Rais Magufuli mtumbue Bosi wa TTCL anaihujumu kampuni

Shalom,

Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.
Kampuni haijiongezi na pia huyo boss sio mbunifu kabisa.
Yaani 52% wa watumiaji wa TTCL hawajui menyu ya kuangalia salio ipoje.
Kampuni haina ofa kwa wateja wake utadhani inauza nyanya.
Watoa huduma wa Costumer Care ndiyo ovyo baba, ukimpigia simu anakujibu oke, sawa, yes mpaka sometimea nafikiria kuwatongoz baba.

Huduma mbovu haziridhishi kabisa. Mtu yupo tu ofisini anapunga upepo hana hata hadhi ya kuongoza kampuni kama hiyo.

Tafadhali tunaomba umpe uongozi mtu mwingine mwenye huruma na Watanzania.

Mbaya zaidi mtu mwenyewe anamiliki hisa zake huko kwenye kamouni ya SMILE. TTCL ipo tangu 1993 hadi leo huduma ovyo.

Halotel wamekuja juzi tu hapa lakini wamekiwasha balaa mpaka wanyonge tunakimbilia kule.

Waziri Kindamba OUT
Unaiharibu TTCL yetu.
Yaani watoa huduma baada ya kutufuata sisi wao ndio wanataka sisi tuwafuate.

Asanteni
Aisee! Nasikia wafanyakazi wa TTCL wanampenda sana bosi wao Kindamba
 
Watoa huduma wa Costumer Care ndiyo ovyo baba, ukimpigia simu anakujibu oke, sawa, yes mpaka sometimea nafikiria kuwatongoz baba.

Huduma mbovu haziridhishi kabisa. Mtu yupo tu ofisini anapunga upepo hana hata hadhi ya kuongoza kampuni kama hiyo.

Tafadhali tunaomba umpe uongozi mtu mwingine mwenye huruma na Watanzania.
Ukweli TTCL wameshindwa kabisa kwenye customer care ni 0 na hasa muda mwingi ukiwapigia wanakuambia hawapo ofisini kwakuwa muda wa kazi umekwisha, sasa kampuni inatoa huduma 24/7 halafu customer care inakuwa nyumbani baada ya saa 10
 
Kindamba kwa namna fulani kajitaidi, Tukumbuke kwenye telecom industry kunahitajika uwekezaji mkubwa sana mpaka kampuni/shirika lisimamame lipambane na washindani wengine, kitu ambacho nahisi kwa TTCL hamna uwekezaji mkubwa wowote uliofanyika, wanaenda kwa kusuasua, hata leo umchukue CEO wa vodacom umtupe ttcl hamna cha maana atafanya.

Serikali na biashara ni kushoto na kulia, serikali kwa kawaida ina uasilia wa kutoa huduma kwa hiyo swala la hasara au ufinyu wa mapato ni jambo la kawaida na wana uhakika wa ku cover up kwa kodi za wananchi, ila ukija kwenye makampuni binafsi kitu kikubwa kinaangaliwa ni faida na ukuaji mzuri wa kampuni ndani ya kipindi kifupi ama kirefu kulingana na malengo ya kampuni.
Kawekwa mpya sasa ngoja tuone utendaji wake
 
Kindamba kwa namna fulani kajitaidi, Tukumbuke kwenye telecom industry kunahitajika uwekezaji mkubwa sana mpaka kampuni/shirika lisimamame lipambane na washindani wengine, kitu ambacho nahisi kwa TTCL hamna uwekezaji mkubwa wowote uliofanyika, wanaenda kwa kusuasua, hata leo umchukue CEO wa vodacom umtupe ttcl hamna cha maana atafanya.

Serikali na biashara ni kushoto na kulia, serikali kwa kawaida ina uasilia wa kutoa huduma kwa hiyo swala la hasara au ufinyu wa mapato ni jambo la kawaida na wana uhakika wa ku cover up kwa kodi za wananchi, ila ukija kwenye makampuni binafsi kitu kikubwa kinaangaliwa ni faida na ukuaji mzuri wa kampuni ndani ya kipindi kifupi ama kirefu kulingana na malengo ya kampuni.
Hivi umewahi kufika Ubungo Plaza? Nenda ofisi za TTCL alafu sogea pembeni kuna Vodacom uone very basic difference!

Kwanza TTCL wamekodi li eneo kubwa mno huku wafanyakazi mle hawazidi wanne! Typically public office hakuna anayejali!

Wenzao ambao wako mbali kibiashara wanakieneo kidogo lakini very busy place! Hapo tu utajua shida ya mashirika ya umma!
 
Hivi umewahi kufika Ubungo Plaza? Nenda ofisi za TTCL alafu sogea pembeni kuna Vodacom uone very basic difference!

Kwanza TTCL wamekodi li eneo kubwa mno huku wafanyakazi mle hawazidi wanne! Typically public office hakuna anayejali!

Wenzao ambao wako mbali kibiashara wanakieneo kidogo lakini very busy place! Hapo tu utajua shida ya mashirika ya umma!
Akikodi eneo kubwa zaidi na 10% inakuwa kubwa zaidi, elewa hilo
 
Back
Top Bottom