Rais Magufuli kuongea na Wazee wa Dar

Rais Magufuli kuongea na Wazee wa Dar

Status
Not open for further replies.
Toka nyerere afichwe na wazee hawa mwaka 1964 kwenye ghasia za jeshi marais wote wanawaheshimu hawa, hata angeingia lowasa ungesikia hivyo hivyo!

Hapana, usidanganye.

Nyerere alifichwa na kijana kabisa kwa wakati huo, kwa sasa ni mzee maarufu aitwae Kitwana Kondo.
 
Nasikia hawa wazee huwa hawana gharama zaidi ya kupikiwa Ubwabwa! Gharama kubwa kwao ni waje na Ndizi tu!
 
Nasikia hawa wazee huwa hawana gharama zaidi ya kupikiwa Ubwabwa! Gharama kubwa kwao ni waje na Ndizi tu!
Na bahasha zao za khaki huwa ni zile ndogo ndogo
 
Toka nyerere afichwe na wazee hawa mwaka 1964 kwenye ghasia za jeshi marais wote wanawaheshimu hawa, hata angeingia lowasa ungesikia hivyo hivyo!
Mkuu uko sahihi, hata lowassa juzi juzi tumeshuhudia akizungumza na wazee wa dar wa chama chake. Kwa kifupi wazee wa dar ndii kila kitu
 
Hivi ni kweli Magufuli hana njia mbadala ya kuongea na TAIFA, THRU TV moja kwa moja toka IKULU, hadi aongee na Wazee wa Dar, myself siipendi njia hii hata kidogo...

Rais angetumia njia ya KUONGEA NA TAIFA moja kwa moja toka IKULU... na sio kuongea kupitia WAZEE WA DAR hapo Diamond Jubilee... na Title ingekuwa RAIS KUONGEA NA TAIFA... na sio wazee wa Dar...
 
kwa akiri hz za BAVICHA, wakulaumiwa ni MTEI.
 
Tafuta histolia ya wazee wa dar es salaam wanamchango gan katika taifa hili ndio utajua kwann marais wote wanawaheshimu wazee hawa,wazee kichanga kipindi cha kuomba uhuru wao waliomba uhuru wa kilimanjaro badala wa tanzania nizima sasa hapo kweli mtaheshimiwa kweli? Wazee wa dar es salaam walitoa mchango mkubwa sana kuleta uhuru wa nchi hii mpaka kupoteza pesa,kazi,biashara na mpaka maisha yao, soma histolia ndio udis wazee hawa, mm wa Kilimanjaro lakin nilisoma histolia yao nikaona ni sawa kugewa heshima nyingi
 
Halafu si wazee wote ni wale watakaopelekewa mwaliko tu! Wangesema wazee wa ccm ya darisalama
 
Siyo wazee wate wa dar es salaam ni ccm bt kuna wengine ni cuf nakulikuwa na wengine nccr
 
Hivi ni kweli Magufuli hana njia mbadala ya kuongea na TAIFA, THRU TV moja kwa moja toka IKULU, hadi aongee na Wazee wa Dar, myself siipendi njia hii hata kidogo...

Rais angetumia njia ya KUONGEA NA TAIFA moja kwa moja toka IKULU... na sio kuongea kupitia WAZEE WA DAR hapo Diamond Jubilee... na Title ingekuwa RAIS KUONGEA NA TAIFA... na sio wazee wa Dar...
Kuna faida ya kuongea na hadhira iliyo mbele yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom