Mkuu amezungumza kwa kifupi tu maana alikuwa anamuambia barozi wa ujerumani ikiwezekana wapate mkopo wa kujenga barabara ndipo akasema "Ata ujerumani wanaweza kutusaidia hapa na kwa vile nitafanya ziara yangu Ujerumani hivi karibuni basi pesa ya kujenga barabara hii itapatikana tu."
[/QUOTE
Halafu kuna watu wanamsifia huyu mtu😂😂😂. Mtu anaeahidi kupatikana kwa fedha za ujenzi wa barabara kwa kutegemea mkopo "utakaopatikana kwa kuwa atamtembelea mkopwaji hivi karibuni" ndie kiongozi bora kuwahi kutokea nchi hii?🤣🤣🤣
Mkuu amezungumza kwa kifupi tu maana alikuwa anamuambia barozi wa ujerumani ikiwezekana wapate mkopo wa kujenga barabara ndipo akasema "Ata ujerumani wanaweza kutusaidia hapa na kwa vile nitafanya ziara yangu Ujerumani hivi karibuni basi pesa ya kujenga barabara hii itapatikana tu."
[/QUOTE
Halafu kuna watu wanamsifia huyu mtu😂😂😂. Mtu anaeahidi kupatikana kwa fedha za ujenzi wa barabara kwa kutegemea mkopo "utakaopatikana kwa kuwa atamtembelea mkopwaji hivi karibuni" ndie kiongozi bora kuwahi kutokea nchi hii?🤣🤣🤣
Betrii zimeisha charge. Anaenda ku-replace.Nakumbuka alipougua ghafla bungeni enzi zile waziri, alipelekwa germany nadhani muda umefika wa kubadili kifaa
Nilikuwa na Hofu na Hydroelectrically Power kule Rufiji maana kuna azimio lilipitishwa huko German kuwa Serikali yao iishawishi Tanzania kuachana na Mradi wa Rufiji lakini mwenyewe akiwa Nanyumbu muda huu amekazia lazima ule mradi ujenwe yeye hawezi kusubiri Wafadhili wampangie mambo ya kufanya na hii ni nchi huru.Maji yamezidi unga,lazima aende kwa mabeberu ili mambo yaende!
Check up ya kiberiti 💔Anaenda kutibiwa?
/
Ndoto za mchana .....Jiwe hana haiba ya kupigiwa mizinga na mabeberu!!ataishia hapo kwa Museveni tu