kwa muda mrefu sana hadi walipomfurumsha.

Mtukufu rais Magufuli naye watu wengi wameshaanza kumwona kuwa ni dikteta. Hataki watu wafanye siasa kwenye maeneo yasiyo yao.

Tumeshaona na kusikia watu wakikamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa ya kumtukana/ kusema maneno mabaya dhidi yake.

Tumeona vyombo vya habari vikifungiwa kwa sababu zisizo na mashiko.

Sasa haya mambo ya yeye kuisifia Libya ya Gadafi mimi yananitatiza.

Nabaki najiuliza maswali tu. Ina maana yeye Magufuli alikuwa anamwona Gadafi kuwa ni kiongozi bora aliyeweza kutunza amani huko Libya hadi awe anaisifia sifia hivyo?

Kama Gadafi ndo mmoja wa viongozi ambao Magufuli anawaona kama mfano mzuri wa utunzaji wa amani, watu wakimwona na yeye dikteta watakuwa wanakosea kweli?

Ndo mambo ya ndege wafananao hayo au..?
Sasa Libya kuna mabadilikooooo Lowassaaaaaaa wanazama melini na kuliwa na masamakibh
 
Ni mara kadhaa sasa nimemsikia mtukufu rais Dkt.John Pombe Joseph Magufuli, akiwa anazungumzia suala la amani, akiitolea mfano nchi ya Libya kipindi cha Gadafi.

Kwamba mambo huko Libya yalikuwa safi tu. Vijana waliokuwa wanaoa walipewa hela, nyumba, na mengineyo.

Inawezekana kweli walikuwa wanapewa hivyo vitu lakini je, walikuwa wako huru kiasi gani?

Gadafi alikuwa dikteta. Tena dikteta mkubwa tu aliyeng'ang'ania madaraka kwa muda mrefu sana hadi walipomfurumsha.

Mtukufu rais Magufuli naye watu wengi wameshaanza kumwona kuwa ni dikteta. Hataki watu wafanye siasa kwenye maeneo yasiyo yao.

Tumeshaona na kusikia watu wakikamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa ya kumtukana/ kusema maneno mabaya dhidi yake.

Tumeona vyombo vya habari vikifungiwa kwa sababu zisizo na mashiko.

Sasa haya mambo ya yeye kuisifia Libya ya Gadafi mimi yananitatiza.

Nabaki najiuliza maswali tu. Ina maana yeye Magufuli alikuwa anamwona Gadafi kuwa ni kiongozi bora aliyeweza kutunza amani huko Libya hadi awe anaisifia sifia hivyo?

Kama Gadafi ndo mmoja wa viongozi ambao Magufuli anawaona kama mfano mzuri wa utunzaji wa amani, watu wakimwona na yeye dikteta watakuwa wanakosea kweli?

Ndo mambo ya ndege wafananao hayo au..?
Kwahyo unataka kusema kwamba Libya ya sasa ndio Libya bora kuliko ya Gaddafi?
Au ndio Libya yenye democracy ambayo walibya walikuwa wanaitaka?
 
Back
Top Bottom