Sawa DJ KoboMkuu igwe, Kuna ubaya gani kupashana habari?
Oops! Sikusoma vizuri hii post, nilifikiri mabalozi, kumbe wazee wa dar. C
Aisee kwa hiyo wale wazee waliomficha Nyerere mpaka leo ndio hawa wano vutia marais kuzungumza nao?Toka nyerere afichwe na wazee hawa mwaka 1964 kwenye ghasia za jeshi marais wote wanawaheshimu hawa, hata angeingia lowasa ungesikia hivyo hivyo!
Uzoefu toka kwa JK ni kuwa anasema wazee wa Dar kumbe ni wazee wa ccm, ndio maana tunamu alert aache yeye tabia hiyo. Kwanza kama ni kusema chama tawala basi ccm sio chama tawala DsmUmesoma kichwa cha habari ukaelewa!!??? Umeambiwa anaongea na "Wazee wa Dar" kesho na sio Wazee wa CCM. Achana na mihemko ya kisiasa itakuacha mpweke au utamuacha mkeo mjane.
Basi sawa. Nikupitie twende Diamond Jubilee mchana!!??Uzoefu toka kwa JK ni kuwa anasema wazee wa Dar kumbe ni wazee wa ccm, ndio maana tunamu alert aache yeye tabia hiyo. Kwanza kama ni kusema chama tawala basi ccm sio chama tawala Dsm
Hapana ndugu yangu usinipitie, nadhani sijapata sifa ya kuitwa mzee kati ya wazee wetu waliopo ingawa umri umesogea sogea mkuu.Basi sawa. Nikupitie twende Diamond Jubilee mchana!!??
Inshallah mkuu. Naona Tanesco wameshazea nyaya maeneo ya kwangu. Sijui uko Kama una hiyo nishati!?Hapana ndugu yangu usinipitie, nadhani sijapata sifa ya kuitwa mzee kati ya wazee wetu waliopo ingawa umri umesogea sogea mkuu.
Tusijaze nafasi bure wazee wa ukweli wakakosa pa kukaa. Nitakuwa pembeni ya Tv kumsikiliza Rais
mkuu Mmawia kuna uzi uliletwa na Erythrocyte humu kuhusiana na jambo hili , mapovu yaliyotolewa si ya kitoto ! sasa kama unaweza utafute ule uzi tuurudishe ili uangalie akili za lumumba , vijana hawajui lolote lakini wana roho za kutu sana ! Device ninayotumia hapa haina uwezo huo .Safari hii ataongea nao maana ccm imepata kura nyingi sana kule pamoja na dom