Hatuna muda wa kubishana subiri dawa ikuingie upone ugonjwa wako wa stress!Wapi nimemtaja yeye
Pale tai palifanyiwa hivi pia!?Hivi haya majengo ya wazee wa mifumo yanazinduliwaga pia? Mi nilijua inakuwa kimya kimya tu...daaah!
Walikuwepo huko tangu enzi na enzi. PSU nao "wanasomeshwaga" huko.Hatimaye Wasiojulikana wamejisogeza Zanzibar...Wazanzibara jiandaeni kuanza kupotezwa!
Wabongo wengi hatupendi kujisomea zaidi ya "copy & paste" au "headlines".Jamani hazindui jengo la TISS....
Bali anaweka jiwe la msingi WAANZE kujenga... Watanzania bna kwa ku badilisha maneno...
Wambea wambea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mwaka huu atawateulieni Rais wenu.Akishakanyaga tu Zanzibar anakuwa kama diwani, kama huamini subiri hiyo tarehe 12 utaona nani rais na amiri jeshi mkuu wa eneo lile, ni rahisi mno kumtambua make sherehe haianzi kama yeye hajafika, atakuwa mwisho kuingia, atakagua gwaride, atapigiwa mizinga,nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Stress ziko CCM lumumba, huku Brussels tunakula bata tu.Hatuna muda wa kubishana subiri dawa ikuingie upone ugonjwa wako wa stress!
Zanzibar nchi subir tarehe 12 utaelewaHivi zanzibar ni koloni la Tanganyika ?
Hapa kuna tatizo la kikatiba.Raisi wa Jamuhuri ya Muungano ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu (TISS, Tanzania Peoples Defence Force, Police Force, Prison, Migration, JKT na nk. viko under his command) lakini anaingia uwanjani wa kwanza, hasalimii wananchi wa taifa lake - akiwa amepanda gari lile la heshima 'jeep iliyowazi', hakagui gwaride....hii haiko sawa
Shein sijui anajisikiaje?
dodge
Hoteli ya kimataifa inapaswa kuzinduliwa na wote wawili ili ipate umaarufu duniani.
Sasa kwanini heading isiwe Magu&Shein kufungua hotel.
dodge
Kuna hote ngapi za Barmkhresa znz?. Hotel Verde inazinduliwa mara mbili??