JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,156
- 3,627
Hili bandiko limeandikwa vibaya
Kwanza ni kosa kudhani Magufuli hana kashfa kisiasa, kijamii na kiuchumi kashfa anazo nyingi tu. Tukiziorodhesha hapa dunia itapasuka.
Magufuli anafanya siasa peke yake! Siku wapinzani wakitoka wakaanza kufanya siasa atashangaa! Mamilioni ya watanzania vijana kwa wazee, wake kwa waume watakavyo furika kwenye mikutano ya UKAWA. SUBIRI UONE SIKU IKIFIKA!
Una msifu Magufuli? Kwa lipi hasa? Kwa kuua uchumi? Leo hii zaidi ya biashara 10,000 zimefungwa . Hii ni kwa mujibu wa TRA. Unamsifu magufuli kwa kuupendelea mkoa wake na hasa Chato? Ukitoa likizo, amesha kwenda chato kwa sababu mbalimbali mara Sita! Lakini mpaka leo hii Nyanda za juu kusini hajawahi kufika.
Unasifu Magufuli kwa kutamani kuwafilisi matajiri? Kumwacha Bashite ajinufaishe binafsi kwa kuwatisha wafanya biashara? Unamsifu kwa kuvunja KATIBA?
Kwanza ni kosa kudhani Magufuli hana kashfa kisiasa, kijamii na kiuchumi kashfa anazo nyingi tu. Tukiziorodhesha hapa dunia itapasuka.
Magufuli anafanya siasa peke yake! Siku wapinzani wakitoka wakaanza kufanya siasa atashangaa! Mamilioni ya watanzania vijana kwa wazee, wake kwa waume watakavyo furika kwenye mikutano ya UKAWA. SUBIRI UONE SIKU IKIFIKA!
Una msifu Magufuli? Kwa lipi hasa? Kwa kuua uchumi? Leo hii zaidi ya biashara 10,000 zimefungwa . Hii ni kwa mujibu wa TRA. Unamsifu magufuli kwa kuupendelea mkoa wake na hasa Chato? Ukitoa likizo, amesha kwenda chato kwa sababu mbalimbali mara Sita! Lakini mpaka leo hii Nyanda za juu kusini hajawahi kufika.
Unasifu Magufuli kwa kutamani kuwafilisi matajiri? Kumwacha Bashite ajinufaishe binafsi kwa kuwatisha wafanya biashara? Unamsifu kwa kuvunja KATIBA?