Rais Magufuli Mpongeze Uhuru HARAKA

Status
Not open for further replies.

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,529
8,614
Siasa zimekwisha na Uhuru katangazwa Rais tayari hata kama..kuna..madai na udhibitisho wa wizi wa kura kama ambavyo ulikuwapo huko nyumbani mwaka 2015

Urais ni taasisi na ukiwa hapo unasimamia maslahi mapana ya taifa na sio yako ...inawezekana ulitaka Raila kama ulivyotaka Kagame ashinde..na..pengine unaugulia mapesa uliyompelekea kama rafiki yako,lakini kwa kiti ulichokalia hunyimwi kuwa na rafiki lakini kama mkuu wa nchi TUMA PONGEZI KWA UHURU..haina maana yeye haelewi...una...mapenzi binafsi
Rais wa Tanzania anapochelewa kutuma pongezi inavuruga..diplomasia na urafiki wetu na undugu na Kenya .

Iweje ichukue chini ya dakika 20' baada ya matokeo kutoka kumpongeza Kagame...lakini asubuhi inafika hatujatuma salamu Kenya
Tanzania sio Mali..binafsi ya mtu .

Tunajua kuna madai ya utatu wa kuunda Bahima Empire...ndio inafanya baadhi ya viongozi kufanya unafiki na hawakutaka Uhuru ashinde.

Kwa ndugu zetu Wakenya na kwa Uhuru tunaomba msichukulie kuchelewa kwa salam..rasmi za nchi kuwa hatuwatakii mema ,tunawapenda sana ...na tunaomba Uhuru asichukie watanzania kwa ajili ya mtu mmoja
 
Nimesikia Kagame na Museveni tayari weshatuma salaam za pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta.

Vipi kwa upande wa President wetu, mbona ameshikwa na "kigugumizi" kutuma salaàm kwa President mwenzake Uhuru Kenyatta?

Akubali tu kuwa washindanapo wawili ni lazima pawepo mshindi na mshindwa......
 
[HASHTAG]#uhurutanotena[/HASHTAG]
Hiyo ndio demokrasia inahumiza sana kwa wasiokubali kushindwa pole sana mzee rafiki kuwa rais awezi tena Uhuru anajua vile watanzania wapenda demokrasia wanavyomkubali
 
JPM asimpongeze uhuru kwa lipi? ....akipongeza msigeuze maneno maana siku hizi mnapinga kila kitu ....alafu badala ya kumsaidia mpinzani mwenzenu mnasaidia chama tawala ....mnategemea wapinzani wa Kenya wawaunge mkono 2020? ....uchaguzi Kenya umeisha ....maisha lazima yaendelee ....lazima uhuru na JPM washirikiane .....
 
Siasa zimekwisha na Uhuru katangazwa Rais tayari hata kama..kuna..madai na udhibitisho wa wizi wa kura kama ambavyo ulikuwapo huko nyumbani mwaka 2015

Urais ni taasisi na ukiwa hapo unasimamia maslahi mapana ya taifa na sio yako ...inawezekana ulitaka Raila kama ulivyotaka Kagame ashinde..na..pengine unaugulia mapesa uliyompelekea kama rafiki yako,lakini kwa kiti ulichokalia hunyimwi kuwa na rafiki lakini kama mkuu wa nchi TUMA PONGEZI KWA UHURU..haina maana yeye haelewi...una...mapenzi binafsi
Rais wa Tanzania anapochelewa kutuma pongezi inavuruga..diplomasia na urafiki wetu na undugu na Kenya .

Iweje ichukue chini ya dakika 20' baada ya matokeo kutoka kumpongeza Kagame...lakini asubuhi inafika hatujatuma salamu Kenya
Tanzania sio Mali..binafsi ya mtu .

Tunajua kuna madai ya utatu wa kuunda Bahima Empire...ndio inafanya baadhi ya viongozi kufanya unafiki na hawakutaka Uhuru ashinde.

Kwa ndugu zetu Wakenya na kwa Uhuru tunaomba msichukulie kuchelewa kwa salam..rasmi za nchi kuwa hatuwatakii mema ,tunawapenda sana ...na tunaomba Uhuru asichukie watanzania kwa ajili ya mtu mmoja
Ww unakiherehere na ni mchochezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
56e54686a74e3b8a412c095d436d4db8.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
JPM asimpongeze uhuru kwa lipi? ....akipongeza msigeuze maneno maana siku hizi mnapinga kila kitu ....alafu badala ya kumsaidia mpinzani mwenzenu mnasaidia chama tawala ....mnategemea wapinzani wa Kenya wawaunge mkono 2020? ....uchaguzi Kenya umeisha ....maisha lazima yaendelee ....lazima uhuru na JPM washirikiane .....
Kwa kweli nawashangaa, walikuwa wakimsapoti Odinga kabla, baada ya JPM kuwa rais na wao kugundua kuwa hawa jamaa ni marafiki japo wa mbali kwani hata Uhuru nae ni rafiki wa JPM ingawa hajapiga nae picha kabla ya kuwa rais basi nao bavicha wakabadili gia angani!
Ila ukweli unabaki, upinzani wa Tz kama kawaida haujitambui, sisiemu ya kenya (TANU) iliyobadili jina na kujiita jubilee leo ndo wanaisapoti badala ya kutaka itoke madarakani, na sababu kubwa ya kuisapoti eti sababu odinga alionekana kapiga picha na JPM kabla hajawa rais hivyo basi wameassume kuwa JPM atakuwa 'rais' wa Kenya pia.
 
Kwa taarifa yako licha ya urafiki kati ya Magu na Odinga bado Magu hamkubali Odinga awe rais.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Kenya ilipokuwa inakaribia kuingia kwenye uchaguzi, tulisikia kauli tata kutoka kwa JPM kuhusu Kenya?

Siyo kuwa alikuwa akitoa kauli hizo kwa kuwa alikuwa na over confidence kuwa his best "friend" Raila ataingia madarakani?

Refer kauli aliyoitoa hivi karibuni kule Tanga kuwa kama Kenya wakizuia bidhaa zetu za maziwa zisiingie nchini mwao na sisi tutapiga marufuku bidhaa zao zote zisiingie nchini mwetu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom