Rais Magufuli na Libya

Rais Magufuli na Libya

Gaddafi's Last Speech!!! .najua wengi hatujaisoma lets Read

In the name of Allah, the ...beneficent, the merciful...
For 40 years, or was it longer, I can't remember, I did all I could to give people houses, hospitals, schools, and when they were hungry, I gave them food. I even made Benghazi into farmland from the desert, I stood up to attacks from that cowboy Ronald Reagan, when he killed my adopted orphaned daughter, he was trying to kill me, instead he killed that poor innocent child. Then I helped my brothers and sisters from Africa with money for the African Union.
I did all I could to help people Understand the concept of real democracy, where people's committees ran our country. But that was never enough, as some told me, even people who had 10 room homes, new suits and furniture, were never satisfied, as selfish as they were they wanted more. They told Americans and other visitors, that they needed "democracy" and "freedom" never realizing it was a cut throat system, where the biggest dog eats the rest, but they were enchanted with those words, never realizing that in America, there was no free medicine, no free hospitals, no free housing, no free education and no free food, except when people had to beg or go to long lines to get soup.
No, no matter what I did, it was never enough for some, but for others, they knew I was the son of Gamal Abdel Nasser, the only true Arab and Muslim leader we've had since Salah-al-Deen, when he claimed the Suez Canal for his people, as I claimed Libya, for my people, it was his footsteps I tried to follow, to keep my people free from colonial domination - from thieves who would steal from us.
Now, I am under attack by the biggest force in military history, my little African son, Obama wants to kill me, to take away the freedom of our country, to take away our free housing, our free medicine, our free education, our free food, and replace it with American style thievery, called "capitalism" ,but all of us in the Third World know what that means, it means corporations run the countries, run the world, and the people suffer.
So, there is no alternative for me, I must make my stand, and if Allah wishes, I shall die by following His path, the path that has made our country rich with farmland, with food and health, and even allowed us to help our African and Arab brothers and sisters.
I do not wish to die, but if it comes to that, to save this land, my people, all the thousands who are all my children, then so be it.
Let this testament be my voice to the world, that I stood up to crusader attacks of NATO, stood up to cruelty, stoop up to betrayal, stood up to the West and its colonialist ambitions, and that I stood with my African brothers, my true Arab and Muslim brothers, as a beacon of light.
When others were building castles, I lived in a modest house, and in a tent. I never forgot my youth in Sirte, I did not spend our national treasury foolishly, and like Salah-al-Deen, our great Muslim leader, who rescued Jerusalem for Islam, I took little for myself...
In the West, some have called me "mad", "crazy", but they know the truth yet continue to lie, they know that our land is independent and free, not in the colonial grip, that my vision, my path, is, and has been clear and for my people and that I will fight to my last breath to keep us free, may Allah almighty help us to remain faithful and free..
aisee nimehisi machozi kutoka
 
It is of my opinion, hii ndio mipasho as opposed to hoja aliyopost NN.
Uje na hoja fafanuzi kuonesha ni wapi mtoa mada hajasema ukweli!
Huijui historia ya Libya Juu ya kilichomuondoa Gaddaf Madarakani. Kwahiyo kukupa ufafanuzi katika kitu ambacho hukijui ni kuupoteza muda wangu.

anachokikumbusha Rais ni kitu cha muhimu katika uhuru, amani na umoja wetu Watanzania. Kuchukua mfano kutoka Libya ni kutaka kuwakumbusha wenye akili ndogo kama ninyi ni vipi LIBYA ilikuwa wakati Gaddafi na vipi ipo kwa wakati huu na kipi kilikuwa CHANZO. usijitie ujinga
 
Namiss sana kanali gadafi sana....in no way anaweza kufananishwa na kiongozi yyte wa afrika ya sasa!
 
Huijui historia ya Libya Juu ya kilichomuondoa Gaddaf Madarakani. Kwahiyo kukupa ufafanuzi katika kitu ambacho hukijui ni kuupoteza muda wangu.

anachokikumbusha Rais ni kitu cha muhimu katika uhuru, amani na umoja wetu Watanzania. Kuchukua mfano kutoka Libya ni kutaka kuwakumbusha wenye akili ndogo kama ninyi ni vipi LIBYA ilikuwa wakati Gaddafi na vipi ipo kwa wakati huu na kipi kilikuwa CHANZO. usijitie ujinga
Ukitakat kumjua asiyejua kitu ni kupitia maandishi yake kwamba anawa judge watu uwezo akali hawajui hata sura hii inaitwa (defensive mechanism)!
Ok tuache hayo, wewe wasema ya kwamba siijui historia ya Libya je mlibya wewe?

Basi amini amini nakwambia, ajidhaniaye kasimama ajiadhari asianguke!
 
Nchi ili iweze kuendelea pasipo shaka lazima udikteta utumike ,,mfn Libya,U.S,Uk,Russia,Israel,Egypt,Cuba,Venezuela na nyingine nyingi tu,udikteta ulitumika.Hivyo basi JPM ana malengo mazuri na Nchi yake
Kabisa kabisa unasifia u dicteta au nimesoma vibaya ?! Hayo maendeleo yanayojengwa ndani ya u dicteta hayawezi kuwa ya manufaa na ya kudumu e.g. hiyo Libya yenyewe.

Kwetu hapa u dicteta haifai kabisa na utairudisha nchi nyuma zaidi
 
Demokrasia kama waliyoipata Walibya? Kabla ya uchaguzi mlikuwa mnadai nini na sasa mnadai nini?
Leo sisi waTz tunajifanya kujua shida za Libya kuliko wa Libya wenyewe ??!!. Kama Libya imefika hapo ni kwa sababu ya u dicteta wa Gadafi kutoona umuhimu wa mawazo mbadala ya walibya wengine kwa kufanya utawala kuwa ya familia moja.
 
Wakati mwingine unaweza kuwa mtu wa aina fulani lakini ukakosa sifa kutokana na kile unachokitetea. Ngabu unahoja dhaifu, hoja ambayo huwa naifananisha na nyimbo za mipasho. Umekuwa mmoja kati ya wenye kuziba macho na kujitia upofu hata pale linapofanywa jambo lililosahihi. Umekuwa na hulka ya kujifanya unajua kila kitu lakini hutambui kuwa hujui. Mwana Africa yoyote asiyetambua kile alichokifanya GADAFI katika uhai wake na kile kinachoendelea baada ya kuondoka kwake Ni muongo na mtu wa kuogopwa

Unafki hausaidii katika kutafuta kilicho cha kweli. Mipasho kama hii haipaswi kuandikwa na wewe. lakini kwa kuwa umekuwa muimbaji wa taarab endelea kutawala jukwaa ipo siku utapata ufalme kama sio umalikia. TANZANIA NI YA KWETU
Mkuu,
Kwanza nakupa Likes 500 kwa hili bandiko lako. Huyu jamaa anayejiita Bab.oon Ngabu ni katika watu ambao ni Watupu kuliko Utupu wenyewe mkuu. Ninashukuru sana kumbe kuna watu wengine mnamuona kwa Utupu wake. Na ninashangazwa na JF siku hizi ukiandika ukweli au kuwakosoa mtu kama huyu Nyani wanakupa Ban. Ila wao wana uwanja mpana wa kukashifu na kutukana wengine bila kuchukuliwa hatua yoyote. Ila nimefarijika kwa uzi wako huu wenye busara.
Wasalaam...
 
Sasa kama mtu Role model wake ni Kagame unategemea na yeye atakuwaje?
Moja wapo ya alama ya udiketa ni matamshi ya vitisho kama haya "mtu akikuchezea niambie, haitachukua hata dakika 5"

Huyu ilashaonekana toka anagombea kwake msamiati Demokrasia haupo na haamini kama upo.
Nikishaamua nimeamua Sirudi nyuma!
 
Wanaomsema Gadaffi na udikiteta ni watu mbumbumbu sana,hakuna nchi katika Afrika iliyokuwa inatumia keki ya taifa vizuri kama Libya.hadi mazungu yakaona wivu.mikakati ya kumjengea fitna Gadaffi iliratibiwa na kutekelezwa na mataifa ya magharibi. NATO ndiyo iliyoendesha mgogoro wote,na hatimaye kuuwawa kwa huyu kiongozi aliyekuwa na ndoto za kuiunganisha Afrika. na kisa hasa hapa ilikuwa ni mafuta ya Libya yamilikiwe kwa 100%na mazungu.
 
hata wanaomtetea hawana hoja ya kumtetea tena alichoifanyia nchi hi ni kufukuza vibaka huku akiwachekea majambazi
 
Ni mara kadhaa sasa nimemsikia mtukufu rais Dkt.John Pombe Joseph Magufuli, akiwa anazungumzia suala la amani, akiitolea mfano nchi ya Libya kipindi cha Gadafi.

Kwamba mambo huko Libya yalikuwa safi tu. Vijana waliokuwa wanaoa walipewa hela, nyumba, na mengineyo.

Inawezekana kweli walikuwa wanapewa hivyo vitu lakini je, walikuwa wako huru kiasi gani?

Gadafi alikuwa dikteta. Tena dikteta mkubwa tu aliyeng'ang'ania madaraka kwa muda mrefu sana hadi walipomfurumsha.

Mtukufu rais Magufuli naye watu wengi wameshaanza kumwona kuwa ni dikteta. Hataki watu wafanye siasa kwenye maeneo yasiyo yao.

Tumeshaona na kusikia watu wakikamatwa na kufunguliwa mashitaka kwa makosa ya kumtukana/ kusema maneno mabaya dhidi yake.

Tumeona vyombo vya habari vikifungiwa kwa sababu zisizo na mashiko.

Sasa haya mambo ya yeye kuisifia Libya ya Gadafi mimi yananitatiza.

Nabaki najiuliza maswali tu. Ina maana yeye Magufuli alikuwa anamwona Gadafi kuwa ni kiongozi bora aliyeweza kutunza amani huko Libya hadi awe anaisifia sifia hivyo?

Kama Gadafi ndo mmoja wa viongozi ambao Magufuli anawaona kama mfano mzuri wa utunzaji wa amani, watu wakimwona na yeye dikteta watakuwa wanakosea kweli?

Ndo mambo ya ndege wafananao hayo au..?

Ukitaka kumjua mtu na tabia yake angalia RAFIKI zake
 
Wewe mtoa mada ivi we kwa upeo wako mdogo kwa hali ilivyo sasa Libya na enzi za utawala wa marehem GADAFI ni saw?wao wenyewe walibya walitaka kumpa nchi Mtoto wake walomfunga gerezani lakin akawatolea nje,now wanapata tabu Kama watu waishio nyikani nn bora sasa tabu wanayoipata now au walichokua wakiishi chini ya GADAFI?jaribu kuangalia mada kabla ya kuileta mezani,we unaweza ukatoa sababu kumi za kumwita GADAFI dicteta Kama utakua nazo basi unaweza ukanishawishi niamini kuwa RAIS MAGUFULI NI DICTETA.
 
Wakati mwingine unaweza kuwa mtu wa aina fulani lakini ukakosa sifa kutokana na kile unachokitetea. Ngabu unahoja dhaifu, hoja ambayo huwa naifananisha na nyimbo za mipasho. Umekuwa mmoja kati ya wenye kuziba macho na kujitia upofu hata pale linapofanywa jambo lililosahihi. Umekuwa na hulka ya kujifanya unajua kila kitu lakini hutambui kuwa hujui. Mwana Africa yoyote asiyetambua kile alichokifanya GADAFI katika uhai wake na kile kinachoendelea baada ya kuondoka kwake Ni muongo na mtu wa kuogopwa

Unafki hausaidii katika kutafuta kilicho cha kweli. Mipasho kama hii haipaswi kuandikwa na wewe. lakini kwa kuwa umekuwa muimbaji wa taarab endelea kutawala jukwaa ipo siku utapata ufalme kama sio umalikia. TANZANIA NI YA KWETU



U don't know muamar gadaffi he is a leader who destabilized most of the sahel region aliunda makund ya wapiganaji washambulie nchi za chad na Niger kwa kutumia Africa legion (wapiganaji wa kukodi) he even associated with the likes of IDD amin etc
 
Back
Top Bottom