MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,214
- 2,401
Yaani! Unaweza kujuta kwanini umeangalia..Lazima atateleza kama kawaida.
Yaani! Unaweza kujuta kwanini umeangalia..Lazima atateleza kama kawaida.
Yaani TV ya Taifa ndo inajiunga kwenye TV za watu binafsi? Mimi nilitegemea TBC Taifa ndo ingehodhi hiki kitu na TV zingine ndo zijiunge? Au mimi sijaelewa hapo mkuu? Inajishushia sana heshima hii TV bora hata wangemteu Paskali Mayalla awe Mkurugenzi kuliko huyu Ayubu Rioba!!Watajiunga
Kuna anayehitaji kusikia hotuba?Watajiunga
Watanyonya kwa azam.Tbc hawataonyesha
thibitisha hiyo kauli yakoo.... Nahisi unaweza kuanza wwe kabla ya wao wa bukobaWatu wa Bukoba ni wajinga sana
Jamaa aliwadharau leo hii wanaenda tena msikiliza
Maulana.....pombe!!!!!!Ehh MAULANA MOLA WETU RHABUKA MBARIKI RAIS WETU WA JAMHURI YA TANZANIA MUHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI MILELE YOTE KATIKA JINA LA YAHUSHUA HA MASHAIC. ...AMEN RA
Mwambie afute hilo neno pleaseHeshima kitu cha bure (bold)
Acha matusi, jenga hoja yeye hajatukana mtu, ametoa hoja ipinge kwa hoja si matusi.Uzuri akili kama zako zitaendelea kukaa ktk makalio yako, watz wengi hawako kama wewe.
mmmh! Tarairota Mlangila wangu! waguma! unajua tunapishana malezi. Hata kama ni masuala ya upinzani lakini bado JPM atakuwa ni mkubwa kwa umri kwa MKWEPA KODI (japo simjui). si umeona alivyonijibu:Mwambie afute hilo neno please
Wewe kama huwezi kutoa mawazo yako kwa kujitegemea acha kunukuu maoni ya wanaume, unatafuta sifa kupitia maoni ya wanaume acha hizo mama