Rais Magufuli mtumbue Bosi wa TTCL anaihujumu kampuni

niliomba uwakala wa TPesa....sasa ni mwakka mzima wanajichanganya...nimefuatilia mpaka nimenyoosha mikono...sijui wanakwama wapi hawa jamaa
 
The Black Godfather,
Si afadhali huyu angalau hata tumepata simu za mkononi kuliko huyu aliyekula fedha za maskini wa maskini za TASAF na hakutumbuliwa akasamehewa akaambiwa arudishe.

Arudishe na riba basi na awaombe msamaha Watanzania.Hata yale makontena alisamehewa hivihivi.Lakini Mungu yupo.
 
The Black Godfather,
Si afadhali huyu angalau hata tumepata simu za mkononi kuliko huyu aliyekula fedha za maskini wa maskini za TASAF na hakutumbuliwa akasamehewa akaambiwa arudishe.

Arudishe na riba basi na awaombe msamaha Watanzania.Hata yale makontena alisamehewa hivihivi.Lakini Mungu yupo.
Kwani Bashite alikuwahi kuwa meneja wa TTCM?
 
niliomba uwakala wa TPesa....sasa ni mwakka mzima wanajichanganya...nimefuatilia mpaka nimenyoosha mikono...sijui wanakwama wapi hawa jamaa
kuna Mangi alienda kununua voha za jumla akaambiwa subiria mpaka sijui nani aje ndio atie saini ili awepe hizo vocha.
MPAKa leo ukienda kwa Mangi haupati vocha za TTCL ila vocha zingine anazo
 
Shalom,

Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.

Huduma mbovu haziridhishi kabisa. Mtu yupo tu ofisini anapunga upepo hana hata hadhi ya kuongoza kampuni kama hiyo.

Tafadhali tunaomba umpe uongozi mtu mwingine mwenye huruma na Watanzania.

Mbaya zaidi mtu mwenyewe hana hisa zake huko kwenye kamouni ya SMILE. TTCL ipo tangu 1993 hadi leo huduma ovyo.

Halotel wamekuja juzi tu hapa lakini wamekiwasha balaa mpaka wanyonge tunakimbilia kule.

Waziri Kindamba OUT
Unaiharibu TTCL yetu.
Yaani watoa huduma baad aya kutufuata sisi wao ndio wanataka sisi tuwafuate.

Asanteni
Ainisha ubovu wa huduma za TTCL.Tuanzia hapo kamanda!
 
Naunga mkono hoja. Taasisi kubwa ya serikali kwa nini ishindwe ns taasisi ndogo ya mtu binafsi. Aondolewe maana ameshindwa. Awapishe wengine watakaoweza kuiongoza kampuni ya TTCL.
Jamaa yupo tu ofisini katulia ghorofani anaangalia mandhari ya jiji ilivyo.
 
Uko sahihi ila bado haujasema TTCL wanafeli wapi? Offers, Miundombinu, teknolojia, Bundles, Customer care service? Hebu orodhesha vitu wanavyofeli jamaa toa facts hata uongozi wakisoma wajue kweli wamefeli ukicompare with others kwenye ushindani.

List them all.

Binafsi naona upande wa bundles wako fair mnoo.. bei chee speed ya 4G tena ukiwa na laini ya chuo unaweza hisi unamiliki kampuni nzima😂🙌🏽 hongera sana Boss wa TTCL kwa hili, ila network yao haiko strong baadhi ya maeneo Dar Es Salaam hii hii 🥺. Yaani hilo gawio walilotoa ni bora wangetumia kutengeneza minara strong ya 4G kuliko kututesa wateja wao.
tafuta uzi uliletwa na jamaa nani sijui wa buza huko alilalamika alitoka buza mpaka posta makao makuu ya ttcl kwa ajili ya kununua vocha ya 500 na akaambiwa zipo za 1000
 
Nimeenda kwa mawakala wa kusajili zaidi wa wanne wanasema hawakamilishi ttcl kwa sababu kifaa cha ttcl(scaner) cha kukamilisha hawana,

Mmoja nikamwambia si afate ofcn,akanambia wamemwambia wanasubiri bajet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitupa Laini baada ya kuhangaika Siku nzima bila kupata Salio..... Nilivyowasiliana nao wakaniambia niweke Hela Mpesa kisha nihamishie TPesa ninunue Vocha.

Hapo hapo nikaamua kuachana nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom