Rais Magufuli Mpongeze Uhuru HARAKA

Status
Not open for further replies.
Kama huwa anaweza kutumbua saa 6 usiku anashindwa nini kumpongeza usiku ule ule? Atoe pongezi huyo best yake ampe waziri wa nishati kama anampenda sanaa!!! Urafiki usiwe ndio msimamo wa nchi hapana!! Wizara mambo Nje mshaurini atume official....kam anasua sua kwenye tweet kama alivyofanya kwa Kagame usiku usiku Ali tweet!! Asituletee mahaba binafsi!!
 
Bavicha bhana, wamepoteza credibility kwa watanzania wanaanza kudandia vitu havina impacts kwao!
Yaani chadema wengi wanashangilia kushinda Kenyatta kuliko hata wakenya wenyewe!! Kuna rafiki yangu mkenya mkikuyu yuko Arusha alinipigia kuniuliza what's wrong with you Tanzanians mbona baa watu wanashangilia sana ushindi wa Kenyatta kuliko hata sisi wakenya wenyewe? Nikamjibu hao ni Chadema. Huwa wako hivyo. Ni watu fulani wajinga fulani hivi kiongozi wao ni lowasa huyo Alikuja kwenu.
 
Kwa niaba ya familia yako Wakenya wamekusikia lakini kwa niaba ya serikali za Tanganyika na Zanzibar wapo wasemaji wake
kupongeza si jambo la lazima na ktk vitu vnavyoweza kutikisa diplomasia mambo ya kupongezana hayapo je Tanzania ulipofanyika uchaguzi marais wa US na nchi nyingne za Ulaya walimpongeza Jpm? je diplomasia yetu imebadilika dhidi yao kwa vile atukupata salamu za pongezi? je uhuru alitumia muda gani kumpongeza JPM achen kujishusha sana kwa Wakenya by the way mkuu alishasema hapangiwi na ukimpangia ndio imekula kwako sasa msimfanye uhuru kukosa salamu za pongezi
 
Nimewapenda Wakenya wanasimamia wanachokiamini,wanajitambua,ni wazalendo kwa nchi yao.Tatizo la Raila aliingia kama mtu binafsi atakaye madaraka na Uhuru aliingia kama mwakilishi wa Taasisi ya Urais!Katoa kauli tata yenye ujumbe mzito baada ya kutangazwa mshindi"HUWEZI CHAGUA JIRANI ila UNAWEZA CHAGUA RAFIKI".Kwenye demokrasia Tanzania hatuna la kuwafundisha Wakenya!Labda kama na wao wataamua kurudi miaka ya 1970!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa zimekwisha na Uhuru katangazwa Rais tayari hata kama..kuna..madai na udhibitisho wa wizi wa kura kama ambavyo ulikuwapo huko nyumbani mwaka 2015

...lakini kwa kiti ulichokalia hunyimwi kuwa na rafiki lakini kama mkuu wa nchi TUMA PONGEZI KWA UHURU..haina maana yeye haelewi...una...mapenzi binafsi
Rais wa Tanzania anapochelewa kutuma pongezi inavuruga..diplomasia na urafiki wetu na undugu na Kenya ...

Subiri utakapokuwa Rais au yule unayemshabikia awe Rais ndo utoe ushauri huu.

Uraisi ni Taasisi siyo mtu, hivyo kuna mambo ya kidiplomasia na kitaifa kabla ya kutoa tamko. Na kumbuka Kenya, siyo tu ni nchi jirani, lakini pia wananchi wake ni marafiki na ndugu zetu. Hivyo, basi katika hali ya kisiasa ni busara kuwa makini na matamko ya kisiasa.

Phillemon Mikael, hivi Rais Magufuli alipewa pongezi na Serikali ya Kenya muda gani baada ya kutangazwa kama mshindi?
 
[QUOTE
"mwengeso, post: 22798611, member: 261462"]Subiri utakapokuwa Rais au yule unayemshabikia awe Rais ndo utoe ushauri huu.

Uraisi ni Taasisi siyo mtu, hivyo kuna mambo ya kidiplomasia na kitaifa kabla ya kutoa tamko. Na kumbuka Kenya, siyo tu ni nchi jirani, lakini pia wananchi wake ni marafiki na ndugu zetu. Hivyo, basi katika hali ya kisiasa ni busara kuwa makini na matamko ya kisiasa.

Phillemon Mikael, hivi Rais Magufuli alipewa pongezi na Serikali ya Kenya muda gani baada ya kutangazwa kama mshindi?[/QUOTE]


:(
soma tena uzi bila jazba
 
Subiri utakapokuwa Rais au yule unayemshabikia awe Rais ndo utoe ushauri huu.

Uraisi ni Taasisi siyo mtu, hivyo kuna mambo ya kidiplomasia na kitaifa kabla ya kutoa tamko. Na kumbuka Kenya, siyo tu ni nchi jirani, lakini pia wananchi wake ni marafiki na ndugu zetu. Hivyo, basi katika hali ya kisiasa ni busara kuwa makini na matamko ya kisiasa.

Phillemon Mikael, hivi Rais Magufuli alipewa pongezi na Serikali ya Kenya muda gani baada ya kutangazwa kama mshindi?
Siku zote ukweli huwa mchungu unapokinzana na mahitaji ya nafsi!Kuna watu tupo kishabiki na siasa tunachukulia kama ushindani wa yanga na simba!Mamlaka zipo zina utaratibu tuziache zifanye kazi.
 
Mamvi ni Rais wa nchi gani?

Watu wakizungumzia mambo ya kitaifa na kimataifa kaa pembeni si size yako
Mbona hamjauliza kwa Nini nchi za magharibi na asia hazijatuma salamu za pongezi haraka? Pia mleta mada tukuulize Kenyatta alimpongeza magufuli haraka aliposhinda uchaguzi?
 
Siasa zimekwisha na Uhuru katangazwa Rais tayari hata kama..kuna..madai na udhibitisho wa wizi wa kura kama ambavyo ulikuwapo huko nyumbani mwaka 2015

Urais ni taasisi na ukiwa hapo unasimamia maslahi mapana ya taifa na sio yako ...inawezekana ulitaka Raila kama ulivyotaka Kagame ashinde..na..pengine unaugulia mapesa uliyompelekea kama rafiki yako,lakini kwa kiti ulichokalia hunyimwi kuwa na rafiki lakini kama mkuu wa nchi TUMA PONGEZI KWA UHURU..haina maana yeye haelewi...una...mapenzi binafsi
Rais wa Tanzania anapochelewa kutuma pongezi inavuruga..diplomasia na urafiki wetu na undugu na Kenya .

Iweje ichukue chini ya dakika 20' baada ya matokeo kutoka kumpongeza Kagame...lakini asubuhi inafika hatujatuma salamu Kenya
Tanzania sio Mali..binafsi ya mtu .

Tunajua kuna madai ya utatu wa kuunda Bahima Empire...ndio inafanya baadhi ya viongozi kufanya unafiki na hawakutaka Uhuru ashinde.

Kwa ndugu zetu Wakenya na kwa Uhuru tunaomba msichukulie kuchelewa kwa salam..rasmi za nchi kuwa hatuwatakii mema ,tunawapenda sana ...na tunaomba Uhuru asichukie watanzania kwa ajili ya mtu mmoja

bahima mbona kagame na museven yumo? hapo une mix

hapangiwi huyu, hilo tu
 
Naona Makamanda mnajaribu kupreempty mipango ya JPM..akipongeza mseme tumempreshalaizi mpaka kapongeza,akinyamaza mseme ana bifu na Uhuru...
Hamnaga,jema nyie kama,Waisraeli!
 
Mbona Kenya ilipokuwa inakaribia kuingia kwenye uchaguzi, tulisikia kauli tata kutoka kwa JPM kuhusu Kenya?

Siyo kuwa alikuwa akitoa kauli hizo kwa kuwa alikuwa na over confidence kuwa his best "friend" Raila ataingia madarakani?

Refer kauli aliyoitoa hivi karibuni kule Tanga kuwa kama Kenya wakizuia bidhaa zetu za maziwa zisiingie nchini mwao na sisi tutapiga marufuku bidhaa zao zote zisiingie nchini mwetu!

dhambi hizo,JPM alipinga ukabila ambao uhuru na raila wote wanao

sema lingine maana najua wewe ni anti magufuli na mbaya haubadili, ya bandari yaliisha mkuu hasira mpaka leo?
 
JPM asimpongeze uhuru kwa lipi? ....akipongeza msigeuze maneno maana siku hizi mnapinga kila kitu ....alafu badala ya kumsaidia mpinzani mwenzenu mnasaidia chama tawala ....mnategemea wapinzani wa Kenya wawaunge mkono 2020? ....uchaguzi Kenya umeisha ....maisha lazima yaendelee ....lazima uhuru na JPM washirikiane .....

..afanye hima kumpongeza Uhuru Kenyatta ili kutuondolea AIBU ya tuhuma kwamba alikuwa na upande ktk uchaguzi wa Kenya.

..Pia CDM , CCM,..wana uhuru wa kuchagua vyama rafiki ndani na nje ya nchi na kusaidiana kwa namna mbalimbali.

..CDM kuwaunga mkono Jubilee hakuna tatizo. Kwamba Jubilee ni chama tawala siyo hoja kwasababu ktk uchaguzi wowote kuna uwezekano wa kushinda au kushindwa.

..Katika uchaguzi wa Ghana CDM walimuunga mkono Nana Ado mgombea wa upinzani. Matokeo yalipokuja Nana Ado akatangazwa mshindi.

..Kwa mfano huo wa uchaguzi wa Ghana, utaona kwamba wale wanaosisitiza CDM lazima ishirikiane na vyama vya upinzani tu, hawana hoja.

..Kwenye nchi za wenzetu vyama vya siasa hupokezana madaraka.
 
CCM hatukurupuki, tunafahamu nini tufanye, tumeshaongea na Uhuru kwa njia zingine za mawasiliano, na salaam za pongezi tulishazituma!!

Kwa kuwa nia yako ni kuichonganisha Ikulu ya Tanzania dhidi ya majirani zetu - uchonganishi huo hautafanikiwa - KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Kwa kweli nawashangaa, walikuwa wakimsapoti Odinga kabla, baada ya JPM kuwa rais na wao kugundua kuwa hawa jamaa ni marafiki japo wa mbali kwani hata Uhuru nae ni rafiki wa JPM ingawa hajapiga nae picha kabla ya kuwa rais basi nao bavicha wakabadili gia angani!
Ila ukweli unabaki, upinzani wa Tz kama kawaida haujitambui, sisiemu ya kenya (TANU) iliyobadili jina na kujiita jubilee leo ndo wanaisapoti badala ya kutaka itoke madarakani, na sababu kubwa ya kuisapoti eti sababu odinga alionekana kapiga picha na JPM kabla hajawa rais hivyo basi wameassume kuwa JPM atakuwa 'rais' wa Kenya pia.

ccm supports uhuru, iko hivyo waliobadili gia huruma kwao

JPM na odinga ni marafiki hata kabla magu hajawaza kuwa rais


CDM ni watoto, uhuru hatakuja ku support CDM at all!!! CDM washawahi m support odinga hapo zamani


yaani
 
Utumie akili.

Kinachosemwa why achukue muda hivyo kutoa salaam za pongez kwa niaba ya nchi hii?

Why kagame kampa pongezi within seconds tuh?

Ajabu wenzake wa east africa washatoa pongez yeye anasubir nin.

Nan hajui kuwa yeye alikuwa anamsupport odinga swahiba yake?

Aache ufamle ju.ha wake...

Visasi vyake visimpelekee kuharibu diplomasia yetu na watu wa kenya
JPM asimpongeze uhuru kwa lipi? ....akipongeza msigeuze maneno maana siku hizi mnapinga kila kitu ....alafu badala ya kumsaidia mpinzani mwenzenu mnasaidia chama tawala ....mnategemea wapinzani wa Kenya wawaunge mkono 2020? ....uchaguzi Kenya umeisha ....maisha lazima yaendelee ....lazima uhuru na JPM washirikiane .....
 
si kwa mapovu hayo.... vp mamvi ashapeleka salamu za pongezi... bavicha mna taabu kweli kweli
Kiongozi anayefikiri yuko sahihi kwa kila limtokalo ajue vinara wa mambo hayo (total authoritatism) Idd Amin, HITLER na Pol Pot walishindwa.
 
JPM asimpongeze uhuru kwa lipi? ....akipongeza msigeuze maneno maana siku hizi mnapinga kila kitu ....alafu badala ya kumsaidia mpinzani mwenzenu mnasaidia chama tawala ....mnategemea wapinzani wa Kenya wawaunge mkono 2020? ....uchaguzi Kenya umeisha ....maisha lazima yaendelee ....lazima uhuru na JPM washirikiane .....
isikuumize hii kitu...mbona mpinzani huyohuyo 2015 alimsaidia mtawala, sioni ubaya kwa hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom