Wakati jpm akiingia madarakani alisema kuwa nchi ilikuwa imeoza kila sehemu akasema kuwa viongozi wabovu waliopita ndio wametufikisha hapa tulipo
Mzee wangJk hahakuwahiukutufikishawenye hali hii tutuliyopoasa
~Hali ya ukosefu wa ajira
~wanafunzi kukosa mikopo
~Pesa haipatikani
~wafanyakazi hawapandishwi madaraja
~Serikali kutoajiri mwaka na nusu sasa
~Biashara na viwanda vinakufa
Jpm mzee wangu chonde chonde mwombe samahani jk kwa kumsingizia kuwa yeye ndio aliotufikisha hapa
Wewe ndie uliyetufikisha hapa kwa mda mfupi tu.