mkuu,niko kulia kama unaingia huu mlango wa magharibi,wa uko wapi?Hongera Wahaya kwa kujitambua maana leo siku ya kichaka kazi nanyi mmebaki kazini kwenu kuliko kwenda kusikiriza porojo
sawa,upo uwanjani?Apeleke pesa za rambirambi.
mkuu,mie nipo pale rwamishenye,chini ya ile njia inayotoka chemba!Alete pesa ya rambirambi
ni Rais wa nchi paka 2020Watu wa Bukoba ni wajinga sana
Jamaa aliwadharau leo hii wanaenda tena msikiliza
Mwambie amwachie Lema,Lema hajamzuia kuwakopesha wanafunzi mkopo,mwambie tena mwaka huu tunataka bunge live hii nchi sio yake peke yake,hamkusaidia mungu kuiumba,mwambie Kama alichangia sementi kiasi gani kuijenga mungu amrudishieKwa wale wanaopendelea kusikia hotuba mubashara ya Rais Bukoba ingia hapa; AzamTV
Nakuunga mkono kwa hilo!Ewe Mtukufu raisi uliyepinga fedha za serikali kunufaisha Mabenki Binafsi Naomba urudi kwenye msitari ukatae pia fedha za serikali kwenda kunufaisha vyombo binafsi vya habari ni wakati sasa wa wewe kuanza kutumia vyombo vya serikali ili fedha hizi zibaki serikalini
NB
Ewe mtukufu Raisi tunaomba uache kupromote Vyombo binfsi na badala yake uanze kupromote vyombo vya serikali,yaani namaanisha uache kale katabia unakokapenda ka kupiga simu Clouds Media na simu hizo sasa uzielekeze TBC MEDIA hilo ni ombi tu.MKIONA ALITEKELEZEKI MSIMLAZIMISHE Maxence Melo awape taarifa zangu.
Kisa wamepingana na matamanio yako?Watu wa Bukoba ni wajinga sana
Jamaa aliwadharau leo hii wanaenda tena msikiliza
Asante mkuu ila siko hapo hometown mkuu, si unajua maishamkuu,niko kulia kama unaingia huu mlango wa magharibi,wa uko wapi?
sawa,upo uwanjani?
mkuu,mie nipo pale rwamishenye,chini ya ile njia inayotoka chemba!
Tukimaliza huu Mkutano,twaweza onana pale Q Bar tupate konyangi mbili tatu?
Akijaharibika kitu!Asante mkuu ila siko hapo hometown mkuu, si unajua maisha
We ulishawahi kuombwa ungalie!?umeombwa uangalie?
c.c.m ndiye tunaoset ajenda,na wingine kama makasuku wanafuatia!
Aliwadharau kivipi?Watu wa Bukoba ni wajinga sana
Jamaa aliwadharau leo hii wanaenda tena msikiliza
ha haHawajiongezi hawa achana nao.