Rais Magufuli kuongea na Wazee wa Dar

Rais Magufuli kuongea na Wazee wa Dar

Status
Not open for further replies.
mwenye link inayo-stream live atusaidie hapa tafadhali
 
Mi nipo kwenye Tv saa nane hii sioni dalili ya kituo chochote kuonesha
 
Jamani kwanini siasa zinatupelekea kuhoji hata ujinga ujinga ....tunachotaka si hotuba? Hayo mengine mnayohoji yanatusaidia nini? Haya ndio madhara ya kufungwa akili na vyama ....
 
Hiyo mizee ya dar ndio inachangia umaskini wa nchi hii kwa nini asiende kuongea na wazee wa mbeya au kilimanjaro au bukoba?
 
Anaongea na wazee wote wa dsm au ni wale wazee wa ccm peke yao???
Duuuu, nimebaki hoi baada ya kuwaona wazee wa dsm kumbe ni woote wanao vaa kijani?
 
Mkuu uko sahihi, hata lowassa juzi juzi tumeshuhudia akizungumza na wazee wa dar wa chama chake. Kwa kifupi wazee wa dar ndii kila kitu
Lowasa alizungumza na wazee kweli lkn siyo huu unafiki mnao ufanya ebu watazame karibu 90%ni vijana
 
Hivi ni kweli Magufuli hana njia mbadala ya kuongea na TAIFA, THRU TV moja kwa moja toka IKULU, hadi aongee na Wazee wa Dar, myself siipendi njia hii hata kidogo...

Rais angetumia njia ya KUONGEA NA TAIFA moja kwa moja toka IKULU... na sio kuongea kupitia WAZEE WA DAR hapo Diamond Jubilee... na Title ingekuwa RAIS KUONGEA NA TAIFA... na sio wazee wa Dar...
Lini uliwahi kumuona magu anahutubia umma namna hiyo?sijui labda ni sangoma wamemdanganya
 
kwa akiri hz za BAVICHA, wakulaumiwa ni MTEI.
Kwa viwavi wa lumumba wa kulaumiwa ni mkwere na nepi
1455364135336.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom