Tatizo ni mtajiBadala ubora wake uupime kwa huduma za ttcl wewe unakuja kuupima kwa gawio...
TTCL ukifika Bunju Hakuna mtandao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni mtajiBadala ubora wake uupime kwa huduma za ttcl wewe unakuja kuupima kwa gawio...
TTCL ukifika Bunju Hakuna mtandao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Greyson Msigwa na Pascal Mayalla watamfikishia ujumbe kiaina.The Black Godfather,
MH Afwatii command za mitandaooo mjifunze hili
Huduma mbofumbofu tuwafanyakazi wote wa umma walishurutishwa na Baba Jurgen watumie line za TTCL 🤣 🤣 🤣
Kwani Bashite alikuwahi kuwa meneja wa TTCM?The Black Godfather,
Si afadhali huyu angalau hata tumepata simu za mkononi kuliko huyu aliyekula fedha za maskini wa maskini za TASAF na hakutumbuliwa akasamehewa akaambiwa arudishe.
Arudishe na riba basi na awaombe msamaha Watanzania.Hata yale makontena alisamehewa hivihivi.Lakini Mungu yupo.
Long walk for freedom.
kuna Mangi alienda kununua voha za jumla akaambiwa subiria mpaka sijui nani aje ndio atie saini ili awepe hizo vocha.niliomba uwakala wa TPesa....sasa ni mwakka mzima wanajichanganya...nimefuatilia mpaka nimenyoosha mikono...sijui wanakwama wapi hawa jamaa
Ainisha ubovu wa huduma za TTCL.Tuanzia hapo kamanda!Shalom,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.
Huduma mbovu haziridhishi kabisa. Mtu yupo tu ofisini anapunga upepo hana hata hadhi ya kuongoza kampuni kama hiyo.
Tafadhali tunaomba umpe uongozi mtu mwingine mwenye huruma na Watanzania.
Mbaya zaidi mtu mwenyewe hana hisa zake huko kwenye kamouni ya SMILE. TTCL ipo tangu 1993 hadi leo huduma ovyo.
Halotel wamekuja juzi tu hapa lakini wamekiwasha balaa mpaka wanyonge tunakimbilia kule.
Waziri Kindamba OUT
Unaiharibu TTCL yetu.
Yaani watoa huduma baad aya kutufuata sisi wao ndio wanataka sisi tuwafuate.
Asanteni
Jamaa yupo tu ofisini katulia ghorofani anaangalia mandhari ya jiji ilivyo.Naunga mkono hoja. Taasisi kubwa ya serikali kwa nini ishindwe ns taasisi ndogo ya mtu binafsi. Aondolewe maana ameshindwa. Awapishe wengine watakaoweza kuiongoza kampuni ya TTCL.
Kibonge haswa mtu mzito kama kiroba cha chumvi
tafuta uzi uliletwa na jamaa nani sijui wa buza huko alilalamika alitoka buza mpaka posta makao makuu ya ttcl kwa ajili ya kununua vocha ya 500 na akaambiwa zipo za 1000Uko sahihi ila bado haujasema TTCL wanafeli wapi? Offers, Miundombinu, teknolojia, Bundles, Customer care service? Hebu orodhesha vitu wanavyofeli jamaa toa facts hata uongozi wakisoma wajue kweli wamefeli ukicompare with others kwenye ushindani.
List them all.
Binafsi naona upande wa bundles wako fair mnoo.. bei chee speed ya 4G tena ukiwa na laini ya chuo unaweza hisi unamiliki kampuni nzima😂🙌🏽 hongera sana Boss wa TTCL kwa hili, ila network yao haiko strong baadhi ya maeneo Dar Es Salaam hii hii 🥺. Yaani hilo gawio walilotoa ni bora wangetumia kutengeneza minara strong ya 4G kuliko kututesa wateja wao.