Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,237
- 222,253
Mbona unaweweseka ?Eti 'nakuhakikishia' watu wengine aisee!!!
Mbona unaweweseka ?Eti 'nakuhakikishia' watu wengine aisee!!!
Kesho tarehe 01/01/2017 rais magufuli atawasili mjini bukoba kwa ziara ya kikazi na kuwapa pole wahanga wa tetemeko la ardhi atahutubia wananchi tarehe 02/01/2017 SAA tano asubuhi .
Karibu bukoba tupate na rambi rambi zetu.
Nchi haiongozwi kwa jfmpaka asemwe humu jf ndio aende,wahaya mshukuru jf huyo hakuwa na ratiba ya kuja huko
Hapo ndipo utajua ni jinsi tulivyo wanafiki. Watawageuzia kibao waliolaumu kutofika Bukoba mpaka leo ....!!!
Kuna watu walijaza wananchi taarifa za upotoshaji juu ya suala la dangote ila alipojitokeza rais akaeleza ukweli wale watu niliwaoba ni malofa na wpmbavu.
Hata kwenye hili la kagera hopefully ukweli utawekwa wazi na kuna watu lazima watanuna tena.
Wanafiki mtaaibika mwaka huu. Kazi kushinda na mafisadi tuNi bora tu wana Kagera wasijitokeze. Miezi minne baadaye tena baada ya shinikizo kubwa hapa jamii forums. Na pesa zao bilioni 16 walizochangiwa kishazikwapua.
Chaguo la Mungu??Labda hao watakuwa ni wahaya wakichaga unao waambia hivyo.
Magufuli ni chaguo la Mungu asiyemtaka ahame nchi na arudi 2025
Si mlisema haendi na mkaanza kulaumu sana? Sasa anaenda sijui mtajificha wapi enyi bavicha wanafikiSasa waTz tulivyo na mambo ya siasa yalivyo jamaa akifika atapondea sana watu waliokuwa wanasema haendi alafu umati utampigia makofi sana na kumshangilia mnooo! Watasahau kabisa kama jamaa aliwachunia walipokuwa wanamuhitaji hasa na sasa wamenyoosha maisha yao ndio anaenda.
Na kama ilivyo ada wataimba nyimbo lukuki za kumtukuza, asante sana ulaghai wa siasa na uzuzu wa wa-bongo
Mgeni wetu tutamkaribisha na wala hamna sababu ya kutuelekeza cha kufanya.na hapa naomba apokee ujumbe huu:Wahaya kaeni majumbani kwenu.
hamna kitu palehapo chacha - tuwaone nshomile!
Za Watanzania woteMumdai hela zenu.
Yaani wakati mwingine unajiaibisha sana kwa hiyo mlikuwa mnaandika humu ili akienda mseme ni kwa sababu ya nyie chagademaNi bora tu wana Kagera wasijitokeze. Miezi minne baadaye tena baada ya shinikizo kubwa hapa jamii forums. Na pesa zao bilioni 16 walizochangiwa kishazikwapua.
Kaka umetudharau sana sisi wanyambo inabidi awachukue wasubi wake aende nao tuWakawasombe wanyambo na wanyayangiro huko hatuna time na mtu