Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,601
Yule Magufuli ile Ph.D yake lazima kabebwa.Tatizo tunaongozwa na waliofeli shule wakarudia kama mara mia hivi ndipo baada ya kufaulu wanajiona wanaakili kumbe hamna kitu.Wengine na mitihani wamekwiba kwa maana hata vyeti si vyao basi wanajiona wasomi,sasa ona wanavyotenda hata msomi wa chekechea hawezi kutenda hivyo.Anyway ndiyo Afrika
Ph.D ya ukweli ya Chemistry utafanya saa ngapi wakati huo huo una majukumu kibao ya Uwaziri?