The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
Binafsi Magufuli nimemuona angalau kumbe ana busara kwa hili
huwezi anzisha vita na kila mtu kila upande
kuchagua nani wa kupigana nae na saa ngapi upigane nae ni busara
Wafanyabiashara wanakwepa kodi sababu kodi nayo ni kubwa saana
ipunguzwe ilipike kwa urahisi......hari unanunua Japan milioni moja tu
hadi ulitoe unalipa milioni saba...jumla milioni nane
busara zitumike kuondoa tatizo........
huwezi anzisha vita na kila mtu kila upande
kuchagua nani wa kupigana nae na saa ngapi upigane nae ni busara
Wafanyabiashara wanakwepa kodi sababu kodi nayo ni kubwa saana
ipunguzwe ilipike kwa urahisi......hari unanunua Japan milioni moja tu
hadi ulitoe unalipa milioni saba...jumla milioni nane
busara zitumike kuondoa tatizo........