Rais Magufuli mtumbue Bosi wa TTCL anaihujumu kampuni

Uko sahihi ila bado haujasema TTCL wanafeli wapi? Offers, Miundombinu, teknolojia, Bundles, Customer care service? Hebu orodhesha vitu wanavyofeli jamaa toa facts hata uongozi wakisoma wajue kweli wamefeli ukicompare with others kwenye ushindani.

List them all.

Binafsi naona upande wa bundles wako fair mnoo.. bei chee speed ya 4G tena ukiwa na laini ya chuo unaweza hisi unamiliki kampuni nzima hongera sana Boss wa TTCL kwa hili, ila network yao haiko strong baadhi ya maeneo Dar Es Salaam hii hii . Yaani hilo gawio walilotoa ni bora wangetumia kutengeneza minara strong ya 4G kuliko kututesa wateja wao.
Mimi niko Kahama tena hapa Mjini..... Ila kupata Vocha tu TTCL ni mtihani..... Sasa unanishawishi vipi nitumie TTCL????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niko Kahama tena hapa Mjini..... Ila kupata Vocha tu TTCL ni mtihani..... Sasa unanishawishi vipi nitumie TTCL????

Sent using Jamii Forums mobile app

Nunua kwa TPESA, yaani weka hela kwenye mpesa yako kisha itume kwenye ttcl then nunua bando juu kwa juu. Vocha ndo tatizo lao kubwa ni vyema this time wasitoe gawio kwa rais, hilo gawio watengeneze vocha wazisambaze nchi nzima.
 
Screenshot_2020-02-06-22-32-07-356_com.instagram.android.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mie ndio nna hasira nao kabisa, juzi nimenunua bando la internet la buku sikutumia hata kb 1, yaani data roaming mpaka muda imeisha na bando lao wakasepa nalo
 
Shalom,

Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.
Kampuni haijiongezi na pia huyo boss sio mbunifu kabisa.
Yaani 52% wa watumiaji wa TTCL hawajui menyu ya kuangalia salio ipoje.
Kampuni haina ofa kwa wateja wake utadhani inauza nyanya.
Watoa huduma wa Costumer Care ndiyo ovyo baba, ukimpigia simu anakujibu oke, sawa, yes mpaka sometimea nafikiria kuwatongoz baba.

Huduma mbovu haziridhishi kabisa. Mtu yupo tu ofisini anapunga upepo hana hata hadhi ya kuongoza kampuni kama hiyo.

Tafadhali tunaomba umpe uongozi mtu mwingine mwenye huruma na Watanzania.

Mbaya zaidi mtu mwenyewe anamiliki hisa zake huko kwenye kamouni ya SMILE. TTCL ipo tangu 1993 hadi leo huduma ovyo.

Halotel wamekuja juzi tu hapa lakini wamekiwasha balaa mpaka wanyonge tunakimbilia kule.

Waziri Kindamba OUT
Unaiharibu TTCL yetu.
Yaani watoa huduma baada ya kutufuata sisi wao ndio wanataka sisi tuwafuate.

Asanteni
Mbona yeye Mganga anaihujumu nchi lakini tunamvumilia tu
 
niliomba uwakala wa TPesa....sasa ni mwakka mzima wanajichanganya...nimefuatilia mpaka nimenyoosha mikono...sijui wanakwama wapi hawa jamaa
tafuta uzi uliletwa na jamaa nani sijui wa buza huko alilalamika alitoka buza mpaka posta makao makuu ya ttcl kwa ajili ya kununua vocha ya 500 na akaambiwa zipo za 1000
kaka vocha za TTCl unaweza pata kupitia T.PESA, selcom point, mawakala wa CRDB, NMB,pia kupitia TIGO, AIRTEL, VODACOM, Mawakala wa Mobistock, Kagaconnect.siku hizi naona wanakampeni ya kuongeza mawakala wa kuuza vocha za kukwangua.
 

Attachments

  • ERDiQmPWAAEmC7V.jpg
    ERDiQmPWAAEmC7V.jpg
    63.5 KB · Views: 2
Shalom,

Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.
Kampuni haijiongezi na pia huyo boss sio mbunifu kabisa.
Yaani 52% wa watumiaji wa TTCL hawajui menyu ya kuangalia salio ipoje.
Kampuni haina ofa kwa wateja wake utadhani inauza nyanya.
Watoa huduma wa Costumer Care ndiyo ovyo baba, ukimpigia simu anakujibu oke, sawa, yes mpaka sometimea nafikiria kuwatongoz baba.

Huduma mbovu haziridhishi kabisa. Mtu yupo tu ofisini anapunga upepo hana hata hadhi ya kuongoza kampuni kama hiyo.

Tafadhali tunaomba umpe uongozi mtu mwingine mwenye huruma na Watanzania.

Mbaya zaidi mtu mwenyewe anamiliki hisa zake huko kwenye kamouni ya SMILE. TTCL ipo tangu 1993 hadi leo huduma ovyo.

Halotel wamekuja juzi tu hapa lakini wamekiwasha balaa mpaka wanyonge tunakimbilia kule.

Waziri Kindamba OUT
Unaiharibu TTCL yetu.
Yaani watoa huduma baada ya kutufuata sisi wao ndio wanataka sisi tuwafuate.

Asanteni
Utamuonea bure. Anatakiwa kupeleka GAWIO kwa lazima hata kama hajatengeneza faida la atumbuliwe. Hayo maboresho atayafanyaje? Mumwambie na huyo mtumbuaji aweke SIASA mbali na biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TTCL haiwezi kushindana na kampuni binafsi, juzi nimewakuta sehemu ambayo kunamkusanyiko mkubwa wa watu wamekwenda kutangaza shirika na kuuza laini za simu cha ajabu sikuona hata wakitangaza gari inapita kimya kimya , hapo gari inatumia mafuta na wamelipwa night lakin hakuna hata laini moja iliyouzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijawahi kuona vocha yake hata barabarani tu ikipeperuka au kukanyagwa,vodacom .tigo wana wateja wengi ila hawajawahi kuridhika na soko,wanashindana haswa,wanatembea masokoni,stendi minadani na kila mahali kuhakikisha tu wanapata wateja wapya na kuwashika kwa vifurushi mbalimbali,TTCL sasa naikumbukaga nikiona vile vibanda vyao vilivyotelekezwaga,yaani imekuwa kama ya kuja kusimuliwa kwenye somo la historia,kwa ujumla shirika hili ni mali kale,lipelekwe makumbusho.Wameshindwa kunyanyuka.
 
Back
Top Bottom