Rais Magufuli kakomesha upinzani

Rais Magufuli kakomesha upinzani

Ili maendeleo halisi yapatikane lzm yatokane na friction...hii ni kanuni ya kisayansi...
Gari inatembea kwa sababu ya friction ndani ya engine.. Ndege inaruka kwa sababu ya friction ya nguvu ya ndege na hewa.. Na hata ndani ya familia pia.. Na ndio maana ulaya,marekani n.k pamoja na kwamba wameendelea sana lkn hawaachi mfumo wa vyama vingi na serikali zinalea vyama hivyo kwa kuviandalia sheria bora na mazingira.
 
2020 Nawaona Mdee, Mnyika, lema, Msigwa na kubenea wakiwa Mtaani!
 
Shule gani wakati makosa yako ya wazi kabisa unajifanya huyaoni. Wewe kweli ni mpuuzi usana. Unajifanya unakijua Kiingereza wakati hukijui? Na hujui kuwa hukijui.
Huna lolote wewe.Kaa kimya.

"Human being" ni neno moja as a noun.

Fits-Verb in simple present tense
 
2020 Nawaona Mdee, Mnyika, lema, Msigwa na kubenea wakiwa Mtaani!
Hakuna wkt wowote ambao upinzani walipata wabunge kwa njia rahisi... Wkt vyama vimeanzishwa kulikua hakuna hata mawakala.. Wala kiongozi hata mmoja ktk serikali za mitaa lkn upinzani umeendelea kukua!
Kitakachotokea 2020 ni kilekile cha miaka yote.. Mbadilishano wa wabunge.. Kwamba aliposhinda ccm mwaka2015 atashinda upinzani 2020 lkn ushindani mkubwa! Na hii itatokea kutokana na makosa ktk uteuzi wa wagombea.
 
Mtu anayeogopa kukabiliana na changamoto namchukulia kuwa Mwonga na hafai kuwa kiongozi. To me he is a coward
 
Not every human being fit the real definition of human being; and the number of real human beings today,if any,that number itself is not real.
That is palaverous and superfluous, to say the least. One is left to wonder who is your English teacher. You should also learn to leave space between words.
 
Huwezi kuwa na UPINZANI unaotegemea ruzuku ya serikali ya CCM kwa 100%. Hii kiinimacho Magufuli ataifutilia mbali fullstop!!

Boss Martin George Nachukia Watu Wanaoeneza Uongo. Umeandika Uongo. Ukweli Ruzuku ipo kwa Mujibu wa Katiba na Sheria za Nchi.

Ni kweli Nchi inaongozwa na CCM na Serikali aka Jamhuri yake ila Si kweli Ruzuku ni ya CCM, au ni ya Serikali ya CCM. Maana CCM nayo inapata Ruzuku kwa Mujibu wa Sheria na Katiba.

Ni kweli Ruzuku inaweza kufutwa na Mh. Rais anaweza kuifuta, ni just kupeleka Mswada Bungeni na Wabunge wakapitisha Mswada huo, na Rais akau sign kuwa Sheria.

Ila Swali, Je CCM nao watakubali kukosa Ruzuku? Maana ni kama kukata mti ulioukalia.

My Take: Nia iwe kuelimishana na kufundishana na kukosoana vizuri.
 
Boss Martin George Nachukia Watu Wanaoeneza Uongo. Umeandika Uongo. Ukweli Ruzuku ipo kwa Mujibu wa Katiba na Sheria za Nchi.

Ni kweli Nchi inaongozwa na CCM na Serikali aka Jamhuri yake ila Si kweli Ruzuku ni ya CCM, au ni ya Serikali ya CCM. Maana CCM nayo inapata Ruzuku kwa Mujibu wa Sheria na Katiba.

Ni kweli Ruzuku inaweza kufutwa na Mh. Rais anaweza kuifuta, ni just kupeleka Mswada Bungeni na Wabunge wakapitisha Mswada huo, na Rais akau sign kuwa Sheria.

Ila Swali, Je CCM nao watakubali kukosa Ruzuku? Maana ni kama kukata mti ulioukalia.

My Take: Nia iwe kuelimishana na kufundishana na kukosoana vizuri.
Hilo swali sijui kama atalijibu.
 
Mimi nawashangaa wananchi wanaowaona wapinzani kama maadui. Jamani kama hamupendi demokrasia rudini kwenye chama kimoja na nawapeni muda mfupi tu umwagikaji wa damu utaingia TZ.
Magu sio mwana siasa wala sio kiongozi. Hana quality za uongozi ila watu ni waoga kupindukia. Na hii tisha tisha yake ndio itakayo mmaliza.. Kitu gani alichokifanya akakimaliza kwa salama. Kila alichotaka kutengeza ameharibu zaidi kwa upapari wake.
 
Huwezi kuwa na UPINZANI unaotegemea ruzuku ya serikali ya CCM kwa 100%. Hii kiinimacho Magufuli ataifutilia mbali fullstop!!
CCM ndiyo wanalipa kodi? Walipa kodi wengi hawana vyama vya siasa
 
Back
Top Bottom