Kwa kweli nawashangaa, walikuwa wakimsapoti Odinga kabla, baada ya JPM kuwa rais na wao kugundua kuwa hawa jamaa ni marafiki japo wa mbali kwani hata Uhuru nae ni rafiki wa JPM ingawa hajapiga nae picha kabla ya kuwa rais basi nao bavicha wakabadili gia angani!
Ila ukweli unabaki, upinzani wa Tz kama kawaida haujitambui, sisiemu ya kenya (TANU) iliyobadili jina na kujiita jubilee leo ndo wanaisapoti badala ya kutaka itoke madarakani, na sababu kubwa ya kuisapoti eti sababu odinga alionekana kapiga picha na JPM kabla hajawa rais hivyo basi wameassume kuwa JPM atakuwa 'rais' wa Kenya pia.