Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 14,309
- 30,938
ni Kama za kupata phD Tanzania bila kujua kingerezaUpeo wa vijana wa ukawa unaishia hapo, yaani zile story tunazopiga tukiwa juu ya mipera ndio unazileta hapa kwa GT?
ni Kama za kupata phD Tanzania bila kujua kingerezaUpeo wa vijana wa ukawa unaishia hapo, yaani zile story tunazopiga tukiwa juu ya mipera ndio unazileta hapa kwa GT?
Japan wanapata PhD bila kufahamu kiingereza, hujawahi kujiuliza? Hapo Denmark hali ipoje, wrote wanafahamu English,ni Kama za kupata phD Tanzania bila kujua kingereza
Wenzake huko kwenye demokrasia yakitokea maafa rais ni mtu wa kwanza kutembelea wahanga hapa kwetu tena awamu hii kejeli kwa wahanga ndio inakoanziaKazi za Rais huzijui?
Mkuu nilimkaribisha kua tumemsamehe aje Kagera ...Omuyango Omuzila Nkende lakini ata kunitafuta hamna duuuh basi na Ihungo siendiNi jambo jema. Hongera kwa aliyetoa wito uliokuwa na lengo la kumkaribisha
Muhimu abebe lile begi la helaChenji ya tetemeko aende nayo....
Sio kwenda na maneno matupu....
mkuu wewe umekuwa mtu wa kwanza kabisa kunichekesha kwa sauti 2017Saivi ni saa sita usiku hiyo saa nane imefikaje...au bukoba masaa yenu yako mbele
Aaah mpaka sasa matangazo yanaendelea huku mabomu ya machozi yakilindima mtaa wa Rwamishenye na Kagondo...Na ikifika hasubui endeleeni na matangazo ila Ihungo mtakua wenyewe...Hivi unajua maana ya usiku wa manane auSaivi ni saa sita usiku hiyo saa nane imefikaje...au bukoba masaa yenu yako mbele
Aaah kumbe sio kizungu tu kua shida...usiku wa manane maana yake ni saa nane duuhmkuu wewe umekuwa mtu wa kwanza kabisa kunichekesha kwa sauti 2017
Ulivyo mjinga hujui hata kuangalia saa yako iliyo juu ya kiscren cha tecno yako.Kweli nimeamini kua nchi haiko pazuri huku tangazo la mkutano wa hadhara utakaofanyika shuleni Ihungo na Rais siku ya Jumatatu..hivi kweli kuna haja ya kufanya matangazo tangu mchana wote na usiku wa manane na huku watu wamekatazwa kupiga kelele kusherekea sikukuu ya kumaliza mwaka....Daah saa nane usiku hivi angekua Lowassa au Mbowe angerusiwa kufanya hivyo duuuh Tuko vibaya sana
Basi atakuwa anakosea. Why asiwe verified member?Afu ni member wa hapa JF
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapoAaa
Aaah kwani wanatumia lugha gani kufundishia huku