Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Sema watu wamemmpuuza sana sababu yeye kajifungia alafu anawatia wenzie rehani.
Kapuuzwa sana na wananchi safari hii.Wananchi wameamua kujiongeza na kuchakata akili zao
 
.
Screenshot_20200422-191645_Instagram.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga bado ni tatizo kubwa Tanzania. Stupidity is still common in Tanzania.

Mtu anatoka kule ameshiba utumbo wa bata anaandika mambo ya hovyo hovyo na ajabu unakuta ni mzazi ana watoto wanamtegemea kujifunza kutoka kwake.

Hizi nchi zetu kuendelea bado sana kwa sababu ujinga bado ni tatizo kubwa kiliko hata magonjwa.
KINACHONIFURAHISHA ZAIDI SIO TU HII POST BALI HIYO PICHA YA ID YAKO, SALUTE MKUU
 
Ilo neno sana ndyo limeharibu huu uzi. Ungeishiaa apo tu. Tunajua akili anazo. Ndyo maana anajua kutengeneza matatizo na kuyatatua na mwisho wa siku anaonekana hero kwa wajinga kama wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Finally team lockdown chaliiii

Haya punguzeni bei za mask. Baba jeska keshatoa ruksa ya mask za vitenge
 
Halafu kuna watu wanawaza lockdown duh! hata kwa mzizi hakuna lockdown
Anayetaka lockdown hajazuiwa, ni hiari.

Cha kushangaza ni kwamba wanasiasa na wanaharakati uchwara wanaolazimisha lockdown wapo mitaani na mikoani wanazurura.
 
Ni kweli kuwa takwimu za sasa zina idadi kubwa ya watu ambao walipimwa idadi yao haijitokezi kwenye taarifa zao za kila siku wala hazina maelezo (mengine) ya Wizara ya Afya.
JIWE asilazimishe kutafuta takwimu za kumfurahisha na za kuutangazia ulimwengu kwa majidai wala asije akaliharibu swala hili kama alivyofanya kwenye makinikia na korosho.
Ufumbuzi unaotakiwa sasa hivi ni kwenda ndani zaidi katika kuzipitia taarifa na takwimu zilizokusanywa na jinsi zinavyokusanywa.
Utaalamu huo upo hapa nchini. Wataalamu wetu waachiwe kufanya kazi kitaalamu, ingawa NCHI yaweza kuomba nyongeza kwa wenzetu nje ili kupanua uwanja wa hasa kufanya uchambuzi/analysis itakayo tupa picha ya maamuzi sahihi ya kuchukuliwa.
Ili pia kupunguza makosa katika kutatua tatizo la ugonjwa huu, tusikwepe kuangalia na kujifunza kwa wengine.
Amen
 
Kwa akili yako wewe ukishapima,ukagundua watu wana corona virus,then unafanya nini?Una dawa?Una facility za kutosha?Kama watu hawaumwi,nini kinakuwasha kupima?
Duuuh kweli matarumbeta akili mmeweka mfukoni!Hamuangalii USA wanavyoteketea?Eri hakuna haja ya kupima,seriously?Sasa si mtangaze tu maisha yaendelee kama kawaida na haya mambo yaishe ya kuambiana kuhusu Corona na sijui tahadhari!Kichwa maji mkubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaanzaje kugawana mali za mateka na kushangilia kabla vita haifika kikomo? Tulia pembeni kwanza, ndugu Kaguta, aiweke dunia mguu sawa.
 
Aliyetuletea hili janga 2015 alitukosea sana! Wapiga kura mlikosea sana! Wana CCM mlikosea sana na bado mnaendelea kukosea! Stupid!
 
Bottomline ya Rais ni kuwa let nature take its course. Natural selection take its course, survival for the fittest! atakayebaki basi anatosha mimi kutawala! Lakini no lockdown, economic activities to continue as normal. Vinginevyo huwezi kusema maneno kama hayo!
Na kweli tutapukutika vilivyo in the world history! Kinachoonekana kuzisaidia Europe na USA ni kockdown. South Amrica walifanya kama Jiwe, maiti zinaokotwa barabarani!.. Equador Pascal Mayalla au unasemaje rafiki

Wafanyakazi wa afya akili kichwani mwenu,,,,... kuishi au kufia kazini
Pensioners wengi ndiyo victims wa huu ugonjwa, nichelee kusema nikiangalia ni kana kuna hidden agenda, wakuu wanataka ku-wipe OFF pensioners, as pension funds zina matundu..

Haiwezekani mkubwa akawa na attitude ya namna hii..katika pandemic!

Everyday is Saturday...................... :cool:
 
Back
Top Bottom