Rais Magufuli Mpongeze Uhuru HARAKA

Rais Magufuli Mpongeze Uhuru HARAKA

Status
Not open for further replies.
Kwa kweli nawashangaa, walikuwa wakimsapoti Odinga kabla, baada ya JPM kuwa rais na wao kugundua kuwa hawa jamaa ni marafiki japo wa mbali kwani hata Uhuru nae ni rafiki wa JPM ingawa hajapiga nae picha kabla ya kuwa rais basi nao bavicha wakabadili gia angani!
Ila ukweli unabaki, upinzani wa Tz kama kawaida haujitambui, sisiemu ya kenya (TANU) iliyobadili jina na kujiita jubilee leo ndo wanaisapoti badala ya kutaka itoke madarakani, na sababu kubwa ya kuisapoti eti sababu odinga alionekana kapiga picha na JPM kabla hajawa rais hivyo basi wameassume kuwa JPM atakuwa 'rais' wa Kenya pia.
Odinga vowed his support to JPM against normal opposition stand thus prompted the reaction by opposition particularly Chadema to support Uhuru
 
JPM asimpongeze uhuru kwa lipi? ....akipongeza msigeuze maneno maana siku hizi mnapinga kila kitu ....alafu badala ya kumsaidia mpinzani mwenzenu mnasaidia chama tawala ....mnategemea wapinzani wa Kenya wawaunge mkono 2020? ....uchaguzi Kenya umeisha ....maisha lazima yaendelee ....lazima uhuru na JPM washirikiane .....
Kwani 2015 Odinga aliwaunga mkono Wapinzani wa Tanzania? Acha kuongea usicho kijua,tuliza mshono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa zimekwisha na Uhuru katangazwa Rais tayari hata kama..kuna..madai na udhibitisho wa wizi wa kura kama ambavyo ulikuwapo huko nyumbani mwaka 2015

Urais ni taasisi na ukiwa hapo unasimamia maslahi mapana ya taifa na sio yako ...inawezekana ulitaka Raila kama ulivyotaka Kagame ashinde..na..pengine unaugulia mapesa uliyompelekea kama rafiki yako,lakini kwa kiti ulichokalia hunyimwi kuwa na rafiki lakini kama mkuu wa nchi TUMA PONGEZI KWA UHURU..haina maana yeye haelewi...una...mapenzi binafsi
Rais wa Tanzania anapochelewa kutuma pongezi inavuruga..diplomasia na urafiki wetu na undugu na Kenya .

Iweje ichukue chini ya dakika 20' baada ya matokeo kutoka kumpongeza Kagame...lakini asubuhi inafika hatujatuma salamu Kenya
Tanzania sio Mali..binafsi ya mtu .

Tunajua kuna madai ya utatu wa kuunda Bahima Empire...ndio inafanya baadhi ya viongozi kufanya unafiki na hawakutaka Uhuru ashinde.

Kwa ndugu zetu Wakenya na kwa Uhuru tunaomba msichukulie kuchelewa kwa salam..rasmi za nchi kuwa hatuwatakii mema ,tunawapenda sana ...na tunaomba Uhuru asichukie watanzania kwa ajili ya mtu mmoja
Alikutuma mwambie ajipange upya umekosea njia
 
Wanachofanya chadema ni kusteam out frustration zao kwa kupitia Kenya!!!!!! As if Kenyatta kushinda kutawaongezea kipato chao Tanzania .Ni Sawa na mtu anayesifia mke wa jirani yake kuwa ni mzuri wakati wake mbaya kupindukia.
Kwani msimamo wa Tanzania ni..kumuunga..mkono...Raila ??
Siis tuko..kuwatakia heri kwa...yeyote ambaye wangemtaka
 
Nimesikia Kagame na Museveni tayari weshatuma salaam za pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta.

Vipi kwa upande wa President wetu, mbona ameshikwa na "kigugumizi" kutuma salaàm kwa President mwenzake Uhuru Kenyatta?

Akubali tu kuwa washindanapo wawili ni lazima pawepo mshindi na mshindwa......
mleta mada ameongea hikohiko nawe badala ya kuendeleza unaendelea kuongea kilekile!!!
 
Kwa kweli nawashangaa, walikuwa wakimsapoti Odinga kabla, baada ya JPM kuwa rais na wao kugundua kuwa hawa jamaa ni marafiki japo wa mbali kwani hata Uhuru nae ni rafiki wa JPM ingawa hajapiga nae picha kabla ya kuwa rais basi nao bavicha wakabadili gia angani!
Ila ukweli unabaki, upinzani wa Tz kama kawaida haujitambui, sisiemu ya kenya (TANU) iliyobadili jina na kujiita jubilee leo ndo wanaisapoti badala ya kutaka itoke madarakani, na sababu kubwa ya kuisapoti eti sababu odinga alionekana kapiga picha na JPM kabla hajawa rais hivyo basi wameassume kuwa JPM atakuwa 'rais' wa Kenya pia.
Walichofanya upinzani wa Tanzania nadhani ni kulipa kisasi cha Odinga kuto waunga mkono 2015 haha hakii waAfrika sie kwa visasi Mungu atusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huwa anaweza kutumbua saa 6 usiku anashindwa nini kumpongeza usiku ule ule? Atoe pongezi huyo best yake ampe waziri wa nishati kama anampenda sanaa!!! Urafiki usiwe ndio msimamo wa nchi hapana!! Wizara mambo Nje mshaurini atume official....kam anasua sua kwenye tweet kama alivyofanya kwa Kagame usiku usiku Ali tweet!! Asituletee mahaba binafsi!!
Waingereza husema "give the compliments when its due "
Ukichelewa kumsifu mtu au..kumpongeza au kumpa.pole ...hata ukifanya baadaye inakua haina maaana tena au uzito
Ieleweke salamu hata zitoke leo baada ya hata watu wa..nchi za mbali itakua haina uzito...tena
 
Yaani chadema wengi wanashangilia kushinda Kenyatta kuliko hata wakenya wenyewe!! Kuna rafiki yangu mkenya mkikuyu yuko Arusha alinipigia kuniuliza what's wrong with you Tanzanians mbona baa watu wanashangilia sana ushindi wa Kenyatta kuliko hata sisi wakenya wenyewe? Nikamjibu hao ni Chadema. Huwa wako hivyo. Ni watu fulani wajinga fulani hivi kiongozi wao ni lowasa huyo Alikuja kwenu.
Kinakitu ndani ya mioyo ya watanzania kinachojengeka. Hicho kilichotokea ni ujumbe.
 
Yaani chadema wengi wanashangilia kushinda Kenyatta kuliko hata wakenya wenyewe!! Kuna rafiki yangu mkenya mkikuyu yuko Arusha alinipigia kuniuliza what's wrong with you Tanzanians mbona baa watu wanashangilia sana ushindi wa Kenyatta kuliko hata sisi wakenya wenyewe? Nikamjibu hao ni Chadema. Huwa wako hivyo. Ni watu fulani wajinga fulani hivi kiongozi wao ni lowasa huyo Alikuja kwenu.

Mazezeta ya Ccm, mnajulikana na uko mko wengi sana.
 
ccm supports uhuru, iko hivyo waliobadili gia huruma kwao

JPM na odinga ni marafiki hata kabla magu hajawaza kuwa rais


CDM ni watoto, uhuru hatakuja ku support CDM at all!!! CDM washawahi m support odinga hapo zamani


yaani

..lakini Magu alipokuwa waziri wa ktk serikali ya JK alikosea alipojitokeza ktk mkutano wa ODM na kumuunga
mkono Raila Odinga.

..Kitendo alichofanya Magu kilikuwa ni ukiukwaji mkubwa wa taratibu na miiko ya diplomasia.

..Magu alitakiwa ajiweke mbali na Raila ukizingatia kwamba inajulikana wazi kuwa Raila amekuwa na interest za kugombea Uraisi wa Kenya.

..Na Raila naye amekuwa akitumia jina la Magu ktk mikutano yake ya kampeni. Jambo hilo halikuwa zuri kwani linampaka matope Magu na waTanzania.
 
Naona Makamanda mnajaribu kupreempty mipango ya JPM..akipongeza mseme tumempreshalaizi mpaka kapongeza,akinyamaza mseme ana bifu na Uhuru...
Hamnaga,jema nyie kama,Waisraeli!
Hapo ulivyomalizia imenifanya nifikirie...maana Waisreli wameshinda katika kutokuwa na jema. Sidhani kama Watanzania tuko hivyo
 
Mbona Kenya ilipokuwa inakaribia kuingia kwenye uchaguzi, tulisikia kauli tata kutoka kwa JPM kuhusu Kenya?

Siyo kuwa alikuwa akitoa kauli hizo kwa kuwa alikuwa na over confidence kuwa his best "friend" Raila ataingia madarakani?

Refer kauli aliyoitoa hivi karibuni kule Tanga kuwa kama Kenya wakizuia bidhaa zetu za maziwa zisiingie nchini mwao na sisi tutapiga marufuku bidhaa zao zote zisiingie nchini mwetu!
Hakusema Kenya mkuu mbona unaleta uongo wa maandishi? Kweli watu bado mna kuchanganyikiwa kwa 2015. Hata jirani yeyote ataezuia bidhaa zetu ajue na zake zitapigwa BAN kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata akimpongeza bado mtaaanzisha threads za kupinga pongezi zake.
hiyo ndo definition ya upinzani kwa tanzania. hata rais akikohoa huwa mnapinga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom