Rais Magufuli kutua Bukoba kesho Jumapili, kuhutubia wananchi Jumatatu

Kuhutubia mikutano ya siasa saa 5 asubuhi watu wataenda kulima saa ngapi...
 
wale waliokuwa wanatokwa na mapovu waje hapa sasa wajibu kashfa zao ohh mara hajaenda mara vile mara hivi haya sasa prwzidaa huyoo bukoba!!
 
Watanzania walivyo wanafki wataenda Na watajaa Na makofi watapiga Na kucheka cheka then akiondoka wanaanza kulalama.

My poor country.
 
Kama mjuavyo namba moja anakuja Kesho huku kagera, katika maandalizi ya mapokezi yake umelazimu baadhi ya viongozi wa halmshauri waondoke jioni hii kwenda mkoani (bukoba).
Katika dhana ya kushirikiana DC kamuombea LIFT luteni wa jwtz ambaye pia anaenda mkoani kwa shughuli za mapokezi,KITUKO ni huyu bwana mjeshi(luteni) aliyepewa lift amekaa mbele kibabe huku akitaka mwenyekiti wa council na mkurugenzi wake wabanane nyuma kinyume na protocol.
Mkurugenzi ameamuru gari lisitoke na safari imeahirishwa kwa muda.Kaka mjeshi anahangaika kupiga Simu kwa wakubwa zake ili akae mbele. Binafsi kwangu nimeona hiki ni kituko na kuyokufahamu ukomo wa mamlaka kwa baadhi ya watendaji.
 
wacha uzuzu,huwezi acha watuwako kwenyeshida usiende wapa pole na faraja eti umkabidhi mtu. Mbona amehudhuria misiba kadhaa au kunawatu muhimu na wengine (tenawengi) wasio? Kwavyovyote iwavyo alikosea saana na hatutaki hilo lijitokeze Tena maana linasikitisha. Watu washapoa Sasa ukienda inakuwanini?? Tuoneshane upendo hasa kipindi cha shida kwako raha. Ingetokea Pindi kampeni zinaendelea tungewahi chap, banaeeh mi nimemind sana namwongelea trump lakini
Pole sana
 
Jamani mpaka tumseme weeeee basi hawapelekee na majasho yao ili ilete maana hatakama imechelewa
 
Back
Top Bottom