Rais Magufuli mwombe Radhi Kikwete

Rais Magufuli mwombe Radhi Kikwete

mtotomtamuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
602
Reaction score
1,464
Wakati jpm akiingia madarakani alisema kuwa nchi ilikuwa imeoza kila sehemu akasema kuwa viongozi wabovu waliopita ndio wametufikisha hapa tulipo

Mzee wangJk hahakuwahiukutufikishawenye hali hii tutuliyopoasa
~Hali ya ukosefu wa ajira
~wanafunzi kukosa mikopo
~Pesa haipatikani
~wafanyakazi hawapandishwi madaraja
~Serikali kutoajiri mwaka na nusu sasa
~Biashara na viwanda vinakufa

Jpm mzee wangu chonde chonde mwombe samahani jk kwa kumsingizia kuwa yeye ndio aliotufikisha hapa

Wewe ndie uliyetufikisha hapa kwa mda mfupi tu.
 
Hakusema ni JK....kwani JK kapita peke yake?
 
unakumbuka mwaka juzi shule zlifungwa kwa kukosa chakula? unakumbuka migomo ya wanafunzi katika vyuo vya udom na udsm....hata wakati wa JK....tulipata shida saaaaaaaana ya mkopo
Yote hayo yalitokea lakini mkwere wa watu aliyasolve japo kwa kuchelewa.

Na idadi ya watu waliokuwa wakipokea mikopo ilikuwa kubwa kuliko hii ya sasa hvi ila mzee alipambana kutembeza bakuli kwa wahisani mapaka vijana walifanikiwa kupata mikopo wote.
 
Wakati jpm akiingia madarakani alisema kuwa nchi ilikuwa imeoza kila sehemu akasema kuwa viongozi wabovu waliopita ndio wametufikisha hapa tulipo

Mzee wangJk hahakuwahiukutufikishawenye hali hii tutuliyopoasa
~Hali ya ukosefu wa ajira
~wanafunzi kukosa mikopo
~Pesa haipatikani
~wafanyakazi hawapandishwi madaraja
~Serikali kutoajiri mwaka na nusu sasa
~Biashara na viwanda vinakufa

Jpm mzee wangu chonde chonde mwombe samahani jk kwa kumsingizia kuwa yeye ndio aliotufikisha hapa

Wewe ndie uliyetufikisha hapa kwa mda mfupi tu.
ni kitu kibaya sana kujifanya unaweza kitu wakati huwezi, kujifanya unajua vitu kumbe haujui. wale wanaojua watashindwa hata kukupatia ushauri ufanyeje kwasababu ya kiburi. by the way, mnataka aombe radhi kwaajili ya nini? kwasababu mara tu baada ya kuapishwa aliitembelea rwanda wakati jk alikuwa hana mpango huo?hadi sasa tumefaidika nini toka rwanda? mizigo yao bado wanapitishia hapa kwetu au ndo kama zamani route ya mombasa? natamani sana uhuru kenyatta angekuwa rais wangu hakika. kwasababu anatukanwa na anafanya mambo makubwa kimyakimya, tofauti na wale wanaosifiwa africa nzima lakini hakuna hata cha kuonyesha 2020 kuwa walifanya.
 
Rais wa sasa ana sifa zote kupewa nafasi ya urais baada ya kipindi chake kuisha.
Sio rahis sana kuondoa uozo wa awamu ya nne kwa miaka kumi pekee
 
Rais wa sasa ana sifa zote kupewa nafasi ya urais baada ya kipindi chake kuisha.
Sio rahis sana kuondoa uozo wa awamu ya nne kwa miaka kumi pekee
hivi, kati ya kipindi cha uozo na kipindi hiki, maisha maraisi lini?.....hakukuwa na njia nyingine mubadala wa kuondoa uozo bila kuathiri uchumi wa wananchi mtaani? au kwasababu waliahidi kutunyoosha? tumeshanyooka?
 
Wakati jpm akiingia madarakani alisema kuwa nchi ilikuwa imeoza kila sehemu akasema kuwa viongozi wabovu waliopita ndio wametufikisha hapa tulipo

Mzee wangJk hahakuwahiukutufikishawenye hali hii tutuliyopoasa
~Hali ya ukosefu wa ajira
~wanafunzi kukosa mikopo
~Pesa haipatikani
~wafanyakazi hawapandishwi madaraja
~Serikali kutoajiri mwaka na nusu sasa
~Biashara na viwanda vinakufa

Jpm mzee wangu chonde chonde mwombe samahani jk kwa kumsingizia kuwa yeye ndio aliotufikisha hapa

Wewe ndie uliyetufikisha hapa kwa mda mfupi tu.

Vipi kasi ya uliupaji madeni ilikuwaje? Ukiona mtu anakununulia chakula kila siku uliza, vinginevyo utakuja nyumba yako iko sokoni kulipia chakula ulichokula.
 
Hakusema ni JK....kwani JK kapita peke yake?
Hata hivyo naye alikuwa ni sehemu ya uoza huo kwani kama anavyosema yeye mwenyewe amekuwa serikalini kwa miaka 20 hivyo hawezi kujitenga na uovu anaousema.
 
Wakati jpm akiingia madarakani alisema kuwa nchi ilikuwa imeoza kila sehemu akasema kuwa viongozi wabovu waliopita ndio wametufikisha hapa tulipo

Mzee wangJk hahakuwahiukutufikishawenye hali hii tutuliyopoasa
~Hali ya ukosefu wa ajira
~wanafunzi kukosa mikopo
~Pesa haipatikani
~wafanyakazi hawapandishwi madaraja
~Serikali kutoajiri mwaka na nusu sasa
~Biashara na viwanda vinakufa

Jpm mzee wangu chonde chonde mwombe samahani jk kwa kumsingizia kuwa yeye ndio aliotufikisha hapa

Wewe ndie uliyetufikisha hapa kwa mda mfupi tu.
nilichojifunza mimi ni kitu kimoja:akiba ya maneno ndio kila kitu!
mkwere ni jembe la majembeeee
mlisema ni dhaifu!
ni kitu kibaya sana kujifanya unaweza kitu wakati huwezi, kujifanya unajua vitu kumbe haujui. wale wanaojua watashindwa hata kukupatia ushauri ufanyeje kwasababu ya kiburi. by the way, mnataka aombe radhi kwaajili ya nini? kwasababu mara tu baada ya kuapishwa aliitembelea rwanda wakati jk alikuwa hana mpango huo?hadi sasa tumefaidika nini toka rwanda? mizigo yao bado wanapitishia hapa kwetu au ndo kama zamani route ya mombasa? natamani sana uhuru kenyatta angekuwa rais wangu hakika. kwasababu anatukanwa na anafanya mambo makubwa kimyakimya, tofauti na wale wanaosifiwa africa nzima lakini hakuna hata cha kuonyesha 2020 kuwa walifanya.
Kenyatta hapa juzi kaitwa fisi,mushezi,mwizi na nyang'au na mbunge CORD,ila kazi anapiga na maisha yanasonga!
Sipati picha huyo mbunge angeyasema hapa tz!
Rais wa sasa ana sifa zote kupewa nafasi ya urais baada ya kipindi chake kuisha.
Sio rahis sana kuondoa uozo wa awamu ya nne kwa miaka kumi pekee
CCM Hatuna mambo hayo,2020 tutampa uraisi mpaka 2025,halafu anakaa pembeni!miaka kumi inamtosha!
Tutawaambia nini tuliowaaminisha kuwa, "tumepata chaguo la Mungu"?
kuwa Mungu anazidi kuliboresha chagua lake,siku hadi siku!
 
nilichojifunza mimi ni kitu kimoja:akiba ya maneno ndio kila kitu!

mlisema ni dhaifu!

Kenyatta hapa juzi kaitwa fisi,mushezi,mwizi na nyang'au na mbunge CORD,ila kazi anapiga na maisha yanasonga!
Sipati picha huyo mbunge angeyasema hapa tz!

CCM Hatuna mambo hayo,2020 tutampa uraisi mpaka 2025,halafu anakaa pembeni!miaka kumi inamtosha!

kuwa Mungu anazidi kuliboresha chagua lake,siku hadi siku!
naionea huruma tu bandari yangu ya dsm. kwasababu standard gauge ya kenya inaisha katikati ya mwaka huu, just months away....hapo badala ya bidhaa kufika uganda kwa zaidi ya siku moja, itafika kwa chini ya masaa 12...na hapo reli ya kati haijajengwa vizuri (kama itapona mafuriko ya masika hii) ili kucompete.....bandari itakufa kabisa, congo, burundi, rwanda na uganda watahamia kule, hadi kuja kuwarudisha wateja hao, ni miaka mingi. kwasasa bandari kavu dsm hazina dili tena bora hata biashara ya kuchoma chips, kwasababu mizigo haitoshi kwa bandari ya dsm na zile kavu ambazo ni private.

malori yasiyofanya kazi za usafirishaji hayana idadi..na hapohapo mtu anasema "...hata ikija meli moja tu kama inalipa kodi hamna shida..."....side effect yake hajaiona?
 
Back
Top Bottom